Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mbunge wa Jimbo la Makambako Mkoani Njombe Deo Sanga (Jah People) amesema kuwa wale wanaosema CCM kumpitisha Samia, waende Vyama vingine bado havijateua wagombea wakashauri huko Amesisitiza CCM...
4 Reactions
5 Replies
405 Views
Wakuu Wananchi tumekubaliana lini Rais Samia kupita bila kupingwa? Hivi huyu Mbunge anawazungumzia wananchi gani? Au anaongea kwa niaba ya vikao vyao vya kificho? Tena aelewe, si kila...
1 Reactions
7 Replies
576 Views
Wakuu Mbingu zimeitika, niwasalimu kila mmoja kwa imani yake, hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo. Rejea mada tajwa hapo juu , Leo namtaka msajili...
8 Reactions
46 Replies
1K Views
Ukikaa na wananchi wengi wanaunga mkono mabadiliko na wanatamani sana madadiliko nchini, wamechoshwa kabisa na mambo ya CCM pamoja na ubinafsi wa CCM , ila tatizo kubwa ambalo kama chama...
1 Reactions
1 Replies
173 Views
Joyce Hilda Banda, alizaliwa 1950. Huyu alikua Rais wa Malawi (April 2012-May 2014) msomi haswa alifurushwa kupitia sanduku la kura za Wananchi.
8 Reactions
24 Replies
2K Views
Timu ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) imefanikiwa kutatua mgogoro wa ardhi uliodumu miaka zaidi ya 30 na hatimaye kufikia tamati. Hayo yalijiri Februari 8,2025...
0 Reactions
8 Replies
283 Views
Wakuu, Kama unajua una divisheni 0 au division four una ujumbe wako hapa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Albert Chalamila. ==================================== Mkuu wa Dar Es Salaam...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Kabla ya uchaguzi mambo huwa hivi 👇🏽 Baada ya Uchaguzi mambo huwa hivi 👇🏽 AKILI KUMKICHWA 😀
3 Reactions
6 Replies
203 Views
Ni matarajio yetu kuwa M23 wamealikwa kwenye joint summit ya EAC-SADC itakayofanyika Dar es Salaam Jumamosi. Vinginevyo kitawaka mapema asubuhi
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Wakuu, Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Deo Ndejembi ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera kuwasilisha ofisini kwake nyaraka inayoonesha ni wapi makaburi...
1 Reactions
2 Replies
280 Views
Wakuu, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema bajeti ya Serikali ilikumbwa na changamoto mwaka jana na mwaka huu, hasa kutokana na uharibifu wa barabara chini ya Tarura na Tanroads pamoja na...
0 Reactions
3 Replies
186 Views
  • Redirect
Huyu ni rafiki wa wajasiriamali, rafiki wa Wafanyabiashara na wao wanajua ndiye mtu wa kukimbiliwa. Huyu ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pakua Samia App...
1 Reactions
Replies
Views
Kwanza sipingani na watu wanaosema CCM iondoke waingie wengine. Ninachojaribu kutafakari ni kuwa ni kuwa hivi ni kweli sasa ya kubadilisha vyama ndio njia pekee ya maendeleo? Naona zipo nchi za...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi (Sugu), amemuomba Makamu Mwenyekiti wa Balaza la Wanawake Chadema Elizabeth Mwakimomo kusimamia suala la umoja na kuunganisha wanawake wote katika...
0 Reactions
3 Replies
258 Views
Wakuu, Wakati tunaeleka kwenye Uchaguzi Mkuu ambao tutachagua Madiwani, Wabunge pamoja na Rais mengi hutokea kabla ya kuwapata viongozi hao. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna watu huzaliwa tu kuwa hivo, Hawa hata kama hawana Elimu ila Wana ushawishi mkubwa na wanakubalika kuanzia mwonekano, uongeaji, Matendo, ana vitu ambavyo kizazi cha sasa kinahitaji...
2 Reactions
2 Replies
179 Views
Moja ya Sifa kuu ya Uchumi wa nchi ni kutengeneza Ajira kwa Watu wake Je, Uchumi wa Tanzania unatengeneza Ajira za kutosha ukiondoa zile za sekta ya umma? Je, sekta binafsi ikiongozwa na Mwajiri...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Angalia maajab ya viongozi wetu. Una Rais analipa kila goli 5M wakati tuna watoto wa taifa hili wako ndani ya kitu kama hiki eti ni darasa! Tukiandika wanasema sisi wachochezi... hapana, hakuna...
13 Reactions
66 Replies
2K Views
Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi? Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
6 Reactions
240 Replies
7K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amemjulia hali Mjumbe wa Halmashauri Kuu yaTaifa (NEC), Ndugu Christopher Gachuma ambaye amelazwa katika Hospitali ya...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Back
Top Bottom