Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Dr Ruto amesema Suluhu ya Kijeshi haitasaidia DRC bali kinachotakiwa ni mazungumzo Source Citizen TV
1 Reactions
1 Replies
193 Views
Habari wananchama na wasio wanachama. Nimeamua kuleta huu uzi kama haupo unaofanana nao tuweze kujadili 1. Kodi/tozo/ushuru kandamizi ziweze kuondolewa 2. Maoni juu ya namna ya kupata vyanzo...
0 Reactions
4 Replies
127 Views
1. Majengo ya Makao Makuu - AU Addis Ababa (Msaada toka China). EAC, Arusha (Msaada toka Ujerumani). 2. Bajeti zaidi ya 60% kutoka kwa wafadhili (hususani EU, huku wanachama wakisuasua kutoa ada...
0 Reactions
3 Replies
167 Views
Kwa Hali ilivyo hivi sasa inaonekana CCM umeshindwa katika kila sehemu na CHADEMA na kasi ya CHADEMA kukubarika kwa wananchi matokeo Yake inatumia nguvu za dola na Majungu kwa kuzuia mikutano. na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kitendo cha kuendelea kushikiria Katibu wao (TEC)wa zamani dk slaa kinyume na sheria kwa kesi ambayo ina dhamana ni kitendo cha ni kinyanyasaji kwanini wapo kimya..
0 Reactions
17 Replies
571 Views
Yalianza kama masikhara ila sasa tuvumilie kuvuna matunda yake. Kuanguka kwa Tanzania ni suala lililochukua muda kidogo. Tuliopata nafasi ya kuonya, tulionya ili kulikomboa Taifa ila hakuna...
61 Reactions
134 Replies
4K Views
Juzi jioni akiwa Tabora katika matukio muhimu kitaifa,rais alitoa tamko la kihistoria la kuwapa uraia wakimbizi 162000. RAIS KIKWETE AWAPA URAIA WAKIMBIZI WA BURUNDI 162,156 MJINI TABORA LEO...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Tumekua tukishuhudia kila linapotokea jambo au janga uhudwaji wa tume ili kuchungunza tukio au janga,wakati mwingine hizi tume zinaundwa kuchunguza kitu ambacho kinaonekakana bayana na tume nyingi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, 1. Boniface Mwita Getere - Mbunge wa Bunda Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kupata kura 50,780, akimshinda Kissama Samwel Ndaro...
1 Reactions
10 Replies
836 Views
Na Nchi itakua na Maendeleo makubwa sana Kwa nyanja zote . Hawa watu unapofatilia Maisha yao , Utendaji wao wa kazi Kwa nafasi zao, Maono yaliyo Ndani ya hotuba zao, Kanuni, Imani ,falsafa na...
3 Reactions
22 Replies
461 Views
Watu wasiofahamika wamechoma moto gari la Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Lindi bwana Frenk Mzani Menuka na kusababisha uharibifu mkubwa kwa gari hilo aina ya Toyota Cresta GX 100 lenye namba...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Mishahara ya wabunge,mawaziri na majaji imepandisha huku wa spika wa bunge ukipanda mara dufu. Kwa kifupi tu; Spika na Jaji mkuu Tshs 2,760,000/= mpaka 4,850,000/= Naibu spika Tshs 2,080,000/=...
0 Reactions
70 Replies
22K Views
Kikao cha usuluhishi wa mgogoro wa Kongo kimefanyika leo jijini Dar es salaam. Si nia ya uzi huu kujadili maamuzi ya kikao hicho, bali kuangalia faida zitokanazo na kikao hicho. Kama nchi lazima...
7 Reactions
10 Replies
458 Views
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza...
47 Reactions
399 Replies
44K Views
Makonda ageuka kuwa mhudumu kwenye treni ya mwendo kasi
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Kwa hikaka nimeamini Magufuli atabaki historia ya hii nchi kwa miaka mingi sana ijayo. Katika Mahojiano ya Lissu na Dotto Bulendu, Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu ameonesha kutoelewa namna gani...
13 Reactions
89 Replies
10K Views
Mbunge wa viti maalumu mh Polepole amesema swala la Winchi ni kitu kidogo sana hivyo Mwekezaji asimamiwe ipasavyo ili mradi uishe kwa wakati. Mradi wa Bwawa la Nyerere ni wa kufa na kupona...
10 Reactions
45 Replies
3K Views
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA NISHATI, MHESHIMIWA JOHN JOHN MNYIKA (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MAPITIO YA BAJETI...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama...
10 Reactions
166 Replies
13K Views
Mtangazaji maarufu nchini, Maulid Baraka Kitenge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama ikimpendeza kuwaondoa haraka kwenye Baraza la Mawaziri mawaziri waliotajwa kwenda nje ya nchi kusaka fedha...
12 Reactions
91 Replies
8K Views
Back
Top Bottom