Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika hali ya kufurahisha sana, muda mfupi uliopita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeridhia kwa kauli moja (100%) kuchomolewa kwa mswada wa usalama wa kuunda Baraza la Usalama wa...
1 Reactions
90 Replies
11K Views
Nashangaa mpaka leo European Union haijawafungia mafisadi wa Tanzania kusafiri nje ya nchi,kwa kuwanyima visa.Wakati elites wa Kenya hawasafiri tena, nashangaa EU hawafanyi hivi TANZANIA?aU...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamii; nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya Richmond, Dowans, EPA, BOT wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu CCM, rostam hajafungwa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Fanyeni connections zenu Alfons Mensdorff-Pouilly Nuff said...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Na Saed Kubenea KUNDI la vigogo waandamizi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) limepanga kujiondoa ndani ya chama hicho iwapo masharti yake hayatakubaliwa, MwanaHALISI limeelezwa. “Kama...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
UHAI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) sasa u mikononi mwa wabunge wa chama hicho, ambao wametangaza vita dhidi ya chama chao na serikali, na kukiingiza chama tawala katika wakati mgumu pengine kuliko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JESHI la polisi Mkoa wa Rukwa limewafukuza kazi askari wake wawili kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo ya mmoja kutishia kumuua mwenzake kwa kumpiga risasi wakati wakiwa lindoni. Kamanda wa Polisi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WIKI chache zilizopita rafiki yangu wa muda mrefu, mtumishi wa Mungu, Dk. Norman Sigalla ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro alinitembelea ofisini kwangu kwa lengo la kutaka...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kama yupo mtu anahisi anayo njia sahihi zadi ya kuleta amani na umoja visiwani Zanzibar serikali inamkaribisha mtu huyo kufanya hivyo na suala lake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nathubutu kukubaliana na mtaalamu wa sayansi ya siasa Harold Laswell katika taaluma hiyo. Mwanazuoni huyu alikwisha kusema maana halisi ya siasa na wanasiasa, kwamba ‘Politics is the Art of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: http://issamichuzi.blogspot.com/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akimkaribisha Ikulu Zanzibar kwa mara ya kwanza Katibu Mkuu wa CUF...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Source,Habari Leo!!!! Tanzania yaishukuru Libya kwa Msaada TANZANIA imeishukuru Libya kwa misaada yake ya kibinadamu ambayo imetoa kwa Tanzania kusaidia watu walioathiriwa na athari za mvua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dailynews Reporter in Dodoma, 28th January 2010 TANZANIANS may soon witness trains moving as fast as 120 kilometres per hour as the government mulls introduction of fast moving locomotives in an...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
Nimekuwa hapa Unguja toka Alhamisi. Nimekuta hakuna umeme na katika uliza uliza yangu nimeambiwa kuwa hakuna mategemeo ya kurejesha umeme hadi mwishoni mwa mwezi Februari. Inawezekana serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba minieleweshe hasa matumizi ya neno hili kustaafu katika siasa zetu hizi za kimasikini, kwa nini kiongozi anaye ondoka madarakani kwa kashfa kabla ya kumaliza muda wake...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Rais Kikwete akiwa safarini kwenda Davos, alisimama LIbya na kukutana na Ghaddafi na kumpa shukrani kwa msaada uliotolewa na Libya kujenga nyumba kwa familia zilizoathirika kwa mafuriko. Katika...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
  • Closed
Wakuu, habari! Ni wazi kuwa baadhi yetu humu jamvini tumeonesha ama tuna nia ya kugombea ama Ubunge au Udiwani na nafasi nyinginezo na wengine bado tunatafakari kama tugombee ama la. Wengi wetu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri Simba: Tupo makini, tutawashughulikia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Sophia Simba, amesema, si kweli kuwa Serikali inachelewa kutoa uamuzi au haitoi uamuzi sahihi kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kutafakari kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi kwenye ka- Nchi ketu haka maskini sana ulimwenguni (wa mipango) nimeona haya mambo ni muhimu sana kuhusiana na uchaguzi huo. Itikadi, Sera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAIBU Gavana wa Benki Kuu (BoT), Juma Reli (54), ameshindwa kuithibitishia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuhusu hasara iliyopatikana katika mradi wa ujenzi wa minara pacha kwa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom