Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

WanaJf nimesoma moja ya thread watu wanalalamika kuwa majina yao hawajayaona pale nkrumah hall. Jamani wale waliojiandikisha pale nkrumah na ambao 2005 walipigia kura hapo kituo kimehamishiwa pale...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna viongozi wa ngazi mbali mbali wa CCM ambao aslani hawapendezwi na miendeno ya viongozi wa CCM ya sasa aka CCM - Kikwete (BMW). Naamini kabisa wapo wengine wanajiandaa kuhamia CHADEMA (kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MAPIGANO CCM NA CHADEMA YATIA DOSARI KAMPENI MASWA Kampeni za Ubunge katika majimbo ya Maswa Magharibi na Maswa Mashariki ambazo ziliingia dosari na kusimama kwa muda tangu Jumatano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau checkini hii video ya wosia kwa wanachama wake..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
26th October 10 Kamati NEC yashauri Chadema ienguliwe Waandishi Wetu Chama Cha Demokrasia na Maedeleo (Chadema) kiko hatarini wagombea wake wa ubunge na udiwani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana, kadri miaka inavyosogea, ndugu zetu watanzania weney asili ya kiasia wanajipenyeza kwenye nafasi mbalimbali kupitia vyama, hasa chama cha mapinduzi. Ila kwa mwaka huu, kuna kitu...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Ndugu wanzegu wa JF na watanzania wote kwa ujumla wenu, yale yaliyosemwa sana kwamba JWTZ wanawekwa chonjo ktk uchaguzi huu, ni ya kweli tu. Nimeshuhudia kwa macho yangu pale Lugalo jeshini mida...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Watanzania inabidi tuone kuwa Ufisadi ndio chanzo na msingi wa mgawanyiko wa Kitaifa unaotishia nchi yetu na tutambue kuwa mafisadi sasa hivi tayari wanafaidi mgawanyiko huo na kuwa wangependa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BAADA ya kusisitiza kauli yake ya kuuza saruji kwa Sh 5,000 kwa mfuko mmoja akiingia madarakani, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, Dk Willibrod Slaa, ametakiwa aache kujadili masuala ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuonesha kuwa NEC siyo chombo huru na ni part ya CCM tulitazame hili kutoka Chanzo cha NIPASHE newas paper! Ni kutokana na vurugu za Maswa Shibuda, mgombea CCM waachiwa DCI Manumba asema hana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
yapo madai kutoa sehemu mbali mbali kuwa viongozi wa ccm wakiwemo wajumbe wa nyumba kumi kumi wanapita mitaani wakiwa na mfano halisi wa karatasi za kupigia kura zilizotolewa na tume ya uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIONGOZI BWM Vs JK MWAKA 2000 -2004 Vs 2005-2009 Unga 460 Vs 1000 = 217% Mchele 600 Vs 1200 = 200% Sukari 760/kg Vs 1600/kg = 210% Mkate 250 Vs 700 = 280% Maharagwe 360/kg Vs 1000/kg =...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimelipitia toleo la mwezi huu na kukuta mmiliki wake akisema wao kama gazeti wanampitisha JK kuwa mgombea anayefaa. Kisheria hii ni sawasawa kweli au haya magazines hayabanwi na sheria kama ya...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
SERIKALI YATEKELEZA KAULI ZA DR SLAA NA SERA ZA CHADEMA TAYARI!! Serikali ya CCM wanakimbiana kutokana na Nguvu na ukweli wa Uwezo wa Dr Slaa, yaogopa kila kitu kinachosemwa katika Sera za...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
A. Kinana ameonyesha umahiri mkubwa kwa wakubwa wake ndani ya CCM kwa kuandaa mkakati maalumu wa kuhakikisha kuwa siku tatu za mwisho za kampeni, tarehe 28,29 na 30 Oktoba CCM inafanya 'suprise'...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nikiwa kati ya WATU waliohudhuria mikutano ya kampeni hasa ya urais,nimeona mengi,nimesikia mengi,ahadi kemkem,tamu,nzuri na zenye kuvutia na kama JK,SLAA au LIPUMBA mmoja wo akishinda na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: Press Kikwete 2010/ Mtanzania 21 Oct. 2010 JK alikuwa anaenda chini nini, akawahi kushika meza? Ingekuwa Mwananchi kaweka picha hii front page kama alivyofanya Mtanzania ingekuwa ni...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
THE National Electoral Commission (NEC) has said it has no obligation to pay polling agents overseeing the forthcoming elections. In his reaction to NCCR-Mageuzi’s demand that the commission...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Jamani wadau nijibuni. Tukisema ccm ndio chanzo cha dhiki watu wanapinga. Tazama mikoa ya singida, Lindi mtwara na Tabora ambayo ndio ngome ya ccm ni ufukara kwa kwenda mbele. CCM imewasaidia...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwa wale wote wenye nia njema na Tanzania hawawezi kumpigia kura Mh Slaa. Kumpigia kura Mh Slaa ni sawa na kuitosa Tanzania katikati Bahari. Ukidhani uchaguzi ni Mchezo, basi unapotea. Na mwenye...
0 Reactions
141 Replies
10K Views
Back
Top Bottom