Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, jana alilazimika kukusanya watu kwa mabasi kutoka Arusha mjini kwenda wilayani Karatu kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Posted by GLOBAL on October 25, 2010 Na Issa Mnally Hali ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ali Omar Juma ikielezwa inarejea vizuri, kiwewe...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Ahadi za Profesa Lipumba na Maalimu Seif(CUF) 1.Elimu ya bure kuanzia msingi hadi chuo kikuu 2.Kubana matumizi kwa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri 3.Kuunda serikali shirikishi 4.Kusimamia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi Karibuni mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha mjini kupitia CCM Dk. Batilda alijigamba kwamba wanawake woote wa Arusha mjini wameamua kumpa kura zao za Ubunge. tuliokuwepo tukawauliza wake zetu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku zimekwenda sana lakini hii haiwezi kuwa sababu ya wapenda amani kuendelea kutoa nasaha zetu. Mengi yamesemwa na mengine tumeshuhudia wenyewe, lakini mwisho wa yote tunamsihi amiri jeshi mkuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MDAHALO ULIOFANYIKA STAR TV KATI YA DK.SLAA NA MR.KINANA NUKUU:DK.SLAA Hatuwezi kugawana madaraka kwa kufuraishana tu,Sihitaji mawaziri wengi wanaofanya kazi ya kufungua makongamano,semina na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwenye majimbo 289 ya uchaguzi, CCM wamasimamisha wagombea majimbo yote, sisi wapinzani tumesimamisha majimbo 180, maanaake majimbo 109 tumeyasamehe, na katika hayo inasemekana kuna upinzai wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Takribani juma moja tu limebaki kabla ya uchaguzi mkuuTunashuhudia mambo yakizidi kupamba moto kwa kuendelea na kampeni, na gumzo kubwa ni pale Dr Slaa alipofanya mahojiano live na wapiga kura...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
KUSEMA MAISHA YAMEKUWA BORA BAADA YA MIAKA 5 YA CCM MADARAKANI NI KEJELI. Taifa lipo kwenye hekaheka za kampeni za uchaguzi, Taifa linarindima kwa vishindo na kelele za wagombea, vumbi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Akijibu swali la Mwanachama mfu wa CCM (A, Lwaitama), Dr Slaa alisema, kisaikolojia hiyo ni hulka ya binadamu kuogopa asipokujua, lakini ni kweli watu hawakujuhi huko? Miongoni mwa sifa kuu za...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sisi watanzania tumepatiwa malezi mema ya kupendana na kuthamini utu na ubinadamu. Ili kulinda na kutetea hali ya amani na utulivu watanzania tumelelewa na kufunzwa kuviheshimu na kuviamini vyombo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu huu uchaguzi kwa kweli unaelekea waweza kuwa na zengwa yaani vyombo vya habari kama BBC, CNN etc hawafuatilii uchaguzi huu kabisa yaani kwenye website zao hawana article zozote zinazogusia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani, sijasikia lolote wala kuwaona viongozi wetu wakubwa kama B. Mkapa, A. H. Mwinyi,spika, na wengine wengi katika kampeni za kumnadi mgombea urais CCM. kuna mtu anajua lolote mtu amelisikia?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana nipata wasaa wa kuongea na marafiki zako walipoko moja ya kambi za jeshi hapa Dar na wakabainisha wazi kuwa mwaka huu wamefurahi sana kwa vituo vya kura kuwa uraiani tofati na chaguzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jana waziri wa nishati na madini William Ngeleja alikaririwa navyombo vya habari akisema kwamba Tanzania inapata kati ya asilimia 30-40 ya thamani ya mauzo ya dhahabu na siyo asilimia 3 kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Kabadilisha mfumo wa CCM a. Yeye yuko kwenye kundi la CCM JK Family b. Kamati kuu ya CCM kwa sasa ina wajumbe wawili tu (JK na Mama Salma) c. Halmashauri ya kuu ya CCM ina...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa taarifa nilizo pata toka kwa prime minister wa UDSM ni kwamba,ingawa maandamano yame zuiliwa,.. kesi ya kucheleweshwa kufungua chuo na hivyo kunyima wanafunzi kupiga kura ina funguliwa leo!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
jamani angalieni msije mkalisha wazi mama yetu kisa kuomba kura chonde chonde
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom