Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KWA NINI WATANZANIA HAWAWEZI KUWAPA DOLA WAPINZANI! Hadi sasa hawajafanya maandalizi ya kutosha kwa ajili ya viongozi wao kuongoza dola, wamekurupuka na kuacha maswali mengi ikiwa kuwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimefuatilia kwa umakini mkubwa(zaidi ya ule wa Chadema na Dr. Slaa) hususan katika Mdahalo wa ITV na Mkutano wa Kampeni wa Mwembe Yanga-Temeke na kugundua kuwa Dr. Slaa ana mchango mkubwa tu kwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wanauliza miaka yote 50 walikua wapi kuzitoa hizo ahadi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa wanaJF, wote tunajua kwamba kura za internet ambayo watumiaji wake wengi ni wafanyakazi, wanafunzi na wasomi wameikataa CCM na JK wake kwa Kishindo (Rejea Poll of Polls hapa JF). Hii ina...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
napenda kuwatia moyo wale ambao walijiandikisha lakini hawajaona majina yao katika vituo vya kupigia kura,tafadhali hakikisha unafika ofisi ya kijiji au ofisi ya kata yako kuna madaftari ya kudumu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi inakuwaje karatasi za kura ziwasili jana Z'bar kutoka Afrika Kusini? Kwa nini zinakuwa za mwisho kupelekwa kwenye majimbo ya uchaguzi mbali na vifaa vingine? Bakhresa ni Mzanzibar, na kule...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mheshimiwa Anna Mkapa
0 Reactions
7 Replies
3K Views
DAR ES SALAAM, Oktoba 26, 2010 Nimetoka kuhudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika Manzese Bakhresa mchana wa leo hii ambapo Dk. Willibrod Slaa alimnadi mgombea wa ubunge wa Ubungo, John Mnyika...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mkutano wa JK wafunga shule tano Tuesday, 26 October 2010 21:08 Kizitto Noya, Mwanza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. "The CCM losing power - for the first time since independence - is looking like an outside possibility" 2. "in the eyes of the public, CCM has gradually deviated from its founding values and...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2010 mtabiri 'maarufu' wa Bongo shekhe yahya hussein alisema si mara moja kuwa uchaguzi mwaka huu hautakuwepo na akaendelea kuweka mkazo kuwa hakuna uchaguzi na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kampeini zako zilifungua akili za watanzania wengi. Ukifika Ikulu usiwatenge wana CCM ambao hawako upande wa mafisadi kusudi kuimarisha utaifa na kuondoa chuki za kivyama iliyojengwa sana na CCM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anakosa ile gravitas ya kujenga hoja kama kiongozi wa nchi. Haiyumkini Tanzania tulikuwa hatuna rais miaka yote hii ila tulikuwa tunatawaliwa labda na Januari. Kwa nini anashindwa kumkabili Slaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Najua kashashindwa japo yeye na vijana wake wanajaribu kutapatapa. Anajua hafai, kwamba kashindwa jumla, katafuata mabilioni aliyospent lakini hajui nanii kala. Angekuwa muwazi na anajua wapi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
kwa mujibu wa CAG (kupitia kwa mbunge wa moshi mjini Ndesamburo), serikali ya Kikwete imetumia bilioni 29 (nimesema bilioni yenye B) kukarabati ikulu. Kumbuka kuwa ikulu ilikarabatiwa kwa...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Na Issa Mnally Hali ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ali Omar Juma ikielezwa inarejea vizuri, kiwewe kinatawala kuhusu anayetajwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa kweli sitanii, namaanisha kuwa suala la kuwa na ambulance karibu na wagombea urais ni muhimu kwani matokeo yakitolewa ya kweli yatashtusha mno.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Serikali ya JK ndio ilimfikisha mramba mahakamani kwa ubadhirifu, serikali ya jk ndio ilimlazimisha lowassa kujiuzulu, leo hii bila ya aibu anawashika mkono na kutuomba kuwachagua kuwa viongozi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dr slaa yuko live sasa agape television, ameanza kuelezea historia na maisha yake na kuhusu elimu yake
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Back
Top Bottom