Mgombea ubunge katika jimbo la Kilombero kwa tiketi ya CHADEMA Regia Mtema atapata ushindi mkubwa dhidi ya mgombea wa CCM Abdul Mteketa. Regia Mtema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja kushawishi na...
Sorry guys,
The uchaguzi.or.tz site is currently down but it will be UP soon. Thanks for your understanding. Meanwhile, we will keep you posted on all events on JamiiForums
Kinachotia moyo ni kuwa wanaotaka mabadiliko siyo wapiga kura hata wasimamizi wa uchaguzi nao wanataka mabadiliko na hivyo msidhani watu wanaweza kuleta uzembe fulani na wakaachwa vile vile...
Askari polisi wa Moshi mjini amekamatwa na vitambulisho kadhaa vya kupigia kura. Polisi walipata taarifa kutoka kwa wasamaria wema juu ya kuwepo kwa kadi hizo.
chanzo: tbc1
Tanzania bado tunasafari ndefu sana kufikia demokrasia ya kweli.
Kauli aliyoitoa Mkapa kwamba kipindi cha uongozi wakae hakuwa tayari kuwa na Serikali ya Mseto simply b'coz hakuwa tayar kuona...
Wakuu, nimemaliza kupiga kura, na pia nimepita katika vituo kadhaa jimbo la kawe, lakini nasikitika kusema kuwa idadi tuliyoitegemea katika uchaguzi huu ni ndogo sana sielewi tatizo ni nini...
Nipo kwenye kituo cha kupigia kura hapa shule ya Nkuhungu, waliojitokeza ni wengi lakini vijana wametia fora! Taratibu zinakwenda vizuri na majina yapo yanaonekana vizuri. Wengine mtueleze...
Jamani wameanza kuchakachua mapema majina yamechanganywa watu wanahangaika ovyo. Ila wanasema hawaondoki mpaka kieleweke. Mwamko upo wa hali ya juu. Mm nilikosa jina langu nimelia machozi. Kweli...
Nimeamka saa 12:45 nkajiandaa nkapata chai then mida ya saa 3:00 nkawa kanisani kusali na moja ya maombi yangu ikawa kuiombea Tanzania uchaguzi wa Amani na utulivu.
Then kunako mida ya saa 5:08...
Matokeo yakihesabiwa vituoni wakala ataondoka na kopi yake lakini wakati huohuo ili amrahisishie kazi anayejumlisha jiboni, anaweza kutuma hata kwa message kwenye tally centre yaani ile ya...
Hivi vituo vya kupigia kura vinatakiwa vifungwe saa ngapi? Nimesikia katika TV channel moja kwamba vinafungwa saa 10.00 jioni. Kwa maoni yangu ni mapema mno na sioni sababu yoyote kwanini...
Huko Lindi CCM imewasimamisha viongozi 50 wa ngazi mbalimbali kwa tuhuma za kuhujumu chama.
Huko Arusha nimeletewa habari za kuamninika na mmoja wa walioko kwenye kampeni za mgombea ubunge kuwa...
Kuna habari huko Geita kuna kituo wanatumia Daftari la mpiga kura la 2005 baada ya daftri la 2010 kukosekana.
Ama kweli NEC mwaka huu imeboronga balaa....
Wadau nimewahi kupiga kura pale Utawala Mlimani nikiwa mtu wa saba then nikaingia church. Katika tangazo la Tume rangi ya BLUU ni uraisi, NYEUSI ni Ubunge na NYEUPE ni udiwani. Lakini kwenye kituo...
Kuna wakati members wangependa kuwasiliana moja kwa moja na wanao cordinate uchaguzi kwa upande wa CHADEMA lakini wanakosa namba / contacts.
Nashauri iwepo page itakayokuwa na details hizo, iwe...
Jamani,
Tuliambiana humu JF kwamba document ya kujumlisha kura zote jimboni automatically imeshatengenezwa. Hivyo hakuna ujanja wa kupindisha mahesabu.
Tulikubaliana tuwasambazie wote...
Habari nilizopata sasa hivi kutoka Jimbo la Karagwe, kata ya Mabira ni kwamba kuna wasimamizi wa kituo fulani wanahojiwa na polisi kutokana na wapiga kura kukuta alama ya tiki kwenye chumba chja...
kana sehemu nyingi wasimamizi wameripotiwa kutotaka kuhakiki majina ya wapiga kura, yaani mawakala hawaambiwi,
Sehemu zingine hata daftari hawana access nalo.
halafu kuna kutofautiana kwa namba...
Mungu amenisaidia nimekuwa mtu wa kwanza kituoni kwangu kupiga kura. Nilifika saa 11 na dakika 33 (05h33) na kituo kilifunguliwa saa 12 na robo (06h15) na nilipiga kura yangu saa moja na dakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.