Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

wakati napita pita mitaani mida ya saa 1:30 kuangalia matokeo ya kura iringa,katika kila lituo iringa kilikuwa na taa..,except kimoja ambacho kipo located karibu na ofc ya RC iringa ilikuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nimeongea na mtu wangu wa ukweli kaniambia chadema kahama imefanya vizuri mno!!! kata zote. unakuta chadema 200, ccm 20 au 15, huo ndio uwiano. hureeee!!!
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Nipo hapa Canada na watanzania wenzangu tunafuatilia matokeo kupitia jamii forum tupo kam mtu 70 hivi. Vipi Tarime mbona kimya?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
moyo umeshtushwa, swali hili ni kubwa na la kweli. kama kura ni siri, vp waandike tena namba? kwa mantiki hyo kila kura inajulikana nani kampigia nani? Hata hvyo kwa nini? je kuna uhusiano...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari za uhakika kutoka Karagwe zinadai CCM wamenyolewa manyoya kwa maji baridi na hawakuondoka na kitu kata ya Ndama. Jimbo hili ni kubwa kwa hiyo sherehe hazijaanza ila council huenda imeanguka...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Baba ktk jina la yesu tunaomba zoezi la kuhesabu kura liwe la haki ktk jina la yesu tunakomesha kila uchakachuaji wa kila aina ktk jina la yesu kila atakae jaribu kuchakachua akaparalaizi ktk jina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kituo Anna Gamazo Sec prez ccm - 138 chadema - 170 mbunge ccm - 142 chadema - 161 diwani ccm - 145 chadema - 165
0 Reactions
12 Replies
3K Views
naangalia TBC na wameanza kutangaza matokeo wameanzia na lindi cuf wameongoza ubunge na udiwani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Urais CCM: 382 Chadema: 342 Udiwani: sijapata kamili ila mgombea wa chadema amemzidi wa CCM kwa kura 61 Kijiji cha nshuma naambia slaa kamzidi JK kwa kura 8, na kwenye udiwani wa CCM amemzidi...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Najua watu wengine wanapata presha kweli maana kwanza matokeo yanaonekana hayaji kwa haraka sana na pili matokeo yanaonekana kuwa karibu sana. Jamani kuna vituo zaidi ya 50,000!! Hii ina maana we...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu Mwenye Matokeo ya Vunjo twayaomba nasikia Chadema, TLP na CCM ngoma inogile
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaomba takwimu za home sweet home jamaniii!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna mwenye fununu hali inavyoendelea Bukombe kwa Profesa Kahigi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUAHIRISHA BAADHI YA CHAGUZI MBALIMBALI Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapenda kuwatangazia wananchi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mpaka sasa Peter Serukamba wa CCM anaongoza kwa kura nyingi sana. CHADEMA nao wanaelekea watapata mdiwani wengi na inawezekana wakaishika manispaa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakala wa CCM ataka kumpigia kampeni Masha kwa ujanja ujanja ktk kituo cha Rugumbizi hapa Nyamagana wakati watu wakiwa kwenye foleni.Wananchi wakahamaki,umati ukapiga kelele..askari...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wana JF mnaichukulia vp kauli ya Mkapa aliyoitoa juzi kuwa "kwa vyovyote vile Uongozi wa Tanzania lazima utokane na CCM" Kisha akaongeza "mimi sipingi Serikali ya umoja wa Kitaifa, ila nataka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Asanteni watanzania kwa mapinduzi haya zidi ya mafisadi sisiemu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka 1961 wakati Tanzania inapata uhuru nilikuwa sijazaliwa, hivyo nilikuwa sijuhi nini maana ya kutafuta uhuru na transition ya kutoka utawala mmoja kwenda mwingine nilikuwa sijuhi ikoje...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa matokeo haya hapa JF toka Mbeya, Arusha, Mwanza, nk., lazima hofu kubwa imetanda upande mmoja na kusababisha waelekee AIRPORT. Au ndo kusema watatumia HELKOPTA?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom