Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika hali inayoonesha watanzania kuchoshwa na ubabaishaji wa Chama Tawala CCM, Watu mbalimbali mitaa ya Tanga wameendelea kukumbuka machungu waliyofanyiwa na CCM hasa kipindi cha miaka hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jAMANIN MI MTEMBEZI,Nipo matembezini nikifanya coverage ya uchaguzi.kama wengi mnavyojua jana Dr slaa alitakiwa kuhutubia katika viwanja vya mwembetogwa manispaa ya Iringa lkn hakufanya hivyo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilikua naskiliza radio WAPO na mojawapo ya habari ni kwamba wananchi wa shinyanga wamebaini majina yao yakiwa yamebandikwa mara mbili katika vituo viwili tofauti; yaani jina lako linaonekana hapa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
baada ya ya post yangu ya vilio na kusaga meno vya tawala ngome ya chadema pale mlimani, kuna watu walidiriki kusema mimi nia yangu ilikuwa mbaya kutoa taarifa ile eti nafurahia watu kukosa haki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kama kuna mtu anaweza kuikuza ndio itaonekana vizuri ...angalia vizuri watu waliozungushiwa duara wanajirudia
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimepata taarifa kwamba msafara wa Mgombea wa Ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Kibakwe wilayani Mpwapwa Kamanda Benson Kijaila Singo umevamiwa na Green Guards wakiongozwa na Kaka wa Mbunge...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo: Tambua kwamba kura ni silaha takatifu inayokuwezesha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ahadi ni tusi kwa vijana wetu ambao kwa kuwepo kwao kwenye biashara hiyo si kwa kupenda bali ni mfumo m-baya wa utawala wa serikali ya CCM. Hivi RIZone naye ni moja ya walengwa wa hizo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani, Huyu Mama atakufa kwa Pressure!!!!!!!!! Juzi Dk. Batilda alivamia bila kualikwa katika mkutano wa Arusha Women SACCOS uliokuwa unafanyika pale Metropole na kuanza kujidai kuchangia mada...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
:peep: Wakuu baada ya kufanya tathimini nzito na yakina si kama zile Synovate na REDET nimebaini bila shaka yoyote wala ushabiki nafasi ya ubunge Arusha bado iko wazi kwa wagombea watatu Bwana G...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hivi kweli Rais wa nchi unaweza kuthubutu na kusema foleni za Dar ni middle class imeongezeka, for ur info ni kuwa this is among the shortfall ya serikali ya CCM,with PLANNING NA VISION sijui...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti sana na chaguzi zilizopita kwa vile kwa maoni yangu nchi yetu iko katika njia panda.Kiuchumi,kisiasa na kijamii.Nina sababu za kutomchagua mgombea wa CCM kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi Dr. Slaa. Wishing you all the great things in life, hope this day will bring you an extra share of all that makes you happiest. Goodlucky on 31st Oct 2010, Goodlucky CHADEMA. Alhaj Selous
0 Reactions
55 Replies
4K Views
...... Kumchagua Mgombea wa Dini yoyote!. Zikiwa zimebakia siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu, Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Bin Simba, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
dk slaa anasubiriwa na umati wa watu hapa mjini dodoma kwenye viwanja vya barafu, vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliokuwa mali ya mlipa kodi wa nchi hii ukapokwa. inesemwa ya kwamba...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
NEC yazuia mahafali ya wanafunzi na Mwandishi wetu, Moshi UPEPO wa kisiasa umebadilika katika Jimbo la Moshi Mjini ambako zikiwa zimesalia siku mbili tu Watanzania wapige kura, mgombea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa mimi sio mgombea wa kiti chochote katika uchaguzi huu, lakini kila muda unavyoenda na kusogelea uchaguzi PRESHA INAPANDA:scared: PRESHA INASHUKA MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Ni mwadilifu-maisha yake ni ya kawaida. 2. Hana tuhuma za mali isiyoelezeka. 3. Hajawahi kutumika/kurubuniwa na Serikali. 4. Ni mtu jasiri. 5. Amesaidia kufichua mchwa wa uchumi wa TZ. 6. Kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Views and suggestions are highly appreciated.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom