Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mchungaji Mtikila Sunday, February 14, 2010 7:42 PM Akiongea na waandishi wa habari leo hii, Mchungaji Mtikila amemtaka rais Kikwete ajiuzulu ili kulinda heshima yake na pia amesema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je kupiga dili la kupoitisha majina HEWA inaweza kuanguka katika category ya UFISADI? If so then we have a MASSIVE problem kwani nadhani wizara hii inaongoza kwa wafanyakazi hewa..hili waziri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
sihitaji kuongea mambo mengi ila habari ndiyo hiyo! Naona kama wameshatuelemea na hatuji tufanyaje,Sanduku la Kura limeshatengenezwa na siyo mbali sana ni kama mwaka bado! Mkishindwa kupanga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MKUTANO wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), umeanza mjini hapa ukiwa umefunikwa na usiri mkubwa kutokana na mambo mazito yanayojadiliwa wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauliza.....nani zaidi? Hayati Mwl. Nyerere alipigania uhuru na kujaribu kutekeleza siasa ya ujamaa na kujitegemea. Kuna wanaodai alijitahidi kwa kiasi kikubwa kuinua pato la mwananchi wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
A portion of the act states this  The Land Act,1999 (Act No 4/1999) The Land Act is the principle land legislation on all land matters. The Land Act signifies that land in Tanzania is...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
GWYNNE DYER eagle-eyed Columnist analyses global issues Eight months ago (and 10 months before regional elections were due to be held all over the country), French president Nicolas Sarkozy...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kuhusiana na mgawanyiko ndani ya CCM Sitta amshukia Rostam kuhusu Richmond Ripoti ya Kamati ya Mwinyi kuzua mtafaruku Na John Daniel, Dodoma WAKATI macho yote ya Watanzania yako Dodoma...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Chuo Kikuu cha Kanisa Katoliki kilichoko Kenya (CUEA) kimemtunuku Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, Director wa UN Habitat degree ya heshima kwenye fani ya Haki ya Jamii na Maendeleo ya Binadamu...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Rais wa awamu ya tatu Tanzania, Benjamin William Mkapa. February 11, 2010 SIAMINI kama huyu anayezungumziwa hapa ni Rais wangu wa awamu ya tatu nchini Tanzania...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Kama ambavyo imefanyika kwa ugonjwa wa Malaria siku ya Jumamosi (13/02/2010), tunaomba na kupendekeza pia matatizo haya makubwa katika taifa letu nayo yatanganzwe rasmi kama majanga ya kitaifa:-...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Nasikitika kuwatangazia kuwa tunahamisha data kutoka Center moja kwenda nyingine. Hii itasababisha nameservers kubadilishwa na hivyo kwa wale ambao wanaitembelea JF mara kwa mara huenda...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Mara kwa mara watawala wamekuwa wakituasa kuwa tofauti zetu zisisababishe mgawanyiko katika jamii na kuwa ni muhimu kuendeleza "umoja, utulivu na mshikamano". Mimi nimeamua kukataa kuwa na umoja...
0 Reactions
84 Replies
8K Views
Rais Jakaya Kikwete jana wakati 'anakamata' Fanta yake wakati wa kuwapongeza wabunge waliopitisha hoja aliyoiita muhimu kwa uchaguzi wa demokrasia, aliwaponda na kuwaruka watu wanaojipitisha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ningependa kujua utaratibu wa uuzaji wa viwanja kupitia vijiji. Unafanywa vipi?ni jinsi gani ya kuhakiki Mwenye kiti wa vijiji? Na ni njia zipi sahihi?kusije kukawa na watu wanafanya utapeli!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
We are expecting to deliver the next round of our contributions to the Tanzanian Red Cross Society sometime tomorrow as our Donations Campaign is winding down. We continue to be of immense...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salaam, Kwanza naomba niwatulize mioyo wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajisikia kukwazika na kile kilichoendelea Bungeni leo hii na hasa suala la Richmond. Ninafahamu watu wengi...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Kauli ya CCM Kuhusu Kuanzishwa kwa Chama Kipya cha Upinzani – CCJ Hivi karibuni vyombo vya habari vimekuwa vinaandika sana habari za kuanzishwa kwa Chama kipya cha upinzani kiitwacho Chama cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kutafakari sana, nimepata sababu 51 za kwanini Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama chetu Cha Mapinduzi aamue kutoshiriki kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu mwakani...
0 Reactions
145 Replies
12K Views
Maelezo haya hapa chini yanayohusu Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imenisikitisha sana kwa jinsi Kamati hiyo ilivyotishiwa nyau na mambo ya "Posho Mbili kwa kazi...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…