Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hiyo ni Mikumi, Morogoro siku ya jana akiwa njiani kuelekea Iringa.
47 Reactions
138 Replies
13K Views
Salaam Wakuu, Kama ilivyotabiriwa na wengi imekuwa. Zaidi soma; Uchaguzi 2020 - CHADEMA wavurugana Jimbo la Kilombero. Pamoja na kushika namba 2 kura za maoni, Bilionea Shillah achukua fomu ya...
1 Reactions
48 Replies
8K Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora Mjini Mhe. Mirambo Camill amekabidhiwa fomu ya uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Tabora Mjini mapema leo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mteuliwa wa CHADEMA Ndugu Tundu Lissu asifurahie sana anapoona wingi wa watu wakijitokeza kumuona kwani endapo atapitishwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mgombea kamili wa kiti cha Urais akipita tena...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Naona wanachama wa CCM wenye roho ngumu wameamua kufunguka waziwazi kama kinachotokea hapa Dodoma kuanzia leo na kuendelea hasa wale wanaokatwa bila sababu za msingi. Hali hiyo inaweza kuwafanya...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu kwema! Siku ya uzinduzi wa kampeni, siku ambayo Mh. Tundu Antipas Lissu atatema madini adimu bila kumung'unya maneno. Mimi binafsi nitahudhuria, umati utakaoshuhudiwa siku hiyo utakuwa...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanachama wa CCM wakiwemo Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji wa Kata ya Bwambo Wilayani Same, Kilimanjaro wameandamana kumpinga mgombea aliyeshika namba 2 kwenye kura za maoni na kupitishwa na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Iringa mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020. UPDATES...
58 Reactions
147 Replies
15K Views
HABARI Mgombea Ubunge Jimbo la Ilala kupitia CUF, mhe. Rashid Mwinyishehe Ilala amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ilala
8 Reactions
19 Replies
3K Views
1. Anaijua sheria ataongoza taifa kwa misingi ya haki 2. Hana tamaa ya mali, hatokimbilia kujenga mahekalu kwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa kijijini kwao Mahambe, hawezi, hawezi hubadili...
32 Reactions
74 Replies
5K Views
Nimekumbuka Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015 wazee wetu walivyotutahadharisha kukisaidia chama tawala, sipendezwi binafsi kuwatumia wazee wetu kwenye kampeni kwa ajili ya kuokoa jahazi mkifanikiwa...
2 Reactions
4 Replies
972 Views
Makamo mwenyekiti wa jumuiya wa wanawake CUF taifa mhe. Kiza mayeye ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la kigoma kaskazini, mapema leo amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kupiga kura ni haki yangu ki-katiba na kisheria, ni wajibu wangu pia kama raia, lakini zaidi ya yote ni fursa yangu kutumia haki yangu kuonesha hisia zangu (si hasira) kwa watu...
2 Reactions
5 Replies
809 Views
Membe, Wewe umri wako bado unakuruhusu 100% kugombea Urais hata miaka 10 ijayo. Ningekuomba kwa sababu moja kubwa na muhimu sana tena itakayokujengea heshima kubwa sana, kwakua chama chako cha...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu zangu wanajukwaa pendwa. Ndugu yenu nimeona ni vema tukapeana techniques za kumuombea kura za ndiyo Mh. Lissu kwa kuwa ndyo kiongozi pekee tunayemtegemea atutoe kwenye...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
HABARI Mgombea Ubunge Jimbo la mtwara mjini kupitia CUF, mhe. Maftaha nachuma amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Mtwara Mjini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefurahishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wake bila upendeleo. Leo kwenye hadhara ya kutafuta wadhamini, mgombea urais kwa tiketi ya chadema, Bw. Tundu Antipas Lissu akiwa...
36 Reactions
128 Replies
12K Views
Breaking News: Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Katavi kimesema majina ya uteuzi wa udiwani yametolewa na kwamba aliye shinda kura za maoni ndiye aliyeteuliwa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020, ninawashauri wapinzani kutumia Kauli-Mbiu moja hata kama kila chama kinashindana kivya-vyake. Ni kwa njia hii upinzania utaweza kuichinjia CCM baharini ki-mkakati...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom