Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Najua kwamba Salma Kikwete ni mke wa Rais J.M.Kikwete kinachonisumbua ni nafasi yake katika utumishi wa Umma maana mama huyu amekua akifanya ziara nyingi nchini sijui ni za kiserekali, binafsi au...
0 Reactions
109 Replies
12K Views
baada ya kupokea misaada yenye thamani ya shilingi milioni 51 toka Uchina. (Picha na Haki Hakingowi) Rais Jakaya Kikwete Apokea Misaada Kutoka China...
0 Reactions
93 Replies
9K Views
Kijana John Mnyika, Naomba utueleze una mpango,mikakati gani ya kutatua kero za Wananchi wa Ubungo ikiwa ukishinda Uchaguzi?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
GOLI NI GOLI HATA LA MPENDAZOE NALO GOLI! Na. M. M. Mwanakijiji Kwenye kandakanda kuna magoli yanaudhi sana na yanakera. Kuna magoli ambayo mtu unakubali tu kuwa goli hilo "halina utata"...
0 Reactions
187 Replies
16K Views
Leo CCM itawasimika makamanda wake wa mkoa wa tanga katika mkutano utakaofanyika Mombo, Tanga. Wanaotarajiwa kusimikwa ni: Mzee makamba (katibu mkuu wa ccm): Kamanda wa mkoa wa Tanga, Mh...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WanaJF, nawaletea taarifa ambayo niliitoa jana kupitia http://mnyika.blogspot.com na katika Kongamano la Vijana la Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ubungo. Nawatakia mjadala mwema. Ni wakati wa...
0 Reactions
90 Replies
8K Views
Zile harakati za kuwa na Muungano ama ushirikiano wa vyama vya siasa katika chguzi umekwama wapi? Wapinzani walivyoanza kuzungumzia swala hili nilikuwa na matumaini makubwa sana kwamba sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa Mbunge huyu machachari amekuwa kigogo wa kwanza kabisa toka CCM kwenda CCJ. Mbunge wa Jimbo la Kishapu (CCM) Fred Mpendazoe (katikati) akitangaza kwa waandishi wa habari...
0 Reactions
330 Replies
31K Views
Hivi karibuni ,tarehe 2 Machi 2010 Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe Aggrey Mwanri alizindua ukarabati wa kisima cha maji katika Jimbo la Kibakwe.Wakati anazindua maji yalikuwa yanatoka kwenye mabomba...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Baada ya Mzee Jaffer Sabodo kusoma habari iliyochapishwa katika Daily News la jana Tar.29.03.2010 mwandishi akiwa Finnigan wa Simbeye alikuwa na haya ya kusema... "Mheshimiwa Rais,kwa ziara...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Heri mimi sijasema!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, Mara kwa mara nimekuwa nikisikia kwenye vyombo vya habari kuwa mtu fulani amesimikwa kuwa Kamanda wa CCM. Na siku za hivi karibuni kuna amesimikwa Kamanda wa UVCCM Kibaha. Ningependa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya gazeti la Tanzania Daima kufichukua wizi wa TFF kwenye mapato ya uwanja wa Taifa,wizara husika baadaye iliahidi kushughulikia suala la upotevu wa mapato ya clubs na timu ya Taifa.Rais wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
The ghost of corruption scandals that have rocked the Tanzania’s Electric Supply Company (TANESCO) appears not to be getting away as yet another scandal is reported to be silently brewing at this...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mh Former PM...Tunakuomba uamie CCJ ili tukusimamishe uwe mgombea Urais....
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wakuu, kuna mdau ame-forward hii email kwangu nami nikaona ni busara pia kuitundika jamvini ili wote tuone udhalimu wanaofanyiwa watanzania wenzetu wasio na sehemu ya kutoa kilio chao wakasikika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Matatizo yaliyojitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Zanzibar, yamejirudia hapa Bara. Tofauti na Zanzibar ambao walikua na vigezo vya kukataa kuandikisha watu kama...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Askari Polisi wa Kike kutoka Tanzania Waelekea Dafur Kulinda Amani Kamanda Munisi akikabidhi bendera ya Taifa askari hao kwa Mkuu wa msafara...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
MKOA wa Tabora umerudisha hazina Sh 326,192,517 walizopaswa kulipwa walimu wa Shule za Msingi baada ya kubainika kiasi hicho cha fedha kilizidi ikilinganishwa na madai yao halali. Madai ya walimu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kitendo cha viongozi wa serikali kubadili miswada iliyopitishwa na bunge kimetushtua sana lakini kikubwa ninachokiona ni serikali kulipuuza bunge, je cha kujiuliza ni Bunge lina nafasi gani katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…