Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Sentence case: Kilio chetu kwako, Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Sisi wananchi wa Musoma Vijijini, Tarafa ya Njanja Majita, tunapenda kuleta kilio chetu...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Bunge latupa taarifa za mashirika ya umma na Deogratius Temba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mashirika ya Umma, imekataa kupokea taarifa za mashirika matano ya umma kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NI miaka miwili sasa tangu nilipomsifia Balozi Ali Abeid Karume (Balozi Karume) kwa hatua yake ya kutangaza kugombea urais wa Zanzibar wakati utakapofika. Wakati akiwa nchini kwa kazi maalum ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
NGUVU ya Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, imeanza kukitikisa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na sasa kimeahirisha kikao cha Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) ili kukabili mmeguko wa wajumbe...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
CCM Zanzibar sasa washiriki maandamano ya CUF Maelfu ya wafuasi wa chama cha CUF na CCM Zanzibar wakijumuika katika maandamano ya kuunga mkono kauli ya katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nikijibu hoja ya kuhusu Rafiki yangu January Makamba kwenda Bumbuli kutoa magari, kuna mtu alitoa kauli na kuainisha kuwa January, Baba yake Mzee Makamba ni mtu mwenye ushawishi Serikalini...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Huyu Wasira kadata, yaani, sababu anayosema kuwa hataki kuachia madaraka kwa vijana ati ni vijana wanakula bangi! Nchi kibao wanakula mjani; Holland kule wanakula mjani, Jamaica na sehemu kibao...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
madeye kugombea ubunge arumeru magharibi? Mkurugenzi usimamizi wa rasilimali wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni kamanda wa umoja wa vijana CCM wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mlezi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Rostam, Chenge, waonyesha jeuri ya fedha kwa John Cheyo Na Anceth Nyahore 18th January 2010 Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz na Mbunge wa Musoma...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mbiu ya kila siku ya CCM ilikuwa ni kujivunia utulivu na amani miongoni mwa watz,lkn leo hii watz wanauawa kila siku na majambazi bila mikakati yeyote endelevu toka serikalini hasa wizara ya Mambo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Date::1/18/2010 Exuper Kachenje na Sadick Mtulya, Mwananchi. WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema wakati umefika wa kumpunguzia rais majukumu ya kichama ili awajibike zaidi katika kazi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu, habari za mwisho wa wiki. Natumai mambo yalienda vizuri. Nakumbuka hoja ya Zitto ya kusema kwamba Pinda alikuwa akilia akiwa Mkuu wa serikali pale alipoulizwa Bungeni kutoa ufafanuzi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
1. Kuna baadhi ya wanasiasa waliowahi kupanda chati sana kisiasa na baadaye kuporomoka kwa kupoteza umaarufu kwa kiasi kikubwa sana! Mfano wa wanasiasa hao ni Augustine Lyatonga Mrema. Huyu ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hawa CHADEMA wamekata tamaa ya kuunda serikali hata kabla ya mpambano wenyewe? Afadhali chama wangemwachia Zitto kumbe. Chadema yapania kunyakua majimbo 80 Daniel Mjema, Moshi CHAMA cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, Kutokana na ujuzi alionao na umuhimu wake katika taifa letu, tumshauri Profesa Baregu aanzishe taasisi ya BAREGU FOUNDATION FOR PEACE AND DEVELOPMENT (BFPD). Naamini wengi tutamuunga mkono...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kikwete: Tutazirudisha baadhi ya nyumba za serikali zilizonunuliwa By Habari Tanzania | Published 10/3/2006. RAIS Jakaya Kikwete, amesema serikali yake imefikia uamuzi wa kuzirejesha baadhi ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa habari nilizonazo, Leo JK yupo Kilosa mkoani Morogoro kuwafariji wahanga wa mafuriko. Pinda alianza yeye anafuatia! Pia soma...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ni jambo la kushangaza kuona Mtanzania Halisi ambaye amewahi kushika madaraka katika serikali ya SISEMU leo hii kumshambulia Mbunge Anne Kilango kwa vita dhidi ya VISADIZ. Naamini anatumia haki...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
Wanasiasa na Wanasheria, je, inawezekana kuanzisha chama 'kipya' cha kisiasa cha upinzani kiitwacho Jumuiya ya Uzalendo wa Kiafrika, yaani, Tanzania African National Union (TANU)?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
1. Tumesikia mara kwa mara kwamba baadhi ya Wabunge, hasa wale wanaodai kupambana na ufisadi kulalamika kwamba kuna mafisadi wanaomwaga fedha majimboni mwao kwa nia ya kuwang'oa. 2. Hao ni...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom