Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kitu ambacho CCM haitaki ujue ambacho leo Utakijua! Makala iliyotoka Tanzania Daima Jumatano 19 Novemba, 2008 Kama wewe ni mwanachama au umewahi kuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
"Semina, warsha sasa kwa kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu Na Habel Chidawali,Mpwapwa (Mwananchi) WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameingia kwenye orodha ya viongozi waliojaribu kupiga vita semina na...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Rais Kikwete ambaye sasa hivi yuko Ethiopia alichepukia Libya kwa ziara ya siku moja ya kikazi. Katika taarifa ya habari ya saa mbili TBC wametangaza sababu ya Rais kwenda Libya na kufanya...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Serikali ya awamu ya nne imepata misukosuko mingi sana. Sina maana kwamba serikali zilizotangulia hazikuwa na misukosuko kama hiyo. Ilikuwepo kwa kiwango chake. Maamuzi yanayogusa maisha ya watu...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
INASEMEKANA eti kuna wanasiasa na watumishi wa serikali ambao nao wameahidiwa na waganga hao hao kwamba ili wapate Uwaziri au ukuu wa mkoa au ukuu wa polisi wa mkoa au ubalozi au ukatibu mkuu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Tuambiane ukweli, ofisi ya Mwendesha Mashitaka si huru Lula wa Ndali-Mwananzela Novemba 19, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo KINYUME na madai ambayo tumeyasikia mara kwa mara siku...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wale ndegu zetu waliosota kipindi kilichopita chha mahujaji leo hii wameendelea kuonja joto ya jiwe na safari hii ni tatizo la ""YEMEN AIR". habari zilzotofikia zinasema mahujaji wamelala tangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Niliwahi kumsikia siku moja Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Joseph Sinde Warioba. Akisema hivi "Kwenye Taifa kama la Tanzania ambapo Mkuu wa nchi ni Rais wa Jamhuri, Waziri Mkuu kazi yake ni kuhakikisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu. Nimekuwa nikifikiria sana juu ya upeo wa mawaziri wetu ambao wana dhamana ya kuliongoza Taifa letu kwenda kwenye Maisha Bora kwa kila Mtanzania. Hapa ntatoa mifano miwili tu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Akutwa na ngozi ya mtu na Kenneth Mwazembe, Mbozi MKAZI wa Kijiji cha Halungu, wilayani Mbozi, Yalesi Mganji, anashikiliwa na polisi mjini Vwawa kwa tuhuma za kuuza ngozi ya binadamu. Mganji...
0 Reactions
26 Replies
13K Views
On Necessary Things (Public Discourse 3) Na. M. M. Mwanakijiji Kuna vitu visivyo vya lazima na vitu vya lazima. Kuna vitu ambavyo mwanadamu anaweza kuishi bila kuwa navyo na vipo vile...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama unadaiwa na serikali basi hawa ndio watakuja kukudai Madalali 11 waomba kukusanya Fedhaza Ufisadi.. KAMPUNI 11 za udalali zimeomba zipewe kazi ya kukusanya Sh bilioni 199...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Ninadhani sifa kuu ya wana CCM ni kulinda maslahi ya chama chao kwa nguvu zote. Hii inatokana na maamuzi ya CC-CCM ya hivi majuzi kuwashughulikia viongozi wa Jumuiya ya Wazazi na Katibu wa CCM wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ulaya na Marekani rasmi sasa hoi bin taabani WATANZANIA TUANZE KUJIANDAA KUFUNGA MIKANDA KWA MIEZI ISHIRINI NA NNE na pengine zaidi na kama tusipokuwa watundu na wabunifu na kuachana na mazoea...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mgombea mmoja wa nafasi ya Ujumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi wa CCM taifa amemwaga `lazi` kuanzia mchana wa jana hadi usiku wa kuamkia leo baada ya kuwalisha misosi wajumbe kibao wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Huyu mwanamama anaiturn one with her intelligence,sense of perspective, real genuine lady there. Can you imagine akigombana na mumwewe basi inaelekea zitakuwa the most intellectual "throw downs"...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Imetolewa mara ya mwisho: 13.11.2008 1119 EAT • Kabwe afurahia sitofahamu CCM Na Said Mwishehe Majira MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wanaforum, Sheria moja ya kazi huwa inaweka conditions za mtu kulipwa mafao baada ya kuacha kazi; sheria hii huwa inaelekeza kuwa mtu atalipwa mafao yake ya mwisho endapo tu mtu huyo ataacha...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Unaombwa utoe ushauri wa jinsi ya kutatua matatizo ya elimu ya Juu nchini ili hatimaye: a. Migomo isiyo ya lazima isitokee b. Elimu ya Juu inapatikana kwa kila atakaye c. Familia zinaweza...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
na Mwandishi Wetu MGOMBEA wa nafasi ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) NEC, Shyrose Bhanji, jana aliwatoa machozi wajumbe wa NEC, alipotoa maneno ya shukrani baada ya...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Back
Top Bottom