Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na...
6 Reactions
102 Replies
2K Views
Anaponda kauli ya CCM wanayosema CCM itakaa madarakani hadi Yesu atakaporudi Wanasiasa wanaoelewa nini maana ya siasa wamekwisha sasa Anazungumzia hofu kubwa za kutekwa kwa watanzania kutokana na...
5 Reactions
5 Replies
533 Views
Team; Salaam! Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025? Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi...
0 Reactions
4 Replies
214 Views
Mbunge wa Hai Mjini, Saashisha Mafuwe ameiomba Serikali kuwakopesha wanaume wote mikopo ya Halmashauri ya asilimia 10, ili iwasaidie katika shughuli za kimaisha.
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Waziri Simbachawene unapaswa uone aibu, unatangaza nafasi 14,000 tu za Walimu wakati waombaji wapo Walimu 200,000? Huoni haya, hawa 186,000 wataenda wapi? YAANI MNACHUKUA ASILIMIA 7 TU YA...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi, amesema Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, lengo lake kuu ni kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati, hasa kwa wananchi...
0 Reactions
5 Replies
262 Views
Swali: Je ni lazima kuendelea kununua mandege ya kampuni ya Boeng? --- LICHA ya mafanikio yanayopatikana kwenye Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo...
1 Reactions
18 Replies
581 Views
Salam wanajamvi, Moja kwa moja kwenye mada naomba tuunge mkono hoja hii ya kutaka serikali yetu kua kinara nchi ambazo zitasitisha shughuli zote za miradi ya maliasili na kupitia upya mikataba...
2 Reactions
6 Replies
188 Views
Hellow Tanganyika! Uharibifu wa mazingira ni mkubwa Kanda ya Ziwa, Nia ni njema kuruhusu wachimbaji WADOGO, ila usimamizi wa karibu ni muhimu. Serikali chini ya wizara ya madini itengeneze...
0 Reactions
3 Replies
192 Views
Ukiondoa kukutana na Warioba, kipi kikubwaTundu Lissu tangu achaguliwe amekifanya ndani ya CHADEMA au kwa taifa ambacho kinamfanya aaminike na kukuza chama chake? Kwa mimi naona nothing. Namuona...
0 Reactions
28 Replies
598 Views
Kuna vitu maamuzi yake huhitaji Hoja, yaan anasimama MTU makini anaelezea Kwa hoja !. Sasa kumfukuza MTU namna hii, maana yake ni kuifanya habari iwe kuuuuuubwa , embu fikiria vyombo habari...
13 Reactions
30 Replies
2K Views
Ukipenda Tanganyika utazipenda Serikali 3 na Ukipenda Zanzibar utazipenda Serikali 3 Na Serikali 3 utazipata kwenye Rasimu ya Katiba Mpya ya Jaji Warioba ya 2014 kabla Shujaa Magufuli hajawa...
7 Reactions
16 Replies
431 Views
Mpo salama wote! Awamu ya pili ya Donald Trump imekuwa na Sera korofi kwa mataifa mengine. Sera ya isolation ni Sera ambayo nchi Fulani hujitenga na mataifa mengine na kufungia Fursa za kiuchumi...
0 Reactions
1 Replies
242 Views
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi Mhe. Mohamed Nyundo amewaasa Wafanyabiashara na Wananchi wa Kilwa kuacha kujihusisha na biashara za magendo kwani zina athari mbaya kwa jamii na uchumi wa...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
π——π—žπ—§. π—¦π—”π— π—œπ—” π—‘π—œ 𝗧𝗨π—₯𝗨𝗙𝗨 𝗬𝗔 𝗖𝗖𝗠 π—žπ—ͺ𝗔 π—ͺπ—”π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” π—¨π—–π—›π—”π—šπ—¨π—­π—œ π— π—žπ—¨π—¨ 2025 Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi wa kipekee ambaye amebeba matumaini makubwa ya Watanzania. Utendaji kazi wake umejikita katika...
0 Reactions
15 Replies
267 Views
Haki ya Kesi ya Haki (Right to Fair Trial) Haki ya kesi ya haki ni mojawapo ya haki za msingi za binadamu zinazohakikisha kila mtu anayeshtakiwa kwa kosa lolote anashughulikiwa kwa usawa, haki, na...
2 Reactions
5 Replies
456 Views
  • Redirect
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kwa wingi wa kura na si mtutu wa bunduki. Pia...
0 Reactions
Replies
Views
Tega sikio msikilize! Mnawaambia vijana hawana ajira wajiajir wakati nyie mmeshindwa kujiajri mmeomba ubunge, wote hapa mmeshindwa kujiarijiri wengine ni Maprofesa mmo humu, mmeomba ajira kwa...
1 Reactions
2 Replies
308 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewahakikishia wananchi kuwa serikali imedhamiria kuboresha miundombinu ya kiuchumi ikiwemo ya kilimo kwa lengo la kutanua wigo wa...
0 Reactions
2 Replies
101 Views
Wakuu, Akiwa anaongea kabla ya mafunzo kwa waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya bayometriki huko Tanga, Mwenyekiti wa Tume Huru ya UchaguziJaji Rufaa Jacobs Mwambegele amewahasa waendesha...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…