Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

taarifa zinaenea kwamba zile karatasi za kura zilizokuwa zimekamatwa kule Tunduma kwenye lori inasemekana zimerudishwa Zambia na badala yake zimeingizwa nchini kwa ndege bila kutua kwenye kiwanja...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Kuna uvumi unaenea kasi kuwa: -Zile kura za Tunduma, zilirudishwa hadi Zambia -Zikapakiwa kwenye ndege mbili -Moja ikatua Ngerengere jeshini (airbase) -Nyingine ikatua serengeti kwenye hotel moja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata. Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Marando atinga Maswa kumsaidia Shibuda, baadae Mara na Mwanza atakapowakampenia familia ya Nyerere, Vicent (Musoma Mjini) na Leticia (Magu) na baadae kwenda kuhitimisha kwa Waziri Kijana...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
BBC Swahili on USTREAM: Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC ikisikika moja kwa moja kutoka Dar Es Salaam maalum kwa matangazo ya uchaguzi..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari nilizozipata kupitia Clouds Fm radio ni kwamba mgombea wa ccm, rais Jakaya Mrisho Kikwete atafanya mkutano na waandishi wa habari ikiwa ni sehemu ya kampeni zake kwa ajili ya uchaguzi mkuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF na wale ambao tumechangia kampeni kwa namna mbalimbali, Uamuzi wa kuchangia kampeni za Dr. Slaa na CHADEMA kwa kupitia njia mbali mbali ulikuwa mzuri sana. Hivi karibuni kuna kundi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
CUF kung’oa vigogo CCM CUF kimeanza kujigamba wazi wazi kwa kutoa tathmini inayoitwa ya kisayansi kuonyesha kwamba, kina uhakika wa kutwaa bila jasho jingi majimbo 47 ya ubunge...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana JF na wapenda maendeleo na mabadiliko ya nchi hii bado siku 2 kuingia kwenye fainali za kinyang'anyiro cha Urais,Ubunge na Udiwani. Fainali hizo zitakuwa hapo tarehe 31/10/2010 kuanzia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kama mh kinanana leo anamalalamikia mgombea kiti cha ubunge wa chadema kupitia jimbo la temeke kuwa jana katika hotuba yake alimkashifu mh rais kikwete je, leo kwa masikio yangu nilikuwepo mwembe...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
BARAZA la Makanisa ya Pentekoste (PCT) limeeleza kuwa hakuna mgombea ambaye anapewa kipaumbele na baraza hilo kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumapili. Akizungumza kwenye mkutano na vyombo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Historia inaonyesha watu wengi wamekuwa wakijihusisha na ushabiki wakati wa kampeni lakini inapofika kwenye kufanya kweli (yaani kupiga kura) kila mmoja anakuwa na mtazamo tofauti. Inatia moyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukisoma magazeti ya leo na baadhi ya TV zenye ubia na serikali ya kifisadi ya JK na CCM yake utaona kuna msukumo wa kukichafua Chadema na hususani Dr. Slaa kuwa ni chama cha wahuni na hawafai...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa mgombea wa CCM jimbo la bukombe yuko kwenye kashfa kubwa ya kuuza kinyemela eneo la pori la bukombe ambalo linasemekana lina akiba ya dhahabu nyingi kuzidi hata mgodi wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa kila mtanzania mwenye nia njema na taifa lake nadhani ni siku njema ifikapo jumapili akapige kura kuchagua viongozi safi
0 Reactions
1 Replies
954 Views
ORODHA ya majina ya wateule wanaosubiri kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambayo uteuzi wake ulikwama katika njia ya demokrasia za ndani...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna mengi yanazungumzwa mitaani kwa sasa masaa machache kabla ya Uchaguzi. Katika yanayosemwa kuna MBINU CHAFU inapangwa kuwakamata vijana wanaoonekana kuwa ni washabiki wa CHADEMA na kuwasweka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika hali inayoonysha maji kuwa ya shingo, Mama Salma Kikwete amewasili Arusha ASUBUHI HII kutokea Dar kwaajili ya kujaribu kuwahamasisha wakazi na wanawake wa Arusha wamchague Batilda...Habari...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilikua nasikiliza BBC mcahan huu huyu mama mgombea wa Arusha alikua anahojiwa na BBC kuhusu green guards wa CCM. Ajabu ameshindwa kujibu lolote...anongea kwa panic na anachodai ni kuwa hata...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wandugu, baada ya kuhakikisha ushindi mjini Arusha, leo tarehe 28 October, Mbowe atakuwa Jimboni kwake kurejesha taarifa ya kazi ya ukombozi aliyotumwa na wana Hai. Ungependa kujua jambo gani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom