Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii...
jAMANIN MI MTEMBEZI,Nipo matembezini nikifanya coverage ya uchaguzi.kama wengi mnavyojua jana Dr slaa alitakiwa kuhutubia katika viwanja vya mwembetogwa manispaa ya Iringa lkn hakufanya hivyo...
Nilikua naskiliza radio WAPO na mojawapo ya habari ni kwamba wananchi wa shinyanga wamebaini majina yao yakiwa yamebandikwa mara mbili katika vituo viwili tofauti; yaani jina lako linaonekana hapa...
baada ya ya post yangu ya vilio na kusaga meno vya tawala ngome ya chadema pale mlimani, kuna watu walidiriki kusema mimi nia yangu ilikuwa mbaya kutoa taarifa ile eti nafurahia watu kukosa haki...
Nimepata taarifa kwamba msafara wa Mgombea wa Ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Kibakwe wilayani Mpwapwa Kamanda Benson Kijaila Singo umevamiwa na Green Guards wakiongozwa na Kaka wa Mbunge...
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo:
Tambua kwamba kura ni silaha takatifu inayokuwezesha...
Hii ahadi ni tusi kwa vijana wetu ambao kwa kuwepo kwao kwenye biashara hiyo si kwa kupenda bali ni mfumo m-baya wa utawala wa serikali ya CCM. Hivi RIZone naye ni moja ya walengwa wa hizo...
Jamani, Huyu Mama atakufa kwa Pressure!!!!!!!!!
Juzi Dk. Batilda alivamia bila kualikwa katika mkutano wa Arusha Women SACCOS uliokuwa unafanyika pale Metropole na kuanza kujidai kuchangia mada...
:peep: Wakuu baada ya kufanya tathimini nzito na yakina si kama zile Synovate na REDET nimebaini bila shaka yoyote wala ushabiki nafasi ya ubunge Arusha bado iko wazi kwa wagombea watatu Bwana G...
Hivi kweli Rais wa nchi unaweza kuthubutu na kusema foleni za Dar ni middle class imeongezeka, for ur info ni kuwa this is among the shortfall ya serikali ya CCM,with PLANNING NA VISION sijui...
Uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti sana na chaguzi zilizopita kwa vile kwa maoni yangu nchi yetu iko katika njia panda.Kiuchumi,kisiasa na kijamii.Nina sababu za kutomchagua mgombea wa CCM kwa kila...
Hi Dr. Slaa.
Wishing you all the great things in life, hope this day will bring you an extra share of all that makes you happiest.
Goodlucky on 31st Oct 2010, Goodlucky CHADEMA.
Alhaj Selous
...... Kumchagua Mgombea wa Dini yoyote!.
Zikiwa zimebakia siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu, Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Bin Simba, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi...
dk slaa anasubiriwa na umati wa watu hapa mjini dodoma kwenye viwanja vya barafu, vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliokuwa mali ya mlipa kodi wa nchi hii ukapokwa.
inesemwa ya kwamba...
NEC yazuia mahafali ya wanafunzi
na Mwandishi wetu, Moshi
UPEPO wa kisiasa umebadilika katika Jimbo la Moshi Mjini ambako zikiwa zimesalia siku mbili tu Watanzania wapige kura, mgombea...
Pamoja na kuwa mimi sio mgombea wa kiti chochote katika uchaguzi huu, lakini kila muda unavyoenda na kusogelea uchaguzi
PRESHA INAPANDA:scared:
PRESHA INASHUKA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU...
1. Ni mwadilifu-maisha yake ni ya kawaida.
2. Hana tuhuma za mali isiyoelezeka.
3. Hajawahi kutumika/kurubuniwa na Serikali.
4. Ni mtu jasiri.
5. Amesaidia kufichua mchwa wa uchumi wa TZ.
6. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.