Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KASHFA KAMPUNI YA RELI: WATANZANIA NDIO WAKUOMBWA RADHI Taarifa inatolewa kwa umma kupitia kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa ya CHADEMA kufuatia kauli...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Makamba katamka Kikwete ni Mtaji wa CCM, ni CCM ipi Makamba anaizungumzia? Je ni nani mmiliki wa CCM aliyetupa Mtaji Kikwete na ni nani mvuna Faida ya Mtaji Kikwete? Je ni Mafisadi ambao ndio...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
na Edward Kinabo na Janet Josiah CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa Rais Jakaya Kikwete ameshiriki moja kwa moja kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hakika , hakika, CCM ni vicheko na ndelemo, kile walichotegemea sasa chatimia, walijua kuwa upinzania nguvu yao ni ndogo ni kelele za chura. Ni kweli wapinzani walifanikiwa kuwashika pabaya ila...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA. Nimeamua kulisema hili kwani...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Gold keeps on surging, hits new high of $1,118 By SARA LEPRO, AP Business Writer Sara Lepro, Ap Business Writer – Wed Nov 11, 1:19 pm ET NEW YORK – The price of gold surged to a...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Baada ya Kafulila kuondoka chamani kwenda kwenye NCCR Mageuzi ambayo Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe aliwahi kukitaja humu kwamba kilipewa fedha za EPA kuhujumu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi majuzi nilikwenda kuomba kazi katika gazeti moja jipya ambalo ofisi zake ziko kwenye ghrofa linalomilikiwa kwa sasa na NSSF. Karibu kila korido ilikuwa na harufu mbaya na kali ya kinyesi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
well...its December na hili zoezi la kukusanya data za watu kupitia namba za simu linanifanya nijisikie un ease kwa sababu serikali yetu haiwezi kuaminiwa kwa not only data zaetu lakini ni...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Dubai economic crisis due to heavy investment from external finance to elephant projects. Riots in Geneva protesting against capitalism, WTO and free market economy (aka Utandawazi, Uwekezaji...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MBUNGE wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM), ametaka kuitishwa kwa mdahalo wa wazi wa saa tatu katika kituo chochote cha televisheni kati ya wajumbe wa iliyokuwa Kamati Teule ya Bunge...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Waziri wa Mkapa amshukia Kikwete ataka CCM imtose 2010 ATAKA CCM IMTOSE 2010 KAMA HAWEZI KUFANYA MAAMUZI MAZITO Ramadhan Semtawa WAZIRI wa zamani katika serikali ya awamu ya tatu, Matheo...
0 Reactions
68 Replies
44K Views
Ndugu zangu Nimeona habari hii katika Gazeti la Raia Mwema nikaona niwajuze. RugemelezaMwalimu Nyerere wamlipua Kikwete Mwandishi Wetu Disemba 2, 2009 Siri za uteuzi wa mgombea urais CCM...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Ni haki kwa wananchi kujiridhisha kama rais anaipenda nchi yetu. Kuna mambo kadhaa ambayo rais anawezapimwa kama anaipenda nchi yake. Hili suala la Mh. Rais Kikwete kufanya safari nyingi nje ya...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Kongamano la Nyerere latamka 'utajiri wa viongozi unatishia amani'*MITANDAO YA KISIASA YATAJWA PIA KAMA KITISHO NA CHANZO CHA KUCHAFUANA Na Ramadhan Semtawa VIONGOZI wa dini na taasisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimelikumbuka jambo moja ambalo niliwaahidi watanzania wenzangu wakati natafuta funguo za Ikulu! Ama kwa hakika watanzania wanadanganyika kirahisi sana. Nilijifanya nitashughulikia kwa nguvu zangu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kutokana na ukweli kuwa hali ya amani na majirani zeu inazidi kuimarika, kuna haja kama nchi kuliwezesha Jeshi letu na kulipa Jukumu rasmi la Kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya taifa hili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Absalom Kibanda RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi azma yake ya kugombea urais kwa muhula wa pili mwakani, huku akitangaza kaulimbiu mpya anayokusudia kuingia nayo katika mapambano hayo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Watangazaji wa Clouds Fm, Kibonde na Gadner wamemshukia mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA John Mnyika na kueleza kwamba anachanganya mambo. Wanahabari hao waliyasema hayo katika kipindi cha...
0 Reactions
109 Replies
12K Views
Na Salim Said KAMPENI za kuwania Ubunge Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam zimeanza kwa kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…