Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara juzi maeneo ya makao mapya badala ya kuwaeleza wananchi namna atakavyotatua matatizo yao lukuki,mgombea huyu kwa tiketi ya ccm Arusha mjini alionyesha jinsi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative. Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka. Akiingia huwa anawaongoza...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wakuu nani mwenye taarifa ya hali ilivyo jimboni kwa kamanda Tundu Lissu???? Maana ni muda sasa hajasikika habari zake. Wenye data za uhakika nijulisheni mwenzenu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanajamiiforum, naomba mnikaribishe rasmi kuwa mwanachama mpya. Nimeamua kujiunga nanyi katika kutoa michango ya kimawazo kwa Taifa letu. Na ninawapongeza sana wale wote walioanzisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niliwaoji watu wa makamo kama 50 hv kila nilipohuzuria mikutano ya CCM hasa ya urais,kila mtu alikuwa na maoni yake ila yote yalilenga hapa,Ebu soma,"Ndugu zangu watanzania ni wazi kwamba kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Follow the link bbcswa @ USTREAM - User information, live shows and recorded videos, schedule.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kwa mara ya kwanza niliuangalia Mdahalo wa Mh Slaa kupitia Michuzi blog. Alipoulizwa maswali na mwendesha kipindi, hakika nawaeleza hakuna point aliyojibu. Kitu alichhofanya ni kama alivyofanya...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Katika siku za hivi karibuni,CCM Rorya wanamtumia Mwanamziki maarufu kutoka Kwenye kampeni zao za uchaguzi huko Rorya.ITV jana wamemwonyesha Mwanamuziki huyo Osogo Winyo akitumbuiza kwenye kampeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Makamu mwenyekiti wa REDET Dr. Benson Benza amelalamikia kitendo cha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa kudai kuwa yeye ni mshauri wa Rais aliyemaliza muda wake Bwana Jakaya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WanaJf, with only two days to go for general elections (ukiondoa leo), nasikitika kutokuwepo nyumbani ili nimchague kiongozi (viongozi) nayeona atafaa kutukomboa katika matatizo haya tuliyonayo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Waraka wa kudai Sh 4 bilioni wasambazwa Monday, 25 October 2010 Mwananchi Mwandishi Wetu, Mwanza WARAKA unaodaiwa ni wa polisi wa kawaida umepatikana jijini hapa ukiihoji serikali ya awamu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tafadhali..kwa wale wote wapendao maendeleo..na wanaotaka kuleta mageuzi..ingia katika site ya tume ya uchgazi..na kuangalia jina lako. Ni rahisi tu..ingia katika website ya tume..www.nec.go.tz
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ule mdahalo uliokuwa ufanyike kesho, unafanyika leo ndani ya hotel ya Movenpick, ukumbi wa Kivukoni. Kuanzia saa1 hadi saa3 usiku na kurushwa live kupitia ITV. Kutokana na kuwa short notice...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimetazama vimbwenga vya wenje kupitia TBC1. Umati unatisha! Hakuwa anaomba kura kwa sababu ni wazi kashapata. Alikuwa anahamasisha ulinzi wa kura. Hivi hadi sasa tuna uhakika wa majimbo mangapi?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tangu Jumatatu list ya wapiga kura imeshabandikwa vituoni. Hivyo muda wote wa wiki hii ni muda wa mtu kuhakikisha jina lake lipo kama lilivyoandikwa kwenye kitambulisho cha kupigia kura na kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
-Kwanza hakikisha kadi yako ya kupigia kura umeishatafuta na kuiweka mahala ambapo utakumbuka kirahisi. -Kutokana na uwezekano wa kuwepo foleni kubwa sana jiandae kwa kubeba maji ya kunywa mengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fuatilia matangazo maalum ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC, moja kwa moja kutoka Dar Es Slaam. Kila siku kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tatu usiku. Bofya hapa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwangalizi wa SADC ashangaa CCM inashinda kwa kishindo S Thursday, 28 October 2010 08:10 Elias Msuya MWANGALIZI mmoja wa uchaguzi mkuu kutoka kundi la SADC ECF, jana alionyesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ridhiwani atua Zenj kumpa tafu Masauni Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ridhiwani Kikwete...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Website ya NEC ina habari zilizopitwa na wakati na nyingine kutokuwepo kabisa. Mfano, results database - ilibidi database ya 2010 iwe tayari na mara matokeo yanapotumwa kutoka kwenye majimbo basi...
0 Reactions
3 Replies
840 Views
Back
Top Bottom