Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Poll Poll
Wadau, Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo: Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya...
0 Reactions
625 Replies
70K Views
Usiku wa leo na mchana wa kesho ni siku ambayo CCM inapitisha na itapitisha unyama wa aina yake wa kutumia hila zao walizozitayarisha kwa ajili ya kupora uchaguzi. Hivyo wananchi wale wote ambao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na kampeni za Jangwani na huko Mbeya mabomu yalivyokwenda,na jinsi viongozi wastaafu walivyomkandia Slaa katika dakika za mwisho ni wazi kuwa dkt.Slaa katika uchaguzi huu ataanguka tu...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Jamani hii imekaaje? KP noma.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF na wa Watanzania wote, leo ndiyo siku ambayo tumeisubiri kwa muda mrefu. Ni siku muhimu sana katika mapambazuko mapya ya nchi yetu. Nawaomba kila mmoja wetu ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Makamanda wa PCCB huko Bariadi wamemkamata mke wa Andrew Chenge aitwaye Tina kwa tuhuma za kugawa hongo ya Sh5,000 na kanga kwa wapiga kura katika vikao vya siri alivyokuwa anavifanya. Source...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAZIRI Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Ahmed Salim, amemmwagia sifa mgombea wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk. Jakaya Kikwete, kuwa ana nia ya dhati ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Whats up jf world? The time for talk is up, now its time for some action. So who ya got? Slaa or kikwete? Me yours truly here im picking kikwete to win handily albeit i hate ccm's guts. Let me...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hawa jamaa wa kijani walikuwa wanasafirisha watu kuwasikiliza, sasa sijajua kama watawabeba kesho au?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ikiwa ni tayari saa 6 usiku na ni tarehe 31 october 2010. Ni siku iliyosubiliwa kwa hamu kubwa ili watanzania wafanye mabadiliko makubwa. Mabadiliko yatakayo kumbukwa na vizazi vijavyo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huu ni Usia wa Mwisho kwa Chadema... Nawataarifu tu kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa Kikwete kushinda uchaguzi huu ikiwa Chadema watazembea ktk kuweka wasimamizi sehemu ambazo wao...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
My fellow countrymen, the time to make a wise choice has arrived. Please don't repeat the same mistake again [we'll never get this chance again!!!!!]. Vote for change this time. To paraphrase...
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Mkurugenzi wa TAMWA Bi Ananilea Nkya, leo katika Jambo tanzania amfagilia Regia kuwa ni mdada wa maono, anatoa upinzani mkubwa huko jimboni.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Magale Shibuda amezuiwa kugombea ubunge. Wenye taarifa plz tujulisheni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkuu kesho ni upigaji kura jamani kwa maendeleo ya Taifa kwa miaka mitano,kura yako ni mhimu sana kufanya mabadiliko ya Tanzania yetu yenye malengo mazuri na wananchi wake, CHAGUA CHADEMA kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu ambao hamjawa converted kumpigia kura dr. Slaa (yaani bado mnadhani mtampa kura zenu Kikwete) jiulizeni maswali haya kumi. Una maisha bora? Wezi wa EPA wamepatikana? Amekutajia wale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
It is the style of deliveries of their speeches that separated the two wolves from the sheep and I must say Mzee Mwinyi is a truly an exemplary statesman deserving all to emulate........He had...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Friday, October 29, 2010 Mchakato wa kuapishwa kwa mawakala Jimbo la Singida Mashariki-Uchakachuaji ukatishao tamaa Jana nilikuwa kwenye mchakato wa kuapishwa kwa mawakala watakaosimamia na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
alikuwa hapa itigi jimbo la manyoni magharibi mbalo lina ushindani mkubwa sana na ni wazi ccm inapumulia mashine,akiwa anawaomba watu wampe kura mgombea wa ccm bwana lwanja watu wakamwonyesha...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom