Jamani mliopo mkoa wa Lindi hebu tupeni ukweli ya kwamba mkutano wa Dr. Slaa leo mkoani Lindi watu walikua wachache kupita maelezo, au ndio maana alikua anaogopa kwenda kule???
Inaelekea mambo si mazuri hata kidogo huko Iringa mjini kwani hata gazeti la udaku wa kila siku Habari Leo linasema hivyo tafadhali jisomee!
Imeandikwa na Frank Leonard, Iringa;
Tarehe: 25th...
Habari zilizoingia kwangu jioni hii ni kwamba Mgombea ubunge wa CCM wa Musoma Mjini Vedasto Maninyi leo saa kumi jioni amekaribishwa kwa mawe na wanafunzi wa Sekondari ya Musoma alipojipeleka pale...
kuna methali isemayo "mwenda macho haambiwi tazama"!!!!!!!!
ukweli ni kwamba ukienda shule, waenda kufuta ujinga, ukienda shule ukahitimu na ujinga haujakutoka, basi utapata jina la sifa yaani...
Nikiwa natafakari juu ya mwenendo mzima wa kampeni ulivyokwenda mpaka sasa..na jinsi mwelekeo wa kisiasa ulivyo kwa kuzingatia kipindi chote cha kampeni huku tukiwa tumebaki na siku chache...
Anapogizwa kufanya kazi huwa hakosei hata kidogo. Huyu ni Mbowe na sasa hivi hapa viwanja vya relini Arusha amethibitisha hilo. Amepoteza yale matumaini kidogo aliyokuwa nayo Batilda Buriani kwani...
Leo hii, nilikuwa nikifuatilia hotuba ya Daktari wa kweli Slaa, live TBC1.
Nilishtushwa na zile data alizozitoa, anasema zilisomwa mbele ya JK katika mojawapo ya ziara zake. Milioni mia saba...
ZImebaki siku Nne tu Uchaguzi na maamuzi Sahihi ya Kila Mtanzania anayekerwa na UFISADI achague DR.SLAA NA chadema woote KWA UJUMLA haya yatakuwa maamuzi sahihi na utajutia kura yako ila kama...
Naona wengi mnakulupuka kama mnaofukuzwa kutoka machakani ,sijui Slaa hivi na kule nako CUF wanasema na kupiga makelele kuwa wanaviti 50 vya ubunge na kuteka madiwani angalau wao hawajafika kusema...
Jamani JF ni mtandao bomba kuliko tunavyoweza kufikiri. Wasioijua JF wanasambaziwa kwa message za simu kila linalosemwa hapa.
Nimepata taarifa kwamba kuna binti alifariki mwaka 2006 na jina lake...
Ewe mwana Mageuzi wa kweli katika kuleta Ukombozi wa nchi hii toka serikali ya kidhalimu ya CCM tafadhali saidia ushindi kwa CHADEMA! Sio siri na asiyeona na aone Dr Slaa ndo anakubalika kwa sasa...
Wanajamvi leo TBC wamekuwa wakionyesha sana documentary ya wakimbizi wa Congo waliopo hapa kwenye kambi zetu za hapa nchini. Nimeona documentary saa sita mchana na saa tisa alasiri.
Je ni zile...
Jamani hii nimepata kali sasa hivi: Jamaa yangu kutoka New Habari (inayomilikwa na fisadi RA) sasa hivi kaniarifu kwamba wafanyakazi wote pale wameamua kumpigia kura Dr Slaa siku ya Jumapili...
Nimeshangaa sana kuona bendera ya pipooooz inapepea vijijini kabisa ambako kuna umaskini mkubwa sana na nyumba zao za nyasi. Ila sina hakika kama watalinda kura zao baada ya kumpa Dr Slaa.
Jamani eee! kuna mtu kanidokeza kuwa ili vijana wengi wasipige kura kuna njama imefanyika, nayo ni kwamba, majina ya vijana wengi yametawanywa katika vituo tofauti ambavyo hawakujiadikishia wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.