Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

JK anatarajiwa kukutana na waandishi wa habari, katika ukumbi wa Arnatoglo-ilala, siku ya ijumaa, waandishi hao watapata mwaliko maalumu na watakuwa waandishi wa digital media i.e radio and Tv...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Kwa watakaopata nafasi msikilize nabii joshua akigusia mambo ya uchaguzi leo kuanzia saa 12.00 hadi saa 1.00 jioni. .........si tu kumsikiliza pweza .....!!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Tuache ushabiki usio na mantiki. Tusibadili siasa kuwa kama ushabiki wa Simba na Yanga. Wenzetu waghana ilifika wakati wakaacha ushabiki wa kijinga wakaunga mkono chama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika mkutano wa kampeni wa CUF unaoendelea sasa hivi hapa jangwani Dar es Salaam Juma Haji Duni Mgombea mwenza wa Kiti cha urais kwa tiketi ya CUF ametoa hadharani ushahidi wa barua pamoja na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, jana 27/10/2010, Kamanda Mbowe alikuwa Arusha, ambapo walifanya mkutano wa kampeni wa Historia hapa mjini, katika viwanja vya NMC!...Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini Bwana G.Lema alihutubia...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Kativii kangu ka black n white kamepona so uchaguzi niko nao beneti kwa sasa, Jana Dr. slaa nilimuona Jangwani kapata nyomi hata tiviii ilikuwa ndogo, lakini leo huyu Jeykey kapata manyomi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Ndugu zanguni Watanzania, nimekuwa nikifuatilia uchaguzi hapo nyumbani kwa karibu sana. Nimesoma nakala nyingi zinazo husu uchaguzi wa 2010. Sasa tukiwa tumefika kwenye dakika za lala salama ni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
ELIMU BORA CHAGUA CCM CHAGUA KIKWETE
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Namfananisha Kinana na Waziri wa Ulinzi wa Iraq enzi za anguko la utawala wa Saddam Husein. Jamaa (muhammad Saeed al sahhaf) alikuwa anakanusha kila kitu kuhusu kuzidiwa na Wamarekani. Hata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Just on my way from Lunch, passed through Mwembe togwa fields, Lots of ppl have gathered around. Sorry I couldn't take Pictures but just Expect a Tsunami Crowd. hope my colleague Njowepo may be...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF naamini wengi wetu kama si wote tutakuwa tumejiandikisha kupiga kura. Lakini kuna huu utaratibu uliowekwa wa kwenda kucheki kama majina yetu yapo. Tafadhari nendeni mkakague kama majina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna taarifa za uhakika kuwa UWT kwa kushirikiana na ikulu walimbana Mengi kutokuruhusu marudio ya mdahalo wa DR SLAA katika kituo chake cha ITV hapo juzi kama ilivyokuwa imetangazwaa awali. Ni...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani, hivi mnaona kwamba tangu Shehe Yahya amwahidi Bw Kikwete ulinzi wa majini, yaani mashetani, JK hajaanguka tena? Hii inaonyesha kuwa JK alilikubali pendekezo la Shehe Yahya na amelipokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pata habari hapa http://www.prosperity.com/pdf/Tanzania.pdf
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu mabibi na bwana, pole sana kwa mihangaiko ya kusaka mkate wa kila siku. Napenda kuchukua fursa hii kuwapeni ushauri wa bure kabisa. Ushauri ambao utatusaidia sisi sote na vizazi vyetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi napendekeza kwa CHADEMA kuwa kuna haja kubwa ya mbowe kumsaidia kampeni WEnje hata kwa siku moja tu.Nawaangalia hawa watu kwa mtazamo kwamba Masha anajifanya mtoto wa mjini, Sasa akipelekewa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani. Hata kama ni kujipendekeza, this is too much. Kwamba Maghembe anatangaza kuwa watoto wa Tanzania wakihitimu elimu ya msingi sasa watakuwa wanakwenda moja kwa moja sekondari. Hivi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natazama TBC, Wamemtafuta mwanzilishi wa kiwanda cha Tanga Cement ili ajibu kama Cement inaweza kuuzwa kwa shilingi elfu tano kwa mfuko mmoja kama asemavyo Wilbrod Slaa(PhD). Kwa mujibu wa mzungu...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakati tukiambiwa kuwa Vyombo vya ulinzi na usalama vitatumika kusimami zoezi la kupiga kura, Vitisho vimeanza kuonekana waziwazi wilayani Kibondo, mkoani kigoma. Juzi, 26.10.2010, askari Polisi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom