Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu habari kwenu Napenda tu kuwashirikisha katika furaha yangu ya leo. Nilienda katika kituo changu cha kupigia kura kuangalia kama jina langu limerudi au la? Bahati nzuri namshukuru Mungu kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Polisi huko Songea wanamtafuta mtoto wa darasa la Sita kwa kumvisha mbwa tisheti ya CCM. Hata watoto wamechoshwa na CCM. Huyo mtoto asisumbuliwe. Ameonyesha uzalendo wake. Watanzania wote waige...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mabibi na mabwana heshima mbele. Taarifa za uhakika kabisa walimu walioomba kusimamia uchaguzi jimbo la Karagwe wamemwagwa pwa! Kwa mfano kata za Kayanga na Ndama wamechukuliwa watu wa kawaida...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sasa tupo mlangoni, tunaingia katika hatua ya mwisho ya uchaguzi nayo ni kupiga kura. Ni Jumapili Oktoba 31, mwaka huu. Wazanzibari wote waliowahi kujiandikisha na wanazo shahada zao watapiga kura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman hii nchi inasikitisha, kama waziri wa Elimu anakuja na mpya bila kushirikisha wadau na taasisi za Elimu kuhusu mwanafunzi akimaliza std 7 avuke aingie moja kwa moja kidato cha nne. Hii ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nikikerwa sana sana na mabango ya kijani yaliyoonea nchi nzima yanayotaka kutuaminisha kwamba mgombea urais wa thithiem ni mtu wa watu hivyo tumpe nafasi nyingine. Alipewa nafasi ya miaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zimebaki siku kadhaa,sekunde kadhaa,ni wakati mkubwa kwenye maisha yetu kuamua kufa ama kuendelea kuishi,,ni wakati wa kungalia ndani ya miaka mitano tulichokuwa na raisi kikwete uchafu ngapi...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Leo gazeti la RAI linalomilikiwa na mwizi wa Sh bilioni 40/- kutoka EPA, Rostam Aziz limemtukana Dr Slaa na kumuita kila majina machafu – udini, umbumbumbu, ulaghai etc. Mtakumbuka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimesoma post moja humu jamvini kwamba, akiwa viwanja vya Mwembeyanga, Kikwete aliwatukana Watanzania waliohudhuria mkutano wa Dr. Slaa kwa kuwaita "majuha". Juha maana yake ni mtu asiyejua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Daily News limeripoti kuwa JK amekiri ya kuwa hatma ya wagombea wote ipo mikononi mwa wapiga kura...kauli hii inatia matumaini kwani kumekuwa na jitihada ya kumshinikiza Dr. Slaa tu kukubali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sababu ya kuanzisha hoja hii ni baada ya maneno haya ya Kitila Mkumbo: "Mimi nafikiri akina MKJJ na wenzako ndiyo wenye matatizo kwa kuendelea kuwa na matumaini na huyu ndugu yetu. Sisi wengine...
0 Reactions
176 Replies
20K Views
Shirika la fedha la kimataifa (IMF) limesema matumizi ya serikali ya Tanzania yamekuwa yakiongezeka kwenye mambo ambayo sio maendeleo ya kama vile kulipa mishahara. Akizungumza na jijini Dar es...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Zikiwa zimebakia siku tatu tunazidi kuona ni kwa jinsi gani watawala wetu wanazidi kukosa mwelekeo na kubaki kutapatapa tu. Watanzania wenzangu nani asiyejua kuwa hapo awali midaharo ya kisiasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu sana yamekuwepo malalamiko kuwa Tanzania imefika hapa ilipo kutokana na wasomi kushindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo wa kutoa maoni na ushauri kwa mujibu wa taaluma hata kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwanza walitukatili ambao tulikosa mahojiano na Dr. Slaa. Sasa leo wamempa kikwete muda mreefu kuongea lakini Prof. Lipumba kule kigoma amefanyiwa usanii, yaani ameruhusiwa sekunde chache kisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo asubuhi 28/10/2010 kwenye kipindi cha kumekucha ITV nimemsikia na kumuona Kamanda wa polisi wa mkoa wa kipolisi DSM na pia ni Kamishina msaidizi wa jeshi la polisi, Sule Kova, akisema...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika hali ya kustaajabisha ndani ya campaign trail inaripotiwa kwamba mgombea wa uraisi kwa tketi ya CCM hauziki. Hili linasemwa chini chini na wenyeviti wa CCM wa wilaya kadhaa. Kutokuuzika kwa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu great Thinkers, Sijui kama nakosea! Nimelazimika kuamini kuwa CCM haipo peke yake katika kuhakikisha kuwa inashinda. Baada ya kuona kuwa imeboronga sehemu kadhaa, nimetazama na kuona kuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa nec jaji makame aliwaambia waangalizi wa kimataifa kuwa matokeo ya urais ni hadi nov 3. Haya mazingira yatakuwa salama? Scm si wanaweza chakachua sana hawa? Ila matokeo ya ubunge na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna haja ya malumbano, siku hizi 3 haziwezi kubadilisha matokeo. Tuwaachie watanzania waamue.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom