Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

ukitaka kujua kuwa Mr kubenea habaatishi habari zake hebu jiabarishe na hii habari hapa chini Mwanasheria Mkuu akutwa kambi ya CCM Na Saed Kubenea - Imechapwa 20 October 2010 Gumzo la Wiki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
JK amewaahidi wakaazi wa Simanjiro kuwarudishia ardhi iliyoporwa na wawekezaji wa TANZANITE ONE mara baada ya mwekezaji huyo kumaliza kuyachimbua madini yote ya TANZANITE yaliyomleta hapa nchini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ninapenda nitumie nafasi hii kama mwana JF mwenzenu tuache kwa dakika chache mambo ya uchaguzi ambao unamaliza utawala wa miaka 50 ya CCM. Zimebaki siku 4 tu kwa CCM kumaliza utawala wake wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naifuatilia BBC kwa makini tangu jana ila napata wasiwasi kama wapo balanced kwenye habari zao. Wanajifanya kama vile wanachambua wakati wanahitimisha kwa ushabiki. Leo ilikuwa mara ya pili...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Baada ya mdahalo wa mgombea Uraisi wa chama cha CHADEMA siku ya jumamosi, niltembelembelea mitaa siku ya jumapili ili kupata maoni ya wakazi wa jiji la DSM, nikafika katika masakani ya wavuta...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Vuguvugu za Watanganyika kutaka uhuru 1961 zinafanana na vuguvugu la mwaka huu 2010 wa uchaguzi ambapo Watanzania wameonyesha uchu na matumaini ya kufanya mabadiliko makubwa. Mwaka 1961 Mwl...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MAMBO AMBAYO UNATAKIWA KUJUA KUHUSU KURA YAKO: Na. M. M. Mwanakijiji Kura yako ina nguvu gani na kwanini? 1. Kura yako ndiyo lugha pekee ambayo wanasiasa wanaielewa. Wanasiasa wote duniani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika hatua za kumalizia ushindi, namshauri Rais mtarajiwa na kampeni meneja wake, warushe vipindi vya televisheni kila siku kuanzia leo hadi tarehe ya uchaguzi. Hii itasaidia watu ambao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JK atangaza kumaliza tatizo la maji umasaini Kizitto Noya, Simanjiro MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Jakaya Kikwete jana aliendelea na kampeni katika Jimbo la Simanjaro...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
miongoni mwa kauli zilizonifurahisha zilizotolewa na dk ws kwenye mahojiano ya moja kwa moja aliyofanya na kituo cha runinga cha itv hivi karibuni, ni kauli yake hiyo ya kutokukubali damu ya...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
YouTube - Kakobe_elimu_Uchaguzi_2010 http://www.youtube.com/watch?v=McUvndm5j0M&NR=1 SI vibaya ukamwamgalia
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Shibuda azushiwa tuhuma nyingine Zulfa Mfinanga, Shinyanga na Frederick Katulanda, Mwanza HALI ya kisiasa kwenye Jimbo la Maswa Magharibi bado ni tete baada ya mgombea ubunge kwa tiketi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
"Nimeingia Maswa na kukutana vurugu za kisiasa kati ya CCM na CHADEMA,vurugu hizo zimepelekea watu kadhaa kujeruhiwa na dereva aliekuwa anaendesha gari la kampeni la CCM kuuawa na wafuasi wa...
0 Reactions
198 Replies
18K Views
Jamani watanzania wengi wanaitaji kumuona dr slaa..km kuna mtu anajua ratiba ya dr,bas atufahamishe lin ataenda huko lindi,mtwara,ruvuma.najua ruvuma alienda songea na mbinga masharik tu,vp kuhusu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Baada ya maswali mengi kuzagaa kuwa wastaafu wa CCM na serikali yake aidha wamemsusa JK au wamesoma alama za wakati na kuingia mitini, Raisi Mstaafu Mwinyi alionekana ITV taarifa ya saa mbili...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Salaam, Sote tumeona kuwa kumekuwa na unfair coverage (very biased) kwenye media ya Tanzania kuhusu kampeni za uchaguzi zinazoendelea. Coverage yenyewe imekuwa na lengo la kuibeba CCM na Kikwete...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi ni mara ngapi katika hotuba Ndg Maalim Seif husema neno sawa sawa mi naanza kumbatiza Jina Maalim Seif bin Sawa sawa! so itakuwa pale umati utakapojibu si sawa nathani mziki wake utajulikana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Na Mashaka Mgeta 24th October 2010 Akiwa njiani kutokea Sumbawanga mkoa wa Rukwa, Mama Salma Kikwete ambaye ni mke wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Enyi wana wa nchi Nchi yenu i uchi Mabedui wanaisachi Toka enzi i bichi Wameishika pabaya Waichezea ka' malaya Mwasikia enyi wa kaya Chonde muyaelewe haya Ndipo ikaja sauti Thamani yake Yakuti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti kwa kuhakikisha kuna usalama siku ya uchaguzi askari mgambo wa jiji wametakiwa kuripoti kwa wakurugenzi wa manispaa za jiji la Dar ili waweze kushiriki katika ulinzi siku ya uchaguzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom