Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

kwa kweli hali ni tete kwa ccm si bara wala visiwani watu wameichoka ombi langu kwao pls kubalini yaishe heshimuni maamuzi ya watanzania at once naamini safari mtaiba lakini mtashindwa kwani gepu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo ya Kata ya Mwakibete Mbeya Mjini: URAIS: CHADEMA 3,564 CCM 950 Ps: Diwani ameshatangazwa na Chadema... BFYA HAPA Matokeo ya Kata ya... | Facebook
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Manzese = Chadema - CCM Chali Tandale = CUF - Retained Kijitonyama Kisiwani = Chadema - Retained Mwananyamala = CUF - CCM Chali. Nimeongea na wakala wa Chadema Kijitonyama Kisiwani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
inatangaza muda huu kwamba fomu za kutoka kajimboni hazijafika ZEC kutokana na mawakala wa vyama kugoma kusign.chama gani kimegoma haijasemwa.ila katika kituo cha bwawani waligomea kusign.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Arusha Mjini kata ya Kaloleni : Kituo 1 urais ccm - 59, chadema - 152, ubunge ccm - 54, chadema - 113, cuf 4, udiwani ccm - 52, chadema - 105, cuf - 12. Kituo 2...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa upande wa Ubunge kwa majimbo ya Mbozi Mashariki na Magharibi Chadema wanaongoza kwa kura za Ubunge pamoja na udiwani......nitaweka idadi kadri nitakavyozipata
0 Reactions
11 Replies
3K Views
"...Kaka kituoni kwangu CCM 43, CHADEMA 65, CUF 3, APPt 1, zimeharibika 2..." Kwa njia ya SMS.
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Huyu Membe alimnyanyasa saana mpizani wakisaidiana na tume NEC. Hebu leteni kura jimboni kwake.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Prof wa Udsm amesema katika mahojiano na TBC saa 3:40 kama wananchi wako makini waipeleke tume mahakamani kupinga kunyimwa haki yao ya kupiga kura. Wazuie matokeo kwani yamewanyima haki yao ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
URAIS Kituo: Shule ya Msingi Peramiho "B" KATA YA MAPOSENI CHADEMA 116 CCM 82 CUF 1 APPT 1 UBUNGE: CCM imemwacha CUF mbali sana. Jenista Mhagama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani jamaa angu ambae yuko huko Kwa mzee SUGU, Mpinzani wake kalazwa PRESURE imeteremka bila speeed Govarnor, mwenye habari kamili jamani amwage hapa.....
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Urais ccm 376 chadema 341 cuf 13 ubunge ccm 396 chadema 322 cuf 10 udiwani ccm 315 chadema 474 cuf 0
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kakukosea msamehe,natubu kwa niaba yake,naomba kesho ukakuratafadhari...!!mfumo wa utawala umezeeka so inabidi ubadilishwe.kesho usifanye kosa utakalokumbuka na kujutia miaka 5.mpe slaa kura...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanabodi, niko mahali nafuatilia matangazo ya moja kwa moja ya uchaguzi kupitia tv zetu ambazo zote ziko live, Mgombea wa CCM jimbo la Monduli, Edward Lowassa ameendeleza kampeni za uchaguzi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kasoro nyingi zajitokeza siku ya uchaguzi Sunday, 31 October 2010 17:09 Waandishi Wetu PAMOJA na amani kutawala katika maeneo mengi nchini wakati wa kupiga kura, kasoro nyingi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Bukoba vijijini Kituo Nkindo Chadema 188 CCM 144 CUF 1 Udiwani Chadema 169 CCM 68
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SOURCE: Uchaguzi Tanzania ......VERIFIED report Katika jimbo la uchaguzi Tarime kuna nyongeza ya wapiga kura ambayo imetolewa na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo.Kati ya maelekezo yaliyomo kwenye...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Napendekeza litengenezwe jedwali ambalo litaunganisha matokeo yote ya majimbo na vituo vyake na idadi ya vyama. Kila matokeo yanapokuja yaingizwe humo. Wanaotuma matokeo waelezwe ni items zipi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilifuatilia hotuba ya Mzee Mwinyi jana, ana busara sana! japo watu walikuwa wanamshangilia lakini nafikiri wengi hawakumuelewa, aidha walitekwa na kadamnasi au ni mtindo tu. ukipata fursa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Vituko katika kampeni za CCM na JK, vimehusisha uchochezi wa sms ambapo wamiliki wa simu walipata messages za uchochezi bila ridhaa yao. Pia CCM na timu ya JK walijikita katika kampeni za udini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom