Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi. Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
  • Closed
Maumivu ya uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya CCM bado unaendelea. Japo wengi hawasemi wazi lakini chini kwa chini kuna mgogoro mkubwa. Katika Jimbo la Tarime mjini, aliyeongoza kura za maoni ni...
9 Reactions
46 Replies
6K Views
Mgombea Lissu kazi yake kubwa hadi sasa navyomuona ni kumkosoa Magufuli na serikali yake ya CCM, sijaona hadi sasa ana malengo gani na hii nchi, kama CDM hamna sera za maana ni bora mkakaa kimya...
-1 Reactions
10 Replies
740 Views
CCM ina mgombea dhaifu mno, nguvu yake huwa ni kukanyaga wengine wasiongee aongee yeye tu.. 2015 alikutana na mgombea bubu Mwaka huu anakutana na mgombea bora kabisa, msomi kamilifu wa Sheria na...
17 Reactions
49 Replies
4K Views
Ndugu zangu, Kwa kifupi, Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile () Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama...
4 Reactions
57 Replies
4K Views
Nawapa hongera sana. Mapokezi ya Tundu Lissu kuanzia Iringa, Mafinga, Makambako, Njombe, Baba lao Mbeya, Mlowo na Tunduma, mmenikosha sana. Mbeya na Tunduma pamoja na Mlowo sina wasiwasi na...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
TUNDU LISU SIYO MZEE LOWASA, ASIPUUZWE. Na, Robert Heriel. Moja ya sifa ya Mpumbavu ni kuishi kwa Dharau na mazoea. Tabia ya mazoea imeangusha watu wengi mashuhuri. Maisha hayana mazoea, maisha...
54 Reactions
107 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa habari, uenezi na mahusiano na umma eng. Mohamed Ngulangwa amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Bagamoyo na kukabidhiwa fomu ya uteuzi wa Ubunge Jimbo la Bagamoyo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kumekucha kanda ya kaskazini. Mbunge na mgombea wa ubunge Arumeru Mashariki achukua fomu kwa kishindo.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea Ubunge halali kwa tiketi...
77 Reactions
139 Replies
17K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,baadhi ya viongozi na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Mji Mwema mjini Njombe,wamesema wako tayari kwenda kushusha bendera za Chama chao na kuto shiriki...
14 Reactions
29 Replies
4K Views
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amefurahishwa sana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa CCM na kuwapa pole wote waliokatwa kwa sababu walikuwa karibu naye. Membe amewakaribisha...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Amkeniii Amkeenii bhana. Ni hiyoooo keshooo sasa, sooooma kwenye Ramanii. #TangaMjini2020 #OdoUmmyAtosha #OdoWaUkweli
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Watu wengi hasa Wafuasi wa CHADEMA tangu Rais Magufuli amsifie Mhe Mbatia hadharani walianza kudhani ni msaliti wa Magruzi, na kuita chama cha NCCR Mageuzi kuwa ni CCM B. Wakimaanisha NCCR...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Hivi karibuni Msemaji mkuu wa serikali, Dkt H.A amekuja na kampeni yenye Hashtag ' #Miaka5YaKazi" inayoonesha miradi mbalimbali iliyofanywa awamu hii. Cha kushangaza hii campain kama vile...
6 Reactions
76 Replies
5K Views
Mpaka sasa haieleweki nani mgombea Ubunge halisi kupitia CHADEMA jimbo la Kilombero. Wakati kamati kuu ikimteua Modestus aliyeongoza kura za maoni kuwa mgombea uongozi wa kanda na wilaya...
3 Reactions
49 Replies
10K Views
TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, amekamilisha hatua za mwisho za ujazaji fomu za uteuzi...
36 Reactions
80 Replies
9K Views
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo. Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao...
11 Reactions
80 Replies
6K Views
Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo imemteua Saed Kubenea kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020, Kubenea alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020) kupitia...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Back
Top Bottom