Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mzee Kinana Salaam, shalom!! Ndani ya chama Cha MAPINDUZI CCM, umewafundisha siasa vijana wengi sana, inawezekana wamefaulu machache kati ya mengi uliyowafundisha, Somo linalohusu uwajibikaji...
2 Reactions
8 Replies
729 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na swaiba wake Godbless Lema wameamua kumtukana hayati Magufuli kwenye ziara zao mikoa ya Tanga, Arusha na Kilimanjaro huku wakimwaga sumu hatari ya...
8 Reactions
101 Replies
12K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi leo alasiri anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Lindi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika Uwanja wa Mpilipili, Mjini...
0 Reactions
1 Replies
403 Views
Joto la siasa limezidi kupanda Mkoani Kilimanjaro hususani Jimbo la Moshi Mjini ambapo inasemekana baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoani hapo wameanza harakati za kuusaka Ubunge kupitia makundi...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mdau wa Jamiiforums mwanasiasa na mwandishi bora wa Vitabu Barani Afrika 2023 ambae pia anawania tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika kwa 2024, bwana Yericko Nyerere ameibuka kidedea...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Niimefurahi kujiuzulu Kinana nafasi yake ndani ya chama ili kutunza heshima yake. Kwa nini nimefurahi kwa sababu ni mtu namfahamu tangu tuko vijana shule. Ni mtu mwema na rafiki kwa kila mtu na...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Hatukutishi ila ni angalizo tu. Baada ya Samia atakuja Rais mkristo toka bara,2030-2040. Baada ya hapo 2040-2050 ni kijana wetu Ridhwani Kikwete Pengine unaweza kuona ni mbali sana la hasha, ni...
4 Reactions
9 Replies
664 Views
Miaka ya nyuma kulikuwa na wanaccm ambao walikuwa na ushawishi mkubwa ndani na nje ya ccm. Walikuwa ni jeshi la mtu mmoja. Walikuwa wakitishia kuhamia upinzani ccm wanatetemeka. Mfano Lowasa...
1 Reactions
7 Replies
299 Views
Katika hali isiyotarajiwa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam kupitia Chadema Mstahiki Isaya Mwita amebwagwa vibaya sana katika Uchagizi wa Chama hicho Wilayani Kigamboni. Meya huyo...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Mwakani wagombea Urais wanatakiwa kufanyiwa mdahalo kama huu ulioendesha leo na Star Tv. Pia soma: Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024 Kupitia...
14 Reactions
59 Replies
2K Views
CHAGUENI CHAMA CHA MAPINDUZI KWANI NDICHO CHENYE ILANI BORA INAYOTEKELEZEKA - BALOZI NCHIMBI. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza kwenye mkutano...
0 Reactions
14 Replies
482 Views
Pongezi za dhati na za kipekee ziende Kwa viongozi wetu wakuu wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Komredi AbdulRahman Kinana na Waziri mkuu wa JMT Mhe. Kassim Majaliwa Kwa kuwa...
1 Reactions
17 Replies
825 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 iko palepale. Tundu Lissu ameyasema...
25 Reactions
226 Replies
9K Views
PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
9 Reactions
43 Replies
3K Views
Ki ukweli kutokana na uhuni unaofanyika kwenye uchaguzi mkuu hasa wizi wa kura nimeapa kutokuja kupiga kura tena. Mimi nimpenda demokrasia kwamba napenda nione nchi hii inakuwa na utaratibu mzuri...
1 Reactions
7 Replies
392 Views
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao. Musiwapangie sawa na utamaduni wenu. Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais. Yaani...
1 Reactions
33 Replies
998 Views
27 July 2024 Ubaruku, Mbarali Tanzania Mbunge : Chama dola kongwe kina michezo michafu ndani ya CCM , awekwa bayana .... Modestus Dickson Kilufi fomu za ugombea ubunge ziliporwa na mgombea...
4 Reactions
4 Replies
692 Views
Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM. Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Makonda amekaidi wito wa tume ya haki za binadamu na utawala bora, kiburi ameitoa wapi, Rais anachukuliaje hizo dharau? Km vp hiyo tume ifutwe au imeundwa kwa ajili ya kina nani. Makonda hafai...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Natoa tu angalizo tunapouendea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na ule Uchaguzi mkuu wa mwakani Jiepushe kabisa kutumia Waganga wa Kienyeji, Wachawi na Rushwa kwani hao ni maajenti wa...
1 Reactions
8 Replies
294 Views
Back
Top Bottom