Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tetesi za mmiliki wa Kiwira kufunga kampeni za CCM zimetawala jiji la Arusha na maswali mengi wananchi wanajiuliza juu ya Mheshimiwa huyu Rais Mstaafu naye saa hizi za majeruhi anatafuta nini kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana jioni maeneo ya Mwadubi Wilaya ya kwimba jimbo la kwimba yamekamatwa mabox ya kupigia kura. Habari za uhakika kutoka kwa Mgombea wa Ubunge Letty Nyerere amesema wamekamata masanduku mawili na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tetesi hizi zinajengwa na hoja kuwa CCM wanasisitiza kuwa watapata ushindi wao kwa zaidi ya asilimia 80. Ushindi huu lazima upatikane kwa haki au hira kwa maana ndio utakaowawezesha kuunda...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu wana Jamii forum Je huu ni uungwana kwa vitendo vya CCM kuwatendea wananchi? fuata hiyo link Documentary
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Nilisimuliwa kisa cha mbayuwayu ambaye alikuwa anaishi katika shamba la Mkulima mmoja huko Ukwereni. Mbayuwayu huyo aliishi na wenzake katika maisha ya kutegemea nafaka na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni wazi ya kua wasomi wengi walioko katika post mbalimbali za serikali wanaogopa kujihusisha na siasa ili kulinda post zao na kuhofu kuhusu post zao hivyo wengi wao wanaamua kukaa kimya au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni ukweli usiopingika ya kua CCM katika uchaguzi huu itashindwa.Nini cha kufanya kwa CCM na JK kubalini matokeo ya uchaguzi na kuipa CHADEMA na Dr.Slaa atuongoze na baada ya miaka mitano mtapata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania inaongoza kwa kutoa misamaha mikubwa zaidi ya kodi ikilinganishwa na nchi nyingine za Afrika Mashariki pamoja na bajeti yake kuwa tegemezi kwa misaada ya nje kwa zaidi ya asilimia 30...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tamaa ya uongozi na idadi kubwa ya ahadi zisizotekelezeka Na Juma Kidogo Ni siku na wakati mwingine tena tunakutana ndugu zangu wapendwa katika ulingo huu wa siasa ili kujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Tamaa ya uongozi na idadi kubwa ya ahadi zisizotekelezeka Na Juma Kidogo Ni siku na wakati mwingine tena tunakutana ndugu zangu wapendwa katika ulingo huu wa siasa ili kujadili mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia jana na leo asubuhi ninaendela kukagua vituo vya kupiga kura hapa Arusha mjini na nimebaini ya kuwa NEC haimthamini hata chembe mpigakura. Makaratasi yenye majina ya wapigakura yamezagaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nafahamu kwamba leo ndo mwisho wa kampeni na kesho hakuna hata anayeruhusiwa kuvaa au kupeperusha bendera ya chama chochote ktk kituo cha kupigia kura. Ktk kampeni hizi CCM imetundika mabango...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dk. Slaa: Nitashinda • Kuhitimisha kampeni Mbeya leo na Mwandishi wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema Watanzania...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Jana katika mkutano wake na waandishi wa habari JK kwa mdomo wake alinishangaza pale alipotoa mfano wa ajira walizo leta katika kipindi cha miaka mitano ni "uanzishwaji wa Groceries...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na kupelekea Wananchi tulio wengi tusione jinsi maswali ya mwanzo yalivyojibiwa!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
dokii kukatika mauno hadharani mahudhurio hafifu na wewngi kuonekana walifuata burudani toka kwa marlaw,flora mbasha na hafsa kazinja jk kutumia dakika kumi kwenye hotuba yake jk kurudia kauli...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NEC yabariki kampeni za Chadema Maswa kusitishwa Na Joseph Mwendapole 30th October 2010 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imebariki uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Jimbo la Maswa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo kwa kuwa siyo siku ya kazi nilijihimu kwenda soko la Ilala kujipatia mahitaji yangu. Nilipoteremka stand ya Ilala sokoni (kutokea maeneo ya Buguruni) niliona watu wengi, hasa vijana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo wataalam wanasema ukitaka kuzaa mtoto wa kiume mimba lazima itunge siku ya 14 jaman kupitia uzoefu wanga siku kama ya leo katika kila chaguzi chama cha mafisadi uwa wana kesha usiku kucha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom