Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wandugu yamebaki masaa Kabla ya Kuifikia siku ya uchaguzi, ni saa sita na dakika moja usiku wa leo kama Mwenyezi Mungu akipenda tutakuwa tumeifikia hiyo siku! Bado ninashaulu ya kujua kama ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CAG aagiza tuhuma dhidi ya Dk Kawambwa kuvaliwa njuga Saturday, 30 October 2010 (Mwananchi) MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amemwagiza Mkaguzi Mkazi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hey guys,the only and great thinkers, Kwa mara ya kwanza nimetokwa machozi ya uchungu na furaha,vyote kwa pamoja niliposoma post ya Dr Slaa aloituma hapa hivi punde. 1.Nimekuwa na uchungu kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JK kweli anajua kula na vipofu, na amedhihirisha hilo kwenye Q&A session ya jana ( Huku wakiuita ni mdahalo). Anasema siri ya ajira nchi hii ni Kuleta wawekezaji? Cha ajabu ukitembelea website...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waliotangaza kura feki Tunduma wapata dhamana Saturday, 30 October 2010 Mwananchi Stephano Simbeye, Mbozi VIONGOZI wawili wa Chadema, kata ya Tunduma, wanaokabiliwa na kesi ya kutoa taarifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waulizwa maswali wamepangwa, wengine hawaruhusiwi kuuliza. Mambo yameanza. Kabla hajaanza kujibu, kwanza anacheka. Suzan Mungi-Style ya kampeni, unawanadi wabunge baadhi ya wananchi wanalalamika...
0 Reactions
593 Replies
42K Views
Maandalizi ya mkutano kabambe kesho yamekamilika ...nimepita pale jangwani usiku huu...nimekuta mkesha wa walinzi..unaendelea ..,na kuna dalili ya wenye imani mbali mbali kuwa pale kwenye vikundi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Je "mdahalo" wa JK unatueleza nini kuhusu watanzania?
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Nimepata taarifa toka songea wanasema pamoja na ahadi za jk alizotoa za meli,hosp za rufaa na bla bla nyingi,umati ulimuita tena dr.slaa leo songea haijawahi tokea.kama kuna mwana jf there pse photos!
0 Reactions
23 Replies
3K Views
never on earth kwamba turnout ya voters ni 100%, leo kiravu anatueleza wanaongeza 10% ya papers to cater 4 shortages, hii inaingia akilini, Mjoma mpoki anasema uchaguzi uliopita turnout ilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale tu waliokua na mda wa kumsikiliza mkuu wa nchi anaemaliza mda wake, yaani ex-president. Je umeguswa vipi na unampa maksi ngapi? Update: Nawashukuru wote ambao mko objective, unapotoa...
0 Reactions
70 Replies
5K Views
Katika khali inayothibitisha ya kuwa fani ya uandishi wa khabari imeingiliwa na kuvamiwa na mamluki wenye nia mbaya ya kushusha hadhi ya vyombo hivyo machoni pa jamii, gazeti la Mtanzania la leo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imevishauri vyombo vya dola kutowabughudhi wananchi watakaokaa mita 100 kwenye maeneo ya vituo vya kupigia kura baada ya kumaliza kupiga kura. Ushauri huo ylitolewa...
0 Reactions
8 Replies
854 Views
The cave is the world The fetters are the imagination The shadows of ourselves are the passive states which we know by introspection. The learned in the cave are those who possess empirical...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mi ni graduate from UDSM bachelor of commerce natafuta kazi ya accountant
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo jioni channel Ten na CCM wamezindua matangazo ya kumnadi JK huku wakichakachua aliyoyasema Dr. Slaa katika kampeni zake. Jk anaonekana mikutano yake ya mijini mahudhurio watu wamejaa na huku...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani JF, Viongozi wa dini hasa Wakristo wamenunuliwa leo kwa pesa chafu na JK na wameandaa magazeti kwa ajili ya kumpigia kampeni na kumsafisha JK siku ya tarehe 30.10.2010. Miongoni mwao yapo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Watanzania wenzangu. Nimegundua kuwa wengi wetu tunapiga kura kwa huruma kwa sababu tumekuzwa na kuelelewa kwa kuhurumiana. Kila mmoja wetu amegundua hasa baada ya mdahalo wa jana kuwa rais wetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo, wakati anajibu maswali kutoka kwa wawakilishi wa vituo vya TV, Mgombea urais kwa tiketi ya CCM rais JK, alisema kwamba sababu iliyomsukuma kuwanadi wagombea wa CCM wanaokabiwa na kesi za...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom