Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ukiangalia nchi za watu......hasa marekani utakuta watu wanaoandika vitabu mbbalimbali pamoja na vitabu vya maisha ya watu maarufu,viongozi na wengineo utakuta wengi wa wandishi hao ni waandishi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kundi la magaidi wa Somalia la Alshabab limetishia kupiga Bujumbura na Kampala.Kundi hili ni tawi la Alkaida la Osama Bin Laden.Makundi yote haya huamini utumiaji wa njia haramu ili kuweka...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nina kumbukumbu kuwa waziri mkuu alionyesha uwezekano wa viongozi wa ngazi za juu serikalini kupunguza matumizi ya magari ya kifahari. Nazidi kujiuliza ni nani hasa anayeweza kutoa amri hiyo na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
* Asema wamehojiwa bila kufuata taratibu, kanuni * Shellukindo akiri kuhojiwa, ahusisha na Richmond * TAKUKURU: Tuko sahihi, hakuna aliye juu ya sheria Na Edmund Mihale Majira 26 October 2009...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kama ungelikua ni mwenyekiti wa chama chochote cha upinzani na unadai kama una wawakilisha au unapigania haki za wanyonge (walalahoi) walio wengi tanzania, na chama chako kikafanikiwa kupata...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Baada ya kusoma post nyingi na kufuatilia kasumba la Umeme Tanzania, Hitimisho limekuwa simple: CCM IMETUPIGA CHANGA LA MACHO. Lakini cha kufurahisha zaidi ni kwamba hii haikuwa mara ya kwanza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tanzania imeshatawaliwa na marais wanne tofauti, maarufu kwa jina la awamu nne. Akianza J.K. Nyerere, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Che Mkapa na J.K. Mrisho. Kwanza, kabla sijaendelea...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
22nd October 2009 Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete, amejikuta akikumbana na mauzauza ya aina yake katika ziara yake ndani ya wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
*Selelii, Kimaro wataka afikishwe kortini *Walaumu serikali kwa kutoa majibu ya ovyo *Lowassa: Sizungumzi na vyombo vya habari Waandishi Wetu, Dar, Dodoma Majira 26 October 2009 WAKATI...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Na Waandishi Wetu, Mwanachi Gazeti MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi nchini kote, yanaonyesha kuwa vyama vya upinzani vimeanza kupata nguvu kubwa baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BUTU BUTUA Nilisoma insha ya Rev. Kishoka inayokwenda kwa jina la AJIZI YA KIBUGE. Nimekuwa naipitia mara kwa mara ili kujua mtunzi au mwandishi alikuwa analenga msomaji wake apate maudhui gani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi hili neno miundombinu maana yake hasa ni nini????? Kila mara ukisikia viongozi wetu wakizungumzia miundombinu utakuta wanazungumzia barabara..... Sasa mpaka watu wa kawaida wameshazoea kuwa...
0 Reactions
4 Replies
14K Views
http://www.youtube.com/watch?v=FCbfp6LO1ng
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu tupeane updates Mie nimetoka kupiga kura lakini,nimeshindwa utaratibu ni mbaya kupita kiasi. Oroadha ya majina ya wapiga kura ambayo ilibandikwa jana imelowa yote na mvua ya jana-mpaka sasa...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
MAJI ya Mto Tighite ambayo yanalalamikiwa na wananchi wa Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara, yamethibitika kuwa hayafai kwa matumizi ya binadamu kwa kuwa yana sumu inayoua pole pole viumbe hai...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hakuna chaguzi ngumu kwa vyama vya upinzani kushinda kama hizi za mitaa. Hata hivyo, katika hali inayoonesha mwanga mpya, majimbo matatu ya mkoa wa Kigoma yanaonesha kukubalimabadiliko ya kweli na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Date::10/26/2009'Huu si wakati wa kubeza Kilimo Kwanza'Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Mtandao wa Wadau wa Kilimo wa Asasi za Kiraia (Ansaf), James Davey amesema huu si wakati muafaka wa kuanza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
DASSU STEPHEN, 26th October 2009 @ 12:34, Daily News There are 168.8 million Africans in the Diaspora, JK: Help Africans out of poverty AFRICANS in the Diaspora should help governments on...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila mara naisikia sauti ya Nyani Ngabu Julius ikisema Miafrika Ndivyo Tulivyo. Kisha kwa mbali Bob Mkandara hunguruma watu na mazingira. Kisha FMES humalizia kwa kusema viongozi wetu ni image...
0 Reactions
79 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…