Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Rais JK... nilipokusikiliza asubuhi ya jana redio Clouds nilipata tabu sana kufuatilia maongezi yako hasa kutokana na sauti ya uchovu na kigugumizi kishichokwisha... kusema ukweli si kwa nia mbaya...
0 Reactions
107 Replies
8K Views
CCM inakiuka miongozo ya katiba yake, ikiwa ni pamoja na mwongozo wa Azimio la Arusha na Siasa ya TANU juu ya Ujamaa na Kujitegemea, kama ifuatavyo: MISAADA NA MIKOPO VITAHATARISHA UHURU WETU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Itahesabika kuwa imeharibika ikiwa karatasi ya kura iliyohesabiwa itatobolewa na office punch? ikiwa ni la nadhani kwa wale wanye uwezo wa kupata kitoboleo karatasi itawazuia wachakuaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya ni maneno ya Benjamin Wiliam Mkapa, ambaye aliendesha kampeni za vitisho zilizowakatisha Wananchi tamaa ya kutokea mabadiliko ya uongozi. Kwa sehemu kubwa sasa katitika kampeni ambazo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MAELEKEZO YA KUOIGA KURA YA RAIS. Ukipewa karatasi, ANGALIA PALIPOANDIKWA DR. SLAA AU ALAMA YA VIDOLE VIWILI, TIA TIKI HAPO. UTAKUWA UMECHAGUA RAIS MAKINI. TUMA KWA WATU 20
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Dr. Slaa yuko Live kwenye Radio Saut Mwanza sasa hivi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani jambo jema ni kuwa, muda huu nimetoka kuongea na Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye ni msimamizi wa uchaguzi. Anasema tayari wapo kituoni wakiandaa mazingira ya upigaji kura na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Mama Dr Batilda amefunga kampeni zake uwanja wa NMC kwa viroja vya aina yake.Kabla ya mkutano kuanza kuliwa na maandamano makubwa ya magari,pikipiki,baiskeli na waenda kwa miguu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu leo tumeshuhudia kampeni zikifungwa rasmi Tanzania nzima. Wakati akifunga kampeni hizo wilayani Hai,mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe alitoa wito kuwa Tanzania ilikuwepo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu... Kesho tunapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwa... regardless of results, nchi itaendelea kuwepo na nadhani tukisie kidogo baadi ya matukio muhimu Mimi ntaanza na hali ya fedha, kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaji Lewis Makame, M-Kiti wa Tume Rajabu Kiravu, Mkurugunzi wa Uchaguzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeongea na ndugu toka Mbeya anasema watu waliojitokeza kumpokea ni wengi sana! Kibaya zaidi hana Camera jamani mlio jirani hebu tuwekeeni angalau picha tu! NN
0 Reactions
75 Replies
9K Views
I'm tired of hearing it said that democracy doesn't work. Of course it doesn't work. We are supposed to work it. - Alexander Woollcott
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Kuna Watu wamekuwa wanajaribu kuufananisha Uchaguzi wa 2010 na ule wa mwaka 1995, wamekuwa wakijaribu kulinganisha Umaarufu alionao nao Dr. Slaa na Umaarufu aliokuwa nao Augustino Lyatonga Mrema...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Mungu uliye umba mbingu na nchi, uliyeumba Tanzania na watu wake; kesho watanzania wanapiga kura kuwachagua viongozi wao. Wapenda amani twakusihi uchaguzi uwe wa amani na haki. Kila mgombea avune...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Napatwa kigugumizi cha akili. Kwa masaa haya machache yaliyobakia, jk ana lipi jipya? Najiuliza hao walalahoi wenzangu wanaomshabikia amewapa nini? Nafika ukomo wa kufikiri katika hili. Inakuwaje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu nilitaka kuwajuza kuwa jana jioni CCM waliitisha waendesha pikipiki na vijana wavuta bangi wa Tabata Kimanga na kuwagawia Tsh. 5,000 na T-shirt kwa kila mmoja. Kadili ya watu 150...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaam wanabodi.<br /> Leo usiku kutakuwepo kipindi maalum cha kuombea uchaguzi mkuu uwe wa amani na utulivu.<br /> <br /> Kipindi hicho kimesharushwa na ITV na Star TV jioni ya leo. Usiku huu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Election Support Project 2010 The United Nations in Tanzania is helping to prepare for free, fair and credible Parliamentary and Presidential elections in 2010. Why? This support is in...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Kama JK atapita basi mjue ya kwamba kuna mpango madhubuti wa kuhakikisha kuwa wabunge wote wa CCM wanamchagua LOWASSA kuwa spika wa bunge(mtakuja kunikumbuka jamani).Huo ndo uozo wa CCM wao ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom