Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Waandishi wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya CUF, Prof Ibrahim Lipumba jana alitumia muda mwingi kuchambua kwa njia ya kejeli ahadi za mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete akitumia lugha na mifano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Senior Member wa ZED ametundika thread juu ya wasiwasi ya Kuwa Tume Ya Uchaguzi NEC Tanzania na Mgombea wa Urais kwa CCM, kwa pamoja wanatumia huduma ya mawasiliano ya Intaneti inayotolewa na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Katika moja ya sifa ambazo Hayati Baba wa Taifa alijijengea ni kutokumbatia mambo ya kipuuzi yaliyokuwa yakifanywa na Viongozi. Bado sijasahau namna Mwalimu alivyozima jaribio la kuunda Serikali...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
:israel:http://ippmedia.com/media/picture/large/LipumbaJangwani.jpg :israel:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CCM itakapoangushwa 10/31/2010 unafikiri kesho yake kutakuwa na vichwa gani vya habari kwenye magazeti yetu? 1. HISTORY MADE. 2. KWAHERI MAFISADI. 3 KIKWETE KUKATA RUFAA. 3. MH. RAIS DR. SLAA 4...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wale mliosikiliza Clouds FM leo mtakubaliana na mimi moja kwa moja. Kwa wengine someni hizi facts; 1. Hajawahi kuonyesha presidential power ya kumtisha mtu 2. Hamna alichofanya zaidi ya kujaribu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana nimemsikiliza vizuri sana mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha CUF kuna baadhi ya tafiti zimenikuna na kwa kweli kwa kiasi kikubwa sana zimenifumbua macho na kuona kujua kila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kupitia power breakfast ya 88.4 live kikwete amekiri kuwa hana kumbukumbu sahihi ya ahadi za papo kwa papo azitoazo kwenye kampeni, anasema wazinakili kisha wampelekee.:peep:
0 Reactions
22 Replies
5K Views
DK SLAA KUHUTUBIA WANANCHI WA MKOA WA IRINGA KUPITIA REDIO COUNTRY FM LEO SAA 3 USIKU Baada ya kushindwa kuwahutubia wananchi wa manispaa ya Iringa leo jioni ,mgombea urais kupitia chama...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Prof. Lipumba kasema kwenye mdahalo na ITV kuwa kama humpendi yeye kura yake mpe Doctor Slaa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu kweli nimeamini Watz tulifanya makosa makubwa sana kumwingiza JK Ikulu. Kumbe alikuwa mtupu kiasi hiki hatukuja . Haki ya Mungu, walahi Mtume. Yaani alifaa tu kuimba taarabu na sio kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna tetesi kwamba baadhi ya maboksi ya kupigia kura yana kura hewa ndani yake. inasemekana kwamba maboksi hayo yamefungwa kitaalamu kiasi kwamba si rahisi kugundua hila hizo. ukiunganisha na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimekuwa nikihisi kuwepo kwa ubabaishaji mkubwa katika Tume ya Uchaguzi, awali walituambia wapiga kura wamefikia milioni 21, baadae wakasema wamefanya marekebisho sasa wapiga kura ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapiga kura wenzangu...rais Lipumba yupo live saa hii ITV....tusikie hoja zake....I hope umeme haujazimika kwa Msanii na Acid
0 Reactions
92 Replies
7K Views
Viongozi wa CUFwako live Mlimani tv. Moja kati ya mambo mazito waliyosema dhidi ya Chadema ni 1. Chadema kwenda kujaribu kumshawishi Hamad Rashid Hamad kujiunga na Chadema ili apewe ugombea...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kikwete aanza hujuma kumzuia Dr. Slaa asimalizie kampeni Mbeya Kuna tetesi zimeanza kuvuja toka ndani ya CCM (hapa Dar) na Mkoani Mbeya kuwa wakati Dr. Slaa ameamua kufungia kampeni Mkoani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
source Dr Slaa facebook page
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Kauli ya mheshimiwa anayeondoka madarakani kuwa kuna viongozi wanataka kutumia mii ya watanzania kama ngazi kuingia ikulu inatimia. Marehemu STEVEN KWILASA MASANJA ameingia kwenye vitabu vya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati CCM ni Mwendo wa Bongo Flava, CUF Taarabu kwa sana. Jamaa anaipiga nyundo CCM kwa songi la Taarabu, Mwingine kulinda kura kwa mashairi hadi raha jamani
0 Reactions
92 Replies
7K Views
SIKU chache kabla ya kupiga kura Jumapili ijayo, wagombea watatu wa urais wanaochuana, Jakaya Kikwete wa CCM, Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA na Profesa Ibrahim Lipumba wa CUF, wamekuwa na vigezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom