Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Shirika la fedha la kimataifa (IMF) limesema matumizi ya serikali ya Tanzania yamekuwa yakiongezeka kwenye mambo ambayo sio maendeleo ya kama vile kulipa mishahara.Akizungumza na jijini Dar es...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauliza swali. Je, kuna utaratibu wowote ule ulioandaliwa kupata matokeo ya upigaji kura, kadri kila kituo kitakavyokuwa kinatoa taarifa zake, kwenye Internet, ili kuwe na uhakiki na ulinzi mzuri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
viongozi wanatukana arharani, alafu wanatuomba ridhaa ya kuwachagua,mi naona wangekuwa wanashindana kwa sera zenye kujenga na si kutumia lugha za matusi na jaziba,maana mie kama mtanzania...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa sasa hivi fujo zinaendelea Tarakea Rombo, Polisi wameogopa kwenda eneo la Tukio. Kisa ni Kada wa CCM amgonga kwa gari mwendesha pikipiki wa Chadema
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nataka kuwakumbusha wale ndugu zangu tuliodhulumiwa pesa za DECI wakati ni huu. Msipotumia nafasi hii basi hatutapata tena muda mwingine. Maana pesa zetu ZILICHAKACHULIWA sasa tutumie rungu hili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari nilzopata sasa hivi ni kwamba NEC imekisimamisha Chadema kufanya kampeni katika jimbo la Maswa. Hiyo imemuaffect Marando ambaye amezuiwa kuingia Maswa kufanya kampeni.
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Na Francis godwin, mzee wa matukio FFU WATAWANYA WANANCHI WALIOKUWA WAKIMSUBIRI DK SLAA IRINGA MJINI FFU wakipita mitaani eneo la uwanja wa Mwembetogwa kuwatawanya wananchi waliokuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hali inayo onesha JK amejipanga kupata kura za walimu, wiki hii waalimu wamepandishwa madaraja na barua zao zimeambanishwa na fomu maalum ya kukubali ama kukataa daraja. Jambo hili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wazalendo wote wanaoipenda nchi yetu TUSIMAME tupaze sauti na tuombe LAANA Ya MUNGU Kwa yeyote ATAKAYE FISADI Au Kuchakachua uchaguzi aidha kutangaza mshindi aliye shindwa kuiba kura kupiga kura...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Oct 28th 2010 | BUMBULI Makamba (right) networks on the mount THE parliamentary campaign in Bumbuli, a constituency of 167,000 souls in the mountainous Lushoto district of Tanzania, is a...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Nataka kuwakumbusha wale ndugu zangu tuliodhulumiwa pesa za DECI wakati ni huu. Msipotumia nafasi hii basi hatutapata tena muda mwingine. Maana pesa zetu ZILICHAKACHULIWA sasa tutumie rungu hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naaam leo hii,,, leo jioni Mgombea wa ubunge Moshi Mjini ndugu Salakana amepita kwenye baadhi ya maofisi na kugawa fedha. Mojawapo ni kampuni maarufu ya utalii hapa Moshi. Taarifa za ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tetesi kutoka Iringa zinasema Slaa kazuiliwa kuhutubia Iringa kwa vile amechelewa kufika. Taarifa za uhakika zinaonyesha kuwa alicheleweshwa maksudi Dodoma ili azima hiyo itimie. Sasa hivi anaomba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu kama ilivyokua 2005,mwaka huu zikiwa zimebaki siku 3 vitu vimeanza kupanda bei hapa Dar,Pentrol imeadimka,Sembe bei juu 1000 kwa kilo,Mtindi wa Tanga Freshi kutoka 700 hadi 1000,mafuta ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimegundua moja ya mbinu za kuiba kura inaweza kuwa ni ile ya kutumia advantage ya kura zisizopigwa vituoni. Kutokana na idadi kubwa ya wanavyuo wa Higher Learning Institutions kuwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la kila siku la Tanzania Daima limeripoti leo ya kuwa Chuo cha Monduli kimefungwa kutokana na kampeni ya Dr. Slaa ambayo imeonyesha kwa uwazi ya kuwa wanafunzi hapo chuoni watakipigia kura...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, Mama Salma Kikwete aingia Arusha kwa staili ya kutupa fulana,kofia na scuff.Nilikuwa maeneo ya Stadium chini ya mti eneo maarufu kwa wacheza draft na madereva taxi ghafla...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Natoa shukrani kwa BBC kwa mchango wao katika vipindi vyao kuelekea uchaguzi kuanzia tarehe 27.10.2010.Mpaka tarehe 2.11.2010.Kwa uchambuzi wa kina na uhakika katika vipindi vyao bila ubaguzi.CCM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kama mmesikiliza tokea juzi na jana na hapa tulipofikia kuna vyombo mbalimbali vimesikika vikionya kuwa matokeo yapokewe kwa amani na utulivu ? Je mnakubaliana na mavuvuzela hao ...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ndugu zangu jamvini mahali ambapo dk slaa angezoa robo tatu ya kura ni mererani lakini cha ajabu katika uongozi wa chadema hakuna aliyefikiria hilo pale kuna kura zaidi ya 22,000.Bahati mbaya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom