Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amewataka wagombea waliofeli kwenye kura za maoni wawapigie kampeni walioshinda pindi kampeni zitakapofunguliwa. Polepole amesema CCM ni chama kikubwa tena...
9 Reactions
101 Replies
8K Views
Na: Beatrice Condrad Kauli mbiu ya Chama Cha Mapinduzi 2020 ni: TUMETEKELEZA KWA KISHINDO, TUNASONGA MBELE PAMOJA. Kwanza kabisa napenda kutoa UTANGULIZI wa Ilani yetu ya Uchaguzi 2020 kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele, amesema iwapo wananchi watakipa ridhaa chama chake kushika madaraka, serikali yake itatunga sheria ambayo makahaba, wasagaji na...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Jimbo la Handeni Vijijini mkoani Tanga Hakimu amekataa kuwaapisha Wagombea Udiwani kupitia Chadema kwa madai ya kwamba Hakimu anaye husika kuwaapisha Wagombea hao hayupo. Huku Handeni Mjini...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Akiwa mjini Tunduma, Tundu Lissu katika harakati zake za kutafuta wadhamini, ameongea na maelfu ya wananchi. Amezungumza kuhusu hali ya uminywaji wa Vyombo vya Habari nchini, watumishi wa umma...
66 Reactions
186 Replies
18K Views
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
17 Reactions
130 Replies
12K Views
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na Cecil Mwambe - Ndanda Mwita Waitara - Tarime Vijijini Dkt. Godwin...
5 Reactions
108 Replies
16K Views
Kwa upande wangu siddhani kama kuna mtu ana fahamu vyema mengi ambayo Nyalandu aliyowahi kupitia akiwa mbunge chini ya CCM moja ya tukio baya ni lile la yeye kukoswa koswa ndani huko nyumbani...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu ndugu anaweza kuchukua nchi moja kwa moja kupitia sanduku la kura tukiwa na uchaguzi ulio huru na wa haki, lakini pia anaweza kusababisha mambo yatayosababisha mageuzi yatokee katika nchi...
31 Reactions
99 Replies
7K Views
Tokea katika mkutano ulioshirikisha wadau wengine wa uchaguzi Dar, kamanda Sirro amenukuliwa akisema vyama kulinda kura ni kosa la jinai. Kwa mujibu wa kamanda huyu kazi ya kulinda kura ni kazi...
10 Reactions
109 Replies
7K Views
Kati ya makosa yaliyofanywa na Serikali yangu ya CCM ni kushindwa kutoa ajira kwa vijana na kuacha wazagae mitaani bila kazi. Ni kosa kubwa sana kwa sababu vijana hawa ni bomu tulojitegea wenyewe...
17 Reactions
29 Replies
3K Views
HABARI: Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo kupitia CUF, wakili mashaka Ngole amekabidhiwa fomu ya uteuzi na msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Ubungo.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati wa mchakato wa kuwapata wagombea na hasa wa Ubunge, viongozi wa ngazi za juu kabisa za chama walijinadi kwamba wana CCM wote waliokua katika nafasi za kuteuliwa na Mkuu majina yao...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Kabla ya uchaguzi Mkuu ujao, Chadema wamekuwa wakiishi na kufanya kazi na Tundu Lissu kama Mwanasheria Mkuu wa Chadema, na Mjube wa Kamati Kuu. Kumekuwa na tofauti ndogo ndogo ambazo ni kawaida...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mchakato wa Ugombea CCM ulianzia ngazi za kata na Majimbo na kuishia NEC tofauti na ilivyozoeleka. Kwa mujibu wao sababu kubwa za kupeleka NEC majina yote ya Wagombea ni pamoja na. >Rushwa (asiwe...
1 Reactions
2 Replies
716 Views
Huwezi amini, mwaka huu Uchaguzi ni rahisi Sana kwa wapinzani wote waliochukua fomu kugombea nafasi mbalimbali, sema Kuna maeneo hayajapa wawakilishi hasa vyama chipkizi, nakushauri ndugu yangu...
1 Reactions
0 Replies
703 Views
Mkurugenzi anayehusika na Uchaguzi jimbo la Kibamba amekataa kutoa fomu kwa mgombea wa CHADEMA kwa kile alichodai kuwa kuna mtu aliyedai kuwa Mgombea wa CHADEMA ameichukua fomu husika hivyo hawezi...
5 Reactions
258 Replies
17K Views
Kishindo cha Lissu Tarime
25 Reactions
86 Replies
10K Views
Nimemsikilia kwa makini Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo akielezea tatizo la mgombea wa CHADEMA aliyechukua fomu na ambae viongozi wa CHADEMA wamesema hawamtambui. Mkurugenzi ni wazi kasimama...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom