Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Leo nikiwa kwenye daladala, nilikuwa nikisikiliza matangazo ya Amka na BBC. Moja ya habari ya leo ilikuwa kuhusu Uchaguzi wa Tanzania. Nilishtuka sana kumsikia mwanamke mmoja kutoka Kenya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Yaani huwezi amini. Zikiwa zimebaki siku 5 tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA bado hawajafahamika mpaka sasa. Mimi nipo katika mkoa wa Dar es salaam. Na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Zoezi litakuwa kama ifuatavyo,mwana dada anaitwa anna ataenda ofisini kwa shubash patel na hapo atakutana na mtu anaitwa abou,huyo atamkabidhi huo mzigo kati ya leo tar 25 au kesho tar 26...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Gazeti la kila siku la Mwananchi limeripoti leo ya kuwa mgombea wa ubunge wa CCM wa Maswa ambaye dereva wake aliuawa na wananchi wenye hasira na kusababisha mgombea ubunge wa Chadema Shibuda...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Ndugu wanaJF kuna tetesi kwamba NEC kwa kushirikiana na CCM wamebuni njia ya kuchakachukua matokeo (vote riging) kwa kutopeleka vifaa vya kutosha vya kupigia kura kwenye majimbo yote ambao...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dear Ndugu Musyoka, many thanks for the advice, but perhaps another time..? Share Bookmark Print Email By Jenerali Ulimwengu I believe some things are simply not done...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
ruka mstari wa kwanza na wa pili,nenda wa tatu na weka alama ya vema mbele ya bendera ya chadema kwenye kibox cha wazi,mkumbushe na mwenzako kuwa picha ya slaa ni ya tatu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Makala ifuatayo imechapishwa katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema ikiwa ni majibu kwa makala yangu katika toleo la wiki iliyopita iliyokuwa na kichwa cha habari "Ni Kweli Mashushushu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna ujumbe umenifikia sasa hivi kutoka namba 078049550 kupitia mtandao wa zain usemao... "CHADEMA WAMESHATEKELEZA AHADI YA KUMWAGA DAMU. JUZI WAMEMUUA NDUGU WA MGOMBEA WA CCM MASWA. MJUMBE WA...
0 Reactions
96 Replies
8K Views
Nipo ukumbini hapa DR SLAA na Mbowe wameshaingia Hotelini pamoja na viongozi wengine wa chadema kama Kitila Mkumbo na Mabele Marando maandalizi yanaenda vizuri kwa walinzi kukagua vitu kadhaa vya...
0 Reactions
515 Replies
39K Views
'Janja' yamuokoa JK Karatu • Watu wasombwa majimbo mbalimbali kumnusuru na Mwandishi wetu, Karatu, TANZANIA DAIMA MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Nccr MAgeuzi mbatia james ametangaza kuipeleka chadema mahakamani kama hawatamlipa bilion moja na kukilipa nccr bilion tatu,kwa kuwadhalilisha jana pale kawe.mbatia ameongeza kuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii, nimepata tetesi kuna mpango kabambe utakaoendeshwa na polisi hapa Arusha kwenye majimbo yote ya uchaguzi hapa Arusha , kwa kuwa ccm wameshaandikisha watu wao, watakama woote ambao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni furaha iliyoje kuwa tar. 31 nitapiga kura kwa kuwa jina langu limeonekana kwenye mbao za ambako majina yaliyobandikwa na NEC. Nimehakikisha kuwa na kujiridhisha kuwa nililoliona ni jina langu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tuanze hapahapa kujumlisha idadi ya wapiga kura kila kituo inavyowezekana. Ni kiasi cha wewe kutembelea kituo chako na kuweka idadi kama ambavyo majina yalivyobandikwa. Na kama sijakosea majina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YouTube - JULIUS NYERERE VS THOMAS JEFFERSON(Presidential level act 1) Inapendeze kusikiliza kwa kweli huyu jamaa anavyosema hii story
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Napenda kuwajulisha kwamba mdahalo wa DR SLAA Uliorushwa na ITV LIVE siku ya Jumamosi kuanzia saa 12 moaka saa 3 utarudiwa leo saa 5 usiku
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Yaani huwezi amini. Zikiwa zimebaki siku 5 tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika WASIMAMIZI WA VIYUO VYA KUPIGIA KURA bado hawajafahamika mpaka sasa. Mimi nipo katika mkoa wa Dar es salaam. Na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nini hatima ya wafanyakazi serikalini endapo CHADEMA itashinda??manake naona kama kuna wizara na vitengo vitafutwa kwenye serikali mpya ya chadema, nini hatima yetu au wasi wasi wangu tuu??
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom