Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema chama hicho kimedhamiria kuleta mapinduzi katika maisha ya wananchi huku akitumia vijembe kwa Chadema kuwa katika uchaguzi wa...
0 Reactions
7 Replies
346 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema chama hicho hakina sababu ya kutumia lugha ya kebehi na matusi kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi...
0 Reactions
9 Replies
269 Views
Mkutano mkuu maalumu wa CCM ni tukio adimu na huweza kuchukua miaka mitano. Mara zote Mkutano mkuu wa CCM hutumika kuweka mustakabali wa Chama cha mapinduzi,vyama vya upinzani,Serikali na...
0 Reactions
45 Replies
965 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mkutano mkuu wa chama hicho utafanyika kati ya Januari 18 na 19, 2025 jijini Dodoma. Katika mkutano huo...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Mkutano mkuu wa CCM unaendelea Dodoma. Yapo malengo waliyojiwekea kwa ajili ya umma na ndiyo sababu mkutano ukawa mubashara. Je, wewe kama mwananchi umejifunza nini au kipi unachodhani...
2 Reactions
22 Replies
755 Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Said Kiondo Athumani kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA). Kabla ya uteuzi Said alikuwa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Tunakumbushana historia tu kwa sababu Waziri Hamza wa SMZ alisema Watanganyika ni Wavivu wa kujisomea historia Umri wa USAID Ndio Umri wa Tanganyika Sasa Tanzania Ahsanteni sana 😄
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Kumekuwa na mahitaji makubwa ya vituo vya gesi kutokana na wingi wa watumiaji kwa sasa. Nadhani ingekuwa busara sana kwa Ewura kusitisha utoaji leseni za vituo vya mafuta (petroli na diesel) na...
3 Reactions
5 Replies
320 Views
Leo nilipata wasaha wa kupitia a hansard za bunge hasa Taarifa ya athari za mazingira za ujenzi wa bwawa la umeme JNHPP. Mchango wa Mh. Nappe Nauye nimetokwa na machozi. Mradi wa JNHPP...
12 Reactions
89 Replies
7K Views
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo...
21 Reactions
221 Replies
25K Views
Wajumbe wa kamati ya fedha na uongozi na menejimenti ya manispaa ya moshi ikiongozwa na mkurugenzi wa manispaa Bi. Mwajuma Nasombe Leo wametembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na ilani ya...
0 Reactions
25 Replies
835 Views
CHADEMA imetoa mapendekezo matatu kwa serikali kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani,Donald Trump kusitisha misaada kwa sekta ya afya. Mwenyekiti wa Kamati ya Afya na Maendeleo ya Jamii ya Bunge la...
3 Reactions
8 Replies
704 Views
Mwaka 2016 Y.K Museveni alitanganzwa mshindi kwenye uchaguzi wa Raisi huku mpinzani wake Col Dkt kizza Besigye akiwa gerezani katika kipindi chote cha kuhesabu kura na utangazaji matokeo Baada...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Mzee Kikwete amewataka wanaccm wote na Wananchi wenye mapenzi mema Siku ya uchaguzi wasiache kwenda vituoni kuipigia Kura CCM Mzee Kikwete amesema kwenye Siasa hakunaga...
0 Reactions
7 Replies
430 Views
Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
4 Reactions
88 Replies
2K Views
Dr. Wilbroad Peter Slaa bado yupo mahabusu mpaka sasa kutokana na Mawakili wake wanaoongozwa na Peter Madeleka kukosa weledi na kufanya harakati kwenye mambo ya kitaalam Mzee Slaa ataendelea...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Kwa miaka 30 Chadema hawajawahi kusimamisha wagombea ubunge kwenye Majimbo yote ya Tanzania Na huu Ndio Mtihani mkubwa sana Kwa mh Tundu Lisu kwenye uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu Ahsanteni sana 😄
0 Reactions
5 Replies
215 Views
Wakuu, Wabunge wa Dar es Salaam: Elimu, Safari za Kisiasa, na Majukumu 1. Jerry Slaa - Mbunge wa Ukonga Chama: CCM Uchaguzi wa 2020: Kura 120,936 dhidi ya Asia Daudi Msangi (CHADEMA) aliyepata...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nchi yetu ya TANZANIA, watanzania, na serikali kupitia wizara ya afya, tumejipanga vipi ama tuna mipango ipi na gepu lililopo ama litarajiwalo kutokea la kukosa ama kutopokea tena misaada kutoka...
1 Reactions
4 Replies
156 Views
Mkakati wa kuhakikisha Afrika inakuwa tegemezi ni halisi kutokana na mipango mahususi iliyoandaliwa kwa muda mrefu na waliofukuzwa kama wanyonyaji au wakoloni. Kauli iliyotolewa na Rais Donald...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Back
Top Bottom