Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jana kwenye mdahalo wake pale Movenpick, Prof. Lipumba alionekana kukerwa na utawala wa bora liende wa JK na CCM yake kwa kufanya maamuzi makubwa bila ya kuongozwa na tafiti. Akitoa mfano wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hali hii kweli inashangaza kabisa. Ungelitegema JK na CCM kwa kile wanachokiita ni wazoefu wa utawala wangelikuwa mstari wa mbele kusema "YOTE YANAWEZEKANA" lakini wao sasa wamekuwa mstari wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Usherekeapo siku yako ya kuzaliwa leo,zawadi yangu nitakupatia juma pili ingawa itakua zawadi kwa watanzania wote pia,.... watanzania tunakutakia maisha marefu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanafunzi 919 wa chuo cha ualimu Tandara Makete watakosa haki yao ya msingi ya kupiga kura Sababu ya msingi ni kuwa chuo kimefungwa na mbaya zaidi walijiandikisha uko uko MY TAKE Where is the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mawakala wa Chadema wafanye yafuatayo ili kudhibiti wizi au udanganyifu wa matokeo ya uchaguzi kwa ujumla: 1. Kabla ya kufungua kituo wawe na idadi ya wapiga kura kutokana na majina...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika mdahalo Mh Slaa alisema kuwa Tanzania ni nchi ya 2 au 3 kwa umasikini Barani Afrika. Aliyasema hayo bila kutoa Chanzo (source) cha kuthibitisha maelezo hayo. Huu ni uwongo LIVE, kama...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habari za jioni NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawashauri wa TZ wenzangu bila kujali itikadi zetu tumpigie kura DR Slaa, kwani kama tumewapa haw ndugu miaka yapata 50 na tumepotea hadi sasa tunakumbwa na lindi la umasikini na ufisadi usioisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuiba kura, kuchakachua matokeo ya uchaguzi ni kitendo cha uhaini kwani ni sawa na kupindua serikali. Serikali halali inachaguliwa na wananchi halafu vibosile vichache vinakaa na kula njama na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ktk wiki hii ya mwisho nimekuwa nikipokea taarifa kwamba ziara ya makamba iliyoanzia kanda ya kaskazini akimnadi Dr Buriani, ilienda sambamba na kuwaahidi waislamu kwamba TZ itajiunga na OIC na...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA W.SLAA ANATAMBA KUFUATA KATIBA NA UTAWALA WA SHERIA!! LAKINI WACHAMBUZI WA SIASA NA SHERIA WANAONA HIYO NI DANGANYA TOTO NA NI KAULI ZA KITAPELI TU!!! GONGA HAPA UPATE...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu Watanzania wenzangu: Zikiwa zimebakia siku 3, tunayokazi kubwa tu ya kufanya; kuhakikiaha tunaleta mabadiliko ya kweli kwa kupiga kura kwa kiongozi mwenye dhamira ya kweli kuiondoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, nimemsikia mke wa kikwete akitoa agizo kwa wamama wa chama cha CCM wakawakanye watoto wao hasa wa kiume ( akidai wa kike hawana matatizo) waipigie kura CCM eti ndo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ZIkiwa zimebaki siku 2 uchaguzi mkuu ufanyike kikosi cha wandishi wa habari waandamizi wakiongozwa na wakongwe kutokea DSM wamepelekwa mjini Moshi kwa lengo la kutengeneza habari za kumchafua...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
ZIkiwa zimebaki siku 2 uchaguzi mkuu ufanyike kikosi cha wandishi wa habari waandamizi wakiongozwa na wakongwe kutokea DSM wamepelekwa mjini Moshi kwa lengo la kutengeneza habari za kumchafua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za usiku? Jana niliwaahidi kuwaletea picha juu ya mikutano ya kampeni za Mbowe jimboni Hai mchana wa leo. Naomba mnisamehe kwa kushindwa kuziweka hapa kwani kifaa changu cha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Miaka ya 1996 while in Primary school, kulikuwa na mwanafunzi mmoja hajui kabisa lolote, yaani ni mbumbumbu, mjinga whatever you call him au Mungu hakumjalia kipaji cha kujifunza, siku moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
20th October 10 Serikali: Bei za saruji, nondo zishushwe Richard Makore Serikali imeviagiza viwanda vya saruji na nondo nchini kuhakikisha vinapunguza bei ya bidhaa hizo kwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Anataka kulisambaratisha taifa la Tanzania hivi hivi mbele ya macho yetu kwa kukitumia chama kilichokwisha kupoteza dira na kimebakia kuwa kama pango la mafisadi. Watanzania lazima tuamke tumkatae...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom