Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Tanzania nafikiri utakubaliana nami nitakachokisema. Kitendo cha hivi karibuni cha Makamba kukimbilia upesi upesi kwenye tukio la mauaji ya Maswa na kusema...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jioni hii kuna mikutano miwili mikubwa jijini Mwanza. JK ametua kumpigia debe mgombea wake wa CCM Laurent Masha dhidi ya Wenje wa CHADEMA. Ujio wa Dk.Slaa pamoja kampeni ya nguvu dhidi ya...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
I am volunteer for Chris Cares International ( Chris Cares, Inc. ) a non profit organization which fight poverty through education in Tanzania. We have been voted the City of Boston's Volunteers...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Maoni yangu ~ mtu aitwe 'mheshimiwa' baada ya matendo yanayostahili heshima... kubandikwa cheo baada ya uchaguzi tu kinawafanya wengineo wavimbe vichwa na kuamua sheria za nchi haziwahusu... ama?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila kona ya Tanzania, Dr Slaa ameshakubalika, kuanzia mashariki, magharibi, kanda ya Ziwa, kanda ya kusini, kanda ya kaskazini, kanda ya kati mpaka Zanzibar. JK ajiandae kuachia madaraka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
:A S cry: Haya ni masikitiko sana kwa jinsi Wananchi wa taifa hili wanavyofanywa mazuzu na mbumbumbu kila uchao na viongozi hawa wa CCM na wananchi wenyewe hawajijui wala kujitambua kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawapenda sana nyote, na upendo wangu kwenu utazidi sana mkitumia busara na hekima kumpeleka Dr Slaa ikulu ili kuiongoza nchi hii na kuisaidia kiMaendeleo na kujenga utu wa Mtanzania wenye heshima...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwenu wanaJF. Je ni sawa kuwepo kwa mdahalo kati ya CCM na vyama vingine vya upinzani??? Nimependa niweke mada hii kwa mambo mawili.. matatu yafuatayo: - Kwanza: Kuweka mdahalo kati ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeikariri kwa wanabidiii From: Mike Mande <mand...@yahoo.com> Date: Mon, 25 Oct 2010 07:25:35 -0700 (PDT) Local: Mon, Oct 25 2010 5:25 pm Subject: Re: [wanabidii] Mdahalo wa wagombea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ee Mungu, mweza wa yote, muumba wa mbingu na nchi. Najinyenyekeza mbele zako kwani najua we ni mkuu haufananishwi na chochote. Naomba uifanye kura yangu sawa na kaa la moto kwa wale watakaotaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Napenda kuwafahamisha kuwa kesho Dr. Slaa atakuwa viwanja vya Mwembeyanga jijini Dar es Salaam ambapo atakuwa LIVE ndani ya TBC1 pia kuanzia saa 10 jioni kwa muda wa masaa 3. Aidha...
0 Reactions
181 Replies
19K Views
BBC wametangaza kuwa yule pweza aliyejipatia umaarufu wa kutabiri kwa usahihi mechi za kombe la dunia amefariki dunia. Inaweza kuwa na tafsiri yoyote kwa utawala wa miaka 50 wa CCM?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:rain:Karibu Rais wetu Dr Slaa! :director: Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo. Ni Dr...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
CD ZA MDAHALO WA DR SLAA Napenda kuwajulisha kwamba CD za Mdahalo wa DR W P Slaa sasa ziko Tayari kwa ambaye atakuwa anazitaka anaweza kupiga namba 0766 334049 au tuma email kwenda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, wapenda haki: Kuna taarifa kwamba kuna baadhi ya mitandao ya simu za mkononi zitafungwa kuanzia jioni siku ile ya kupiga kura (wakati wa kuhesabu kura) ili kusiwepo mawasiliano kati ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uchaguzi waja, kura ni muhimu... Lakini wananchi wenzangu - hata ka tulikuwa na viongozi wabaya miakani ilopita na mola forbid, labda miakani ijayo... Lawama si zote kwao, wakati wengi tuliketi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikisubiria marudio ya mdahalo wa Dr slaa kupitia ITV usiku huu ila nimekutana na tangazo kuwa hayatakuwepo, badala yake naona mieleka
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Polictial Games by Lucky Dube How do you feel when you lie? Straight faced while people cry How do you feel when you promise something That you know you'll never do Giving false hope to the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom