Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sunday, 31 October 2010 18:21 Mwananchi Online Imeandikwa na Kibada Kibada, Mpanda KAMANDA wa polisi Isunto Mwantage amesema watu nane wanashikiliwa na polisi kwa mahojiano zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
URAIS: CHADEMA - 77; CCM - 55. UBUNGE: CHADEMA - 95; CCM - 39.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sunday, 31 October 2010 19:21 0diggsdigg Zephania Ubwani, Arusha MSIMAMIZI Mwandamizi wa kituo cha Shule ya msingi Sombetini mkoani Arusha anashikiliwa na jeshi la polisi, baada ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zilizotufikia zinasema kwamba kuna mama mmoja amekamatwa na shahada feki nyingi na kwa sasa anashikiliwa kituo cha polisi Urafiki. Tutaendelea kuwapa taarifa yanayotokea.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwelekeo mzuri sana kwa upinzani hasa arusha.CCM IMECHUKIWA SANA Tz, TUSUBIRI LINDI NA MTWARA!morogoro wametuangusha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mlioko mikoa hii...hebu tupeni habari zinavyoendelea huko...kumekuwa kimya sana
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Suala la uchakachuaji wa matokeo ambalo limeanza kujitokeza shinyanga lisifumbiwe macho hata kidogo. Siamini kama huyo mmoja aliyekamatwa ndiye mchakachuaji pekee katika Tanzania nzima yenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi... nimepita maeneo ya mwananyamala karibu na hospitali.. ile njia unayopita kama unataka kutokea kinondoni biafra NIMEKUTA MAGARI YA JESHI ZAIDI YA 10... Nashindwa kuelewa kwa...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke) Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani tunahitaji matokeo kwa number sio vinginevyo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
dalili za maangamizi kwa ccm zimeanza kuonekana hapa igoma matokeo ya awali chadema wana ongoza na watu wameanza sherehe. vipi kwingineko?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
..................habari nilizozipata za ndani kabisa ya CCM ni kuwa........... CCM wamejiandaa.............yaani kuna kushindwa au kushinda........sikutegemea kabisa bwana huyu MZITO SANA NDANI...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kama kuna mtu amemharibia JK ni Mkapa. Kumuita Lipumba kokoto? CUF unawaita kokoto kabla kura hazijapigwa Zenji? Mtaniambia kama huyo Shein atashinda. Nitakula maneno yangu. Tena nashukuru...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sunday, 31 October 2010 Two residents of Mbugani A ward in Nyamagana constituency, Mwanza region were shocked to find themselves listed as dead in the list of voters while they are still alive...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani, Hivi humu JF hakuna walioko Musoma watujuze. Dakika 10 zilizopita nimepata message kuwa wana-CHADEMA huko jimbo la MUSOMA MJINI wameshaanza kumwagiko mtaani kwa cherekochereko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Binafsi nimeona kwamba vituo vingi vya TV vimekuwa vikitangaza kwa upendeleo, kiasi cha kuifanyia kampeni CCM. Je, mnadhani vituo hivi vimekuwa vikiipendelea CCM kwenye matangazo yake?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
EE MUNGU WA HURUMA IINUUE NCHI YETU ULIYOTUPA ILI ITUTUNZE NA TUKIFA TUZIKWE HUMO HATUNA NCHI NYINGINE BASI TUNAKUOMBA UWAFISHE KIFO KIBAYA KWA YEYOTE ATAKAYE FISADI UCHAGUZI HUU aidha KWA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanageita wengi leo tulifurika katika vituo vya kupigia kura, hatimaye ile zawadi yetu tuliyomwahidi raiis wetu mtarajiwa imetimia, mimi na familia yangu----FirstLady1 na wadogo zetu tumepiga...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Live from ITV Mbatia ameonekana akilalamikia kuzuiwa kupiga kura baada ya jina lake kukosekana kwenye orodha ya wapiga kura. Hili linaonekana ni tatizo kubwa sana maana wanaonekana wengi...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Back
Top Bottom