Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wana JF, Huwa najiuliza, pamoja na mabaya yote aliofanya Rais mstaafu,Ndg BW Mkapa, lakini aliweze angalau kufufua uchumi(ambao ulikuwa kama umekufa vile- yaani nikaribia tungeifikia hali ya sasa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mbunge machachari wa jimbo ya Same Mashariki, Anne Kilango Malecela amekuwa kiongozi ambaye haoni haya kukosoa serikali ya chama chake inapokosea .... Ni kiongozi imara, shupavu, na atakuwa...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
WASOMI WASEMA: Dk. Mwakyembe ni mpotoshaji MWANDISHI WETU Mbunge wa Jimbo la Kyela kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Harrison Mwakyembe, ametajwa kuwa ni miongoni mwa watu wapotoshaji...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
VYAMA vya The Tanzania Democratic Alliance (Tadea) na United Peoples Democratic (UPDP), vimeeleza kushangazwa kwa kutochukuliwa hatua kwa viongozi wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, akiwamo...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Wakuu, Kutokana hali halisi iliyopo nchini mwetu, natumaini wote tunakubaliana kuwa Rushwa ni tatizo kubwa sana nchini na kimsingi tatizo hili linastahili kuitwa JANGA LA KITAIFA. Pamoja na...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kuwa mabalozi wetu katika nchi za kislamu huwa ni waislamu tu. Ingawa hakuna nchi inayojitambulisha kama nchi ya Kikristo, ila balozi wetu Italia huwa pia ni balozi...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari zinazoingia mida hii ni kuwa mwanachama mwenzetu Bw. Sanctus Mtsimbe ambaye ni rais wa TPN atakuwa kwenye kipindi cha "Kumepambazuka" kuanzia saa 12:30 za asubuhi leo hii (j'tatu) kwenye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HALI ya maisha visiwani Zanzibar ni ngumu kwani gharama za maisha zimepanda baada ya kupanda kwa bei ya mafuta pamoja na kutokuwapo umeme. Zanzibar imekumbwa na tatizo la umeme baada ya njia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wana JF Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Operesheni Sangara ya CHADEMA iko Lushoto tangu jana na Dk Slaa atakuwa katika kata kadhaa za wilya ya Lushoto ikiwemo katika kijiji cha Makamba...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Revealed: Details of the new Mining Act By Staff writer 20th December 2009 Email Print Comments Abolition of 100 percent foreign ownership Recommends 50-50 ownership in...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Sisi wakazi wa Arusha tumeona pa kukimbilia ni JF kwa kuwa si PCCB wala Ofisi ya DPP inaweza kutusikiliza kirahisi . Kwa kuwa tuna amini JF ni mrwisho wa maelezo leo tunaweka swali hili kwa DPP...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kumfananisha Marehemu na dhahabu iliyopandwa? Sipati maana? navyojua mimi dhahabu hununuliwa, hutumika kwa urembo baada ya kuchimbwa kufinyangwafinyangwa kutengenezwa katika maumbo anayopenda...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
The Pundit, or Bluray to be precise, has raised an important question about the importance of being precise. Could this be the precise problem that is inhibiting Tanzania and Tanzanians from...
0 Reactions
247 Replies
18K Views
Wana JF, Huwa najiuliza kila siku jinsi serekali inavyo poteze mapato yake ya kila siku lakini, Lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa kudhibiti hili. Kilicho nisukuma kuandika hapa,ni wito...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Lini hasa tutawaweka KITIMOTO Mawaziri wetu ili watueleze wanaifanyia nini nchi yetu na tutegemee nini zaidi toka kwao. Utaratibu wa kila wiki kwa Mawaziri angalau wawili kuongea na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF naomba kuuliza; -Malengo/shabaha za semina elekezi kwa watumishi wa serikali kule Ngurdoto zilikuwa nini? -Mpaka sasa tunaweza kufanya tathmini yoyote kupima kama malengo hayo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Lile eneo la Ukonga Banana ambalo mwana-ubalozi wa Canada alimtemea trafiki mate lilianza kutengenezwa tangu Ijumaa (11.12.2009), siku moja tu baaba ya tukio. Sijui ni kwa sababu ya tukio hilo au...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Hi hii ni kweli..???
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Waziri Chikawe asema Kikwete hawezi kuwabana mafisadi *Asema Rostam, Dk Hoseah hawakamatiki *Asikitika DPP, DK Hoseah kuparuana...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Kumekuwaa na hoja mbali mbali za kumshtaki, kumwondolea kinga Raisi mstaafu mkapa kuanzia kwenye magazeti, bunge, mpaka ndani ya JF. Je ni makosa gani ambayoo utawala wa Mkapa ulifanya kwa sasa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…