Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni hivi punde tu Mwakilishi wa EU akiwa antoa tathmini yake ya awali emesema uko Lindi kuna irregularities kiasi eti mmoja wa wanafamilia anawapigia wengine katika familia yake. Unless...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
katika hali ya kushangaza,mawakala wa chadema wanazuiwa kuhakiki vitambulisho vya wapiga kura kituo cha sinza mapambano
0 Reactions
10 Replies
2K Views
BBC Swahili on USTREAM: Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC ikisikika moja kwa moja kutoka Dar Es Salaam maalum kwa matangazo ya uchaguzi..
1 Reactions
3 Replies
13K Views
A total of 663 reports have been received on Uchaguzi Tanzania with 90% verified by TACCEO. The verification process involved actual phone calls to citizens amplifying the specific concerns for...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
kwa vile tunauhakika wa wewe kuapata ushindi ulio wazi, binafsi na huenda wanachama wengine tungekushauri, katika baraza lako la kihistoria la mawaziri jalibu kuwaweka baadhi ya makamanda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Makarani wa kuchapa matokeo ya jumla yakiwa yameshakusanywa wamechukuliwa na kupelekwa makao makuu ya Mkoa. Taarifa hii imetoka kwa Mtanzania mwenzetu akiwa Manyara ambapo ameniambia kuwa hawa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ripoti hizi si za kupuuza hasa ikitoka kwa shuhuda 31/10/2010 0 Comment(s) Nimekuwa nikifuatilia machapisho ya bloga, Albert Paul na licha ya kuwa blogu yake haina umaarufu zilizonao blogu...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Uchaguzi haujaahirishwa na tayari nipo kituoni kwa ajili ya kupiga kura. Kama utabiri huu wa kimajini umekwama, ule uchafu mwingine wa JK kushinda kwa kishindo upo kweli? Sheikh Yahya kajifiche...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimeshatoka kuvote for slaa,ktk kata ya sinza: Nimestaajabu kuona mawakala hawausishwi kukagua kadi ya mpiga kura na daftari la wapiga kura,kiana wametengwa. Ni rahisi kwa mtu ambae hayupo ktk...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Vijana wengi walioandikishwa mwaka huu katika kituo cha Batist kata ya Kichangani Morogoro mjini majina yao hayakuonekana na baadhi yao wameambiwa warudu tu ni bahati mbaya! inakuwaje kwa taarifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, Baada ya kupata taarifa juu ya suala husika Timu ya Uratibu imepitia vituo vyote na kuhakikisha tunakuwa na MAWAKALA WAAMINIFU. Napenda kuwajulisha na kuwaondoa hofu kuwa mpaka saa 5...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hizi kampeni za siku ya uchaguzi, zimeendelea kwa JK kupiga kampeni live, baada ya Lowassa kupiga kampeni kule Channel Ten, JK Mwenyewe amekipigia debe CCM live on Star TV, bado yuko hewani live!
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Sasa ni zamu ya Dr. Slaa live on Star TV.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wataanza kuonesha hivi punde
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Moyo wangu umeshtushwa ghafla baada ya kuulizwa swali hili! hvi kuna madhara yoyote kama wale wakikukunjia? Na ni kwanini wanatoa karatasi zikiwa zimekunjwa? Je kuna uwezekano wowote wa kura...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza nimejikuta naingiwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanya Campaign ya masafa marefu (kwa simu) kuhamasisha ndugu, rafiki, na jamaa zangu huko Tanzania kwenda kupiga Kura...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ninasikitika kwa kutokuweza kutumia haki yangu ya kuchagua viongozi wangu leo. Nilijiandikisha kupiga kura, nilihakiki jina langu kwenye tovuti ya NEC, bahati mbaya nimepata safari ya ghafla ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Watanzania waliowengi wameonnyesha hali ya kukomaa kisiasa na kuelewa elimu ya uraia. kwa kipindi chote cha kampeni watanzania wamwkua watulivu huku wakisikiliza sera za wagombea wa nafasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Nimetoka kumuua kikwete kweny ballot box Kulikuwepo mawakala wawili tu , CUF na CCM sijawaona wengine hii ni soo
0 Reactions
71 Replies
5K Views
Jamani hakuna uchaguzi ulio makini kama wa leo.nec walijiandaa vizuri utaratibu wa kupiga kura nimeukubali hata asiyejua kusoma na kuandika atapiga kura yake maana vijana wa kuelekeza wanajua kazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom