Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dear Brothers and Sisters in Christ, Grace and peace from God our Father and the Lord Jesus Christ be yours in abundance. We responded to God’s call to mobilize his people all over the world to...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
FFU WAKIMBIZA WAFUASI WA CHADEMA IRINGA ,DK SLAA AKWAMA KUHUTUBIA " Hapa tupo gado akitua tu Dk Slaa tunaye" " Ila hawa wananchi mbona ni wengi sana itakuwaje hawawezi kufanya fujo" "...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Ndugu zanguni, Taarifa nilizopata leo ni kuwa 'mdahalo' utakaoneshwa na ITV leo usiku kuhusu mgombea Urais wa CCM Jakaya Kikwete, umeingiliwa na mafisadi kuhakikisha kuwa unakuwa ni mkutano wa...
0 Reactions
85 Replies
8K Views
makamu mwenyekiti wa Jahazi Asilia Taifa Bw Ismail Makuke (kushoto) akanusha taarifa ya mgombea urais wa UPDP ambaye ametolewa kugombea nafasi hiyo baada ya kukosea jina lake Fahma Dovutwa ambaye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Imagine baba yako JK, mjomba wako kinana, shemeji yako makamba na dovutwa ndo anamalizia mahali kwa mdogo wako wa kike?! Utajisikiaje?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wekeni midahalo yote mitatu hewani mmoja baada ya mwingine then watz wapime nani haswa yupo makini na anapaswa kuwa rais wetu,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu naomba mnielimishe hapa....mimi nimejiandikishia Yaeda na nilikuwa nipigie kura kule....kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika kwa sasa naandikia hii thread huku Tandahimba, sasa nasikia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimepitia karatasi za wapiga kura, ambazo zimetundikwa maeneo mbalimbali katika vituo vya kupigia kura tarehe 31/10/2010. Katika orodha waliyoweka tume ya uchaguzi, kuna aina mbili za namba za...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Haya ni matumizi yasiyokuwa ya lazima ya FFU Watanzania wanaoneka wana amani kabisa Askari hata hawaoni umasikini unaowazunguka... angalia hayo mabati Uchafu hawauoni Ila raia wema...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mungu waadabishe, waongezee njaa na dhiki waandishi wa habari wa Tanzania, WANAFIKI..amen
0 Reactions
17 Replies
2K Views
....but these CCM mofos know how to play the game (of politics). I am in the rock city right now and all you see is CCM ads...from billboards to placards to hats to just about every little thing...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nikiwa njia kutoka mji mdogo wa katoro(busanda),ghafla wakati tunaaza kuingia gta mjini nje kidogo ya centre ya nyankumbu nikaona magari ya kampeni ya mgombea wa ccm yamesimama green gud wake...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama midahalo ni kipimo cha urais wapendwa nani tumtangaze kuwa rais wetu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kutoa shukrani zangu kwa Bw Mengi na timu nzima ya ITV, kwa kuweka historia ya mapambano/ demokrasia Tanzania kwa kuweza kutoa coverage ya 3hrs kwa CHAMA CHA UPINZANI, hata kama ni kulipia...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Jamani nawaomba mrudi nyuma mtafakari zaidi juu ya mgombea huyu ambaye ni rais wa tanzania kweli anathubutu kutwambia watanzania kwamba ahadi nyingi alizozitoa ni za hapokwapapo??!!!inashangaza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninawaomba wana CCM mnaoweka maslahi ya nchi mbele ya Chama mumuulize Mpendwa wetu mgombea wa CCM maswali haya kwa niaba yangu na ya wanachi wengine ili akanushe uvumi unaoenezwa juu yake katika...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Jk kaulizwa swali kuhusu ahadi anazotoa kila sehemu itakuwa vipi? Jamaa anajibu kisanii kwamba inambidi tu aseme japo hayako kwenye ilani kutokana na mazingira. Duh, huyu ndiye eti rais
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, kweli tulikuwa tunaongozwa na viongozi wa dini kabisa hatukuwa na kiongozi wa serikali. Jamaa kathibitisha kabisa hawezi kuwatengua kwani mpaka hapo bado watuhumiwa. Inakuwaje wagombea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jk msanii eti serikali imeandaa waalimu wa science kwa univ of mwenge marangu!swali ni ya govt au kkkt?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba CCM wameandaa mikakati michafu kuhakikisha kwamba wanashinda Uchaguzi wa Ubunge jimboni Ubungo kwa gharama zozote. Wamekaa kikao na kukubaliana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom