Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbagala, Abdul Kambaya amekabidhiwa fomu ya uteuzi wa Ubunge Jimbo la Mbagala
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningewashangaa kweli kweli wale ambao walipewa Dhamana ya Kumchagua na Kumpitisha Mrithi wa Rais wa Zanzibar Dkt. Shein kama wangefanya Kosa kubwa na la Kiufundi kabisa la Kutomchagua Mtu ambaye...
4 Reactions
66 Replies
7K Views
Published on Aug 17, 2020 Kuelekea Uchaguzi mkuu 2020 Chama cha Mapinduzi kimezindua kituo maalum cha mawasiliano lengo kuu likiwa ni kuhakikisha wanakuwa na mawasiliano ya karibu na wanachama na...
6 Reactions
60 Replies
8K Views
Kamanda Lissu; nakushauri,pamoja na mambo mengine, usisahau kuongelea mambo hayo matatu yanayogusa na kuumiza wananchi wengi wa nchi kama ulivyozungumzia suala la TRA na wafanyabiashara pamoja na...
11 Reactions
25 Replies
2K Views
Hapo vipi! Ni kwa muda mrefu Arusha imezorota kimaendeleo,mpaka vimikoa vidogo vinakua kasi ukilinganisha na Arusha yenye fursa nyingi za kiuchumi. WanaArusha nyie ni mashaidi juu ya kupwaya na...
7 Reactions
122 Replies
8K Views
Hii MIKUTANO ambayo anaifanya Tundu kwa hakika inaenda kumgharimu sana kwa namna NEC itavyoitafsiri itakuwa tofauti na wengi tunavyodhani. Kusanyiko lolote la umati wakati wa kutafuta wadhamini...
3 Reactions
66 Replies
5K Views
Jaji mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema ni marufuku kwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jaji wa Mahakama Kuu, Msajili wa Mahakama na Mahakimu kujiunga na Chama cha Siasa. Profesa Ibrahim Juma amesema...
8 Reactions
42 Replies
5K Views
CHADEMA wamekuwa wakijitahidi Sana kufanya matukio ya kuvunja Sheria ili vyombo vya dola vichukue hatua na wawekwe ndani I'll wapigiwe kura za kuhurumiwa na wananchi. Huu Ni utamaduni mpya ambao...
2 Reactions
13 Replies
956 Views
Bila kupoteza muda 1. Lowassa alikuwa delusional, nikimaanisha alikuwa anaamini atachukua nchi asubuhi na mapema hii ni kwa sababu alikuwa na "marafiki" kila sehemu. Lissu yeye kwa maneno yake...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Miaka yote Chadema imekuwa ikijijenga kwenye miji michache mno Tanzania Ilichagua vimiji vichache tu kwa mikoa michache tu ya Tanzania na kujijenga na kuacha miji mingine ya mikoa. Ukienda...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nakitazama hali ilivyo ngumu mtaani, uchumi umekua mgumu kuna mama wanashinda barabarani na nyanya zao na mchicha kutwa nzima hawauzi wanarudisha nyumbani jioni, frame kibao za biashara zimefungwa...
26 Reactions
91 Replies
7K Views
Vijana walisema kitimutimu kimeingia leo, kwenye myumba ya Shetani Mwendawazimu kaingiaje? Kweli msemo huo wa vijana ulikuwa na maana pana ya kifalsafa ndani yake. Jana Tundu Lissu katia timu...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu wajumbe mko Poa mkivuta upepo mwanana. Ni miaka mitano tangu Serikali dhalimu ya awamu ya tano iingie madarakani. Pamoja na mambo mazuri ambayo yamefanyika katika awamu hii...
5 Reactions
4 Replies
886 Views
Ndugu zangu, Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo. Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015...
22 Reactions
243 Replies
14K Views
Wanabodi, Najua wengi wenu mtakuwa mmesahau ule mchezo wa Kenya unaitwa "Kivuitu system". Pamoja na kwamba mfumo wetu uchaguzi kikatiba na kitume haupo huru bado ni jukumu la wapenda haki na...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:- Characteristics of Charismatic Leader 1. Confident.. Charismatic leaders ooze confidence...
14 Reactions
47 Replies
3K Views
MGOMBEA URAIS CHADEMA AISHIWA FEDHA ZA KAMPENI Na Humphrey Shao Ikiwa ni katika hatua ya awali ya mchakato wa Uchaguzi mkuu kwa wagombea Urais wakiwa katika hatua ya kukusanya wadhamini nchi...
16 Reactions
98 Replies
10K Views
Wape salaaam. Baba yupo Iringa anaipigania haki ya kweli. Upendo wa kweli kutoka moyoni, hawakuchoka kumsubiri
37 Reactions
137 Replies
12K Views
Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura...
28 Reactions
167 Replies
14K Views
Kwanza kabisa waandaaji hawakuwa na uhakika wa kile walichokua wanataka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road...
54 Reactions
105 Replies
10K Views
Back
Top Bottom