Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jana wanazuoni wa Uhazili Tabora walijikuta wakisweka lupango kwa muda wa masaa kadha wa kadha baada ya kinachosadikiwa kumwonyesha alama ya "V" Mama Salma alama ambayo inatumiwa kukinadi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
REDET, SYNOVATE na, wagombea wametugeuza watanzania ‘ndondocha’ Wagombea wote watakaoshindwa kutimiza ahadi zao washitakiwe kwa makosa ya utapeli na udanganyifu Na Juma Kidogo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waungwana, ikiwa unakerwa na BBC, tafadhali weka malamiko yako hapa. Nimeongea na mkurugenzi wa world service na ameniahidi kwamba jinsi tutakavyotoa malalamiko ndio jinsi malalamiko yetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana nilitoa Thread inayouliza ""asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?"" Heading hii ilivuta hisiaza wanajamii wengi sana kiasi kikanipa jib kwamba wanajamii wengi wanaushabiki...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jenerali Ulimwengu Oktoba 27, 2010 Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo: 1) Tambua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesikia leo Dr anatinga iringa kwa ngwe ya mwisho kuanzia majira ya sanane Ngoja niwasiliane na wadau uko watupe updates
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimefuatilia khali ya mambo inavyokwenda wakati tunakaribia kupiga kura nimeona dalili sio nzuri kabisa maana kuna kasoro nyingi mno ambazo ni riskfactors kwa vurugu hapa nchini. Nyingi ya kasoro...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Penye ukweli uongo hujitenga.......... Naomba mods musiifute hii post kwani hata serikali inaruhusu udini kujadiliwa ndiyo maana, al huuda,al nuur, habari leo au rai hawawezi kuchukuliwa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Tembea tembea yangu kwa vidole nimejikuta niko kwenye uwanja unaitwa Uturn.Katika kutakasa macho na mapambio yaliyoko huko ni kavutiwa na habari inayo muhusu January Mkamba na mipango yake ya ku...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo ni weekend ya mwisho kabla ya kung'oka rasmi kwa CCM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Navyamini mimi hakuna taifa lililopata maendeleo bila mabadiliko ya kisera na kiutekelezaji wa sera hizo kwani huenda sera zikawa zinafanana ila watekelezaji hawawezi kuwa sawa kwani wanadamu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waheshimiwa na ndugu zangu JF, salamuni popote mlipo, Mnivumilie kwa maelezo marefu kani naamini mtakapomaliza kuyasoma wengi mtafurahi na kuboresha nilicholeta.. Kilio chetu siku zote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ILIKUWA KAMA SINEMA NDANI YA TBC 1 Walipomuhoji CAG Bw Utouh juu ya madai ya Dr. Slaa kuwa Wilaya ya Bagamoyo ilitumia shs Milioni 700 kwa matundu manne ya choo. Jumla kwa vyoo vyote ni Bilioni 3...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari nilizo nazo ni kuwa kadi mpya za kupigia kura Tarehe 31-10-2010, bado zinatolewa kwa wapiga kura ambao sio rasmi( ambao hawatambuliwi na NEC). Lakini pia kuna tatizo kubwa sana,watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jioni hii BBC wamemsusa dr Slaa hawajatangaza chochote kuhusu yeye. Wameokoteza vitu vya ajabu ajabu ambavyo havina mvuto kufananisha na jinsi Slaa alivyoteka tz Leo
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndio nitampigia kura Dr Slaa.....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo BBC imekuwa na mahojiano na mkuu wetu Maxence na ndugu yetu Zitto katika kipindi maalum kinachohusika na uchaguzi mkuu. Hii ni heshima kwa JF kwamba inatambulika kwa mchango wake katika siasa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
WANAJF, MI SINA LA KUFICHA NAHITAJI MABADILIKO YA KWELI KWA HIO KURA YANGU SI SIRI TENA ILA NI KWA DR SLAA, JE NYNYI? DR SLAA NDIO MPANGO MZIMA.:israel:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kura yangu ni siri isipokuwa kwa mgombea mmoja tu..... hili liko wazi wala sio siri tena. 1. Silali usingizi wa kutosha maana lazima nidamke usiku usiku kutokana na foleni. 2. Nikiugua sina...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hata pale Mlandege amezuiliwa...........
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom