Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Naomba kujua pesa za kuendesha vyama zinatoka wapi?? Ni kwanini Vyama visiwe na miradi yake ili kuviwezesha kuwa na kipato na kujiendesha kama Marehemu SUKITA? Naomba msaada wadau...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mchakato wa kujua thamani ya hisa za Rites katika TRL waanza .Habari hii imeandikwa katika gazeti la Nipashe la Jumatatu 29.03.2010 inatia kichefuchefu kwamba serekali hii haijui hata hizo hisa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nipo feri, for an hour now, kuna vidaftari ya wakubwa wanaopitia VIP, kuna zaidi ya 20% ya peasa isiyofika juu, kuna foleni ya karaha wiki hii, simply to make us desperate... e.g. ijumaa tulipanga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman hizi sheria nyingine azina adabu zinaitaji kubadilishwa kabisa;kwa mliomsikia mama sophia simba waziri wetu wa utawala nyeti;ametangaza clouds agombei msimu huu,..alipoulizwa na kibonde wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninajua ukweli kuwa kila mtu mstaarabu anatafuta namna ya ama kuondoa kabisa au kupunguza matatizo ya nchi hii ya Tanzania. Hili ni jukumu letu kila mmoja na kwa pamoja. Kwa ajili yangu na kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kweli nimependezwa sana na uwajibikaji wa huyu mama, last week aliamuru kufungwa mara moja kwa shule ya sekondari ya Bundikani huko kibaha baada ya kugundulika wanafunzi wa kidato cha kwanza...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Festo Polea (Mwananchi) SERIKALI ipo katika mazungumzo na wahisani ili kuweza kupanua barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Chalinze, kwa kiwango cha njia mbili zitakazosaidia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
In the absence of politcal will to fight corruption on our part,GB please choose a bridge of the 100 plus bridges across the Thames and kindly cast the loot upon the waters.Thank you very much!
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Mbowe ajigamba adai atamwangamiza Malecela *ASEMA AKIGOMBEA TU, ATAHAKIKISHA ANAMMALIZA Na Geofrey Nyang'oro, Dodoma: Mwananchi CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza vita...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is...
0 Reactions
164 Replies
15K Views
WanaJamii Sikubali kabisa na serikali yetu kwamba Pesa za ziada za ununuzi wa rada zirudi Serikalini ( HAZINA) Jana nimemsikiliza Waziri wetu Membe akihojiwa na Charles Hilary wa BBC kuhusu pesa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha...
1 Reactions
181 Replies
20K Views
Jamani Watz naomba muangalie hii programme halafu tujadiliane kuhusu huu ufisadi wa maliasili yetu. Ndugu zangu watanzania,je na ufisadi huu ni nani anahusika?inawezekana Diplomats wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete leo amenusurika kupata ajali baada ya Lori linalodaiwa kuwa na magendo kukaidi amri ya polisi kusimama kupisha msafara huo... Gari la usalama lililazimika kulikinga...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Project Sea View Apartments Status July – December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start Client...
0 Reactions
190 Replies
22K Views
Heshima kwenu wana JF, Ni muda mrefu sasa umepita tangu majanga ya kulipuka kwa mabomu kule mbagala. Kwa hekma ya Mh. waziri wa wizara husika aliunda tume ya kuchunguza nini ilikuwa sababu hasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna Tetesi kuwa Mwungwana kamtema Amos Makala kutoka nafasi ya Mtunza Hazina wa Chama, na kumteua Zhakia Meghji kuchukua nafasi yake.Kama tetesi hii ina ukweli, naamini la Kuvunda halina ubani.
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Leo ilikuwa siku ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutangaza wapi anawania kati ya majimbo matano aliyokuwa ameyataja mwanzo. Majimbo hayo ni Kahama, Geita, Kinondoni, Kigoma Mjini na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ninatatizika na tangazo moja hivi la tume ya uchaguzi linalosisitiza watanzania kujitokeza kuchagua viongozi, linasisitiza wananchi wachague viongozi wanaowataka....... Mimi naona sio sahihi...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…