Jana wanazuoni wa Uhazili Tabora walijikuta wakisweka lupango kwa muda wa masaa kadha wa kadha baada ya kinachosadikiwa kumwonyesha alama ya "V" Mama Salma alama ambayo inatumiwa kukinadi...
REDET, SYNOVATE na, wagombea wametugeuza watanzania ndondocha
Wagombea wote watakaoshindwa kutimiza ahadi zao washitakiwe kwa makosa ya utapeli na udanganyifu
Na Juma Kidogo...
Waungwana, ikiwa unakerwa na BBC, tafadhali weka malamiko yako hapa. Nimeongea na mkurugenzi wa world service na ameniahidi kwamba jinsi tutakavyotoa malalamiko ndio jinsi malalamiko yetu...
Jana nilitoa Thread inayouliza ""asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?""
Heading hii ilivuta hisiaza wanajamii wengi sana kiasi kikanipa jib kwamba wanajamii wengi wanaushabiki...
Jenerali Ulimwengu
Oktoba 27, 2010
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo:
1) Tambua...
Nimefuatilia khali ya mambo inavyokwenda wakati tunakaribia kupiga kura nimeona dalili sio nzuri kabisa maana kuna kasoro nyingi mno ambazo ni riskfactors kwa vurugu hapa nchini. Nyingi ya kasoro...
Penye ukweli uongo hujitenga..........
Naomba mods musiifute hii post kwani hata serikali inaruhusu udini kujadiliwa ndiyo maana, al huuda,al nuur, habari leo au rai hawawezi kuchukuliwa...
Tembea tembea yangu kwa vidole nimejikuta niko kwenye uwanja unaitwa Uturn.Katika kutakasa macho na mapambio yaliyoko huko ni kavutiwa na habari inayo muhusu January Mkamba na mipango yake ya ku...
Navyamini mimi hakuna taifa lililopata maendeleo bila mabadiliko ya kisera na kiutekelezaji wa sera hizo kwani huenda sera zikawa zinafanana ila watekelezaji hawawezi kuwa sawa kwani wanadamu...
Waheshimiwa na ndugu zangu JF, salamuni popote mlipo,
Mnivumilie kwa maelezo marefu kani naamini mtakapomaliza kuyasoma wengi mtafurahi na kuboresha nilicholeta..
Kilio chetu siku zote...
ILIKUWA KAMA SINEMA NDANI YA TBC 1 Walipomuhoji CAG Bw Utouh juu ya madai ya Dr. Slaa kuwa Wilaya ya Bagamoyo ilitumia shs Milioni 700 kwa matundu manne ya choo. Jumla kwa vyoo vyote ni Bilioni 3...
Habari nilizo nazo ni kuwa kadi mpya za kupigia kura Tarehe 31-10-2010, bado zinatolewa kwa wapiga kura ambao sio rasmi( ambao hawatambuliwi na NEC). Lakini pia kuna tatizo kubwa sana,watu...
Jioni hii BBC wamemsusa dr Slaa hawajatangaza chochote kuhusu yeye. Wameokoteza vitu vya ajabu ajabu ambavyo havina mvuto kufananisha na jinsi Slaa alivyoteka tz Leo
Leo BBC imekuwa na mahojiano na mkuu wetu Maxence na ndugu yetu Zitto katika kipindi maalum kinachohusika na uchaguzi mkuu.
Hii ni heshima kwa JF kwamba inatambulika kwa mchango wake katika siasa...
WANAJF, MI SINA LA KUFICHA NAHITAJI MABADILIKO YA KWELI KWA HIO KURA YANGU SI SIRI TENA ILA NI KWA DR SLAA, JE NYNYI? DR SLAA NDIO MPANGO MZIMA.:israel:
Kura yangu ni siri isipokuwa kwa mgombea mmoja tu..... hili liko wazi wala sio siri tena.
1. Silali usingizi wa kutosha maana lazima nidamke usiku usiku kutokana na foleni.
2. Nikiugua sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.