Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
WanaJF: Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Napata habari hapa sasa hivi kutoka CCM Mbeya ni kwamba JK atakuwa huko tena kwa kampeni Siku ya Ijumaa. Du! yaani kweli jamaa sasa anaweweseka, yaani kusikia Slaa atakuwa huko tayari homa imepanda!
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni(farao) siku za mwisho wa kampeni zinavyozidi kwisha ndivyo na wagombea ubunge wasiokubalika kama Dk. Batilda Buriani wanavyozidi kuchanganyikiwa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Hofu yazidi kutanda CCM ,matumaini yamepotea na wameshaanza kuomboleza kushindwa, bendera zapeperushwa na nusu mlingoti.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kaazi kweli kweli. CCM wamekaa kimya? Sasa sijui vyama vingine huko Kawe waandike barua NEC kuwa CCM ni chama cha Vurugu na Kuuwa watu? Utashangaa NEC wamebugia maji mdomoni. CCM na POLISI yao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wana-JF mlioko Mwanza, nimepigiwa simu dakika tano zilizopta 06:30 hivi na jamaa yangu aliyeko mitaa ya Nyegezi jijini Mwanza kwamba msafara wa Kikwete umepita eneo hilo ili nisikilize live...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Ni Polisi, Mgambo, JKT, Magereza Tossi asema Polisi peke yao hawatoshi Mwema ataka matokeo yaheshimiwe Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema p { margin-bottom: 0.08in; }...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waheshimiwa wana wa nchi , tukiwa tumebakiwa na siku tatu kabla ya uchaguzi mkuu, naomba nitoe mshangao wangu mkuu ambao najua wengi utawashangaza pia. wote wenye matumaini ya kuwa Slaa atakuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, nimepata sasa hivi hiyo election monitoring tool- ipo kwa Kiswahili. Shukrani kwa Policy Forum, Forum Syd & Jimy Luhende
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mshahara wenu kwa mwezi ni shilingi ngapi?, je zinatosha kwa mwezi? Nyumba mnazolala ni bora? Kodi mnayokatwa je ni halali? Madeni yenu mnayodai je mmelipwa? Sasa nakukumbusheni kuwa wakati...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu mu wazima nyote. Kwa mawazo yangu ninaona ni vyema taasisi na asasi zote binafsi kufungua ama kuanzisha mtandao ambao utakua ukikusanya matokeo ya kila jimbo. Mfano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbali na wanafunzi wa elimu ya juu kuondolewa kimkakati kupiga kura, kuna kundi lingine nalo limeongezwa kwenye idadi ya watakaoshindwa kupiga kura Jumapili tukufu ya Mabadiliko. kwa Taarifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo mnamo saa 4:38 usiku, Jumanne Magembe ametangazia umma kupitia ITV kwamba CCM utatoa elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne. Ilipitishwa lini na Bunge?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Baada ya mgombea Ubunge jimbo la Maswa Magharibi Mhe. Shibuda kuachiwa na polisi kuwa hahusiki na mauaji,Kamati ya maadili ya Uchaguzi ya Wilaya hiyo imemjia juu Shibuda kwa kutaka aenguliwe na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutokana na upepo mkali unavyobadilika kwa kukubalika kwa Dr Slaa katika siku hizi za mwisho, jee kilichobakia kwa JK sasa ni kutegemea hisani ya NEC? Vinginevyo halionekani tundu la kupitia.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninaangalia star tv, nimeona wakisema kuwa Mh.Baregu na Mh.Marando wameitisha kikao cha waandishi wa habari lakini mpaka sasa hawajasema lolote, kwa mujibu wa star inaonekana wana ujumbe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Wana JF, Nilimsika mshikaji wangu mmoja akimwambia mtu wake wa karibu sana kuwa mume wa dada yule si wajua yuko TAKUKURU kanda Furani hapa nchini? Jamaa akasea hee nafahamu ilo sasa anafurahia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom