Yaaani katika chaguzi zoooote zilizowahi kufanyika tangia mfumo wa vyama vingi uanze huu ndo utakua mwepesi sana kwa Chama cha Mapinduzi.
Kwa kazi alizofanya Mheshimiwa Rais zinatosha kabisa...
Maumivu ya uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya CCM bado unaendelea. Japo wengi hawasemi wazi lakini chini kwa chini kuna mgogoro mkubwa.
Katika Jimbo la Tarime mjini, aliyeongoza kura za maoni ni...
Mgombea Lissu kazi yake kubwa hadi sasa navyomuona ni kumkosoa Magufuli na serikali yake ya CCM, sijaona hadi sasa ana malengo gani na hii nchi, kama CDM hamna sera za maana ni bora mkakaa kimya...
CCM ina mgombea dhaifu mno, nguvu yake huwa ni kukanyaga wengine wasiongee aongee yeye tu..
2015 alikutana na mgombea bubu
Mwaka huu anakutana na mgombea bora kabisa, msomi kamilifu wa Sheria na...
Ndugu zangu,
Kwa kifupi,
Nilikuwa namsikiliza Mh. huyu katika maongozi yake, ila inaonekana kama amekaa kaa kishari kishari vile
()
Kama akishindwa itakuaje sasa? Maana sioni vyama vingine kama...
Nawapa hongera sana.
Mapokezi ya Tundu Lissu kuanzia Iringa, Mafinga, Makambako, Njombe, Baba lao Mbeya, Mlowo na Tunduma, mmenikosha sana. Mbeya na Tunduma pamoja na Mlowo sina wasiwasi na...
TUNDU LISU SIYO MZEE LOWASA, ASIPUUZWE.
Na, Robert Heriel.
Moja ya sifa ya Mpumbavu ni kuishi kwa Dharau na mazoea. Tabia ya mazoea imeangusha watu wengi mashuhuri. Maisha hayana mazoea, maisha...
Mkurugenzi wa habari, uenezi na mahusiano na umma eng. Mohamed Ngulangwa amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Bagamoyo na kukabidhiwa fomu ya uteuzi wa Ubunge Jimbo la Bagamoyo
Mambo yalikuwa moto, kila alichopapasa yule mama mwenye roho mbaya mkurugenzi wa uchaguzi Jimbo la Kibamba kilikuwa moto hatimaye akatoa fomu kwa Bw. Ernest Mgawe, mgombea Ubunge halali kwa tiketi...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida,baadhi ya viongozi na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Mji Mwema mjini Njombe,wamesema wako tayari kwenda kushusha bendera za Chama chao na kuto shiriki...
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amefurahishwa sana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa CCM na kuwapa pole wote waliokatwa kwa sababu walikuwa karibu naye.
Membe amewakaribisha...
Watu wengi hasa Wafuasi wa CHADEMA tangu Rais Magufuli amsifie Mhe Mbatia hadharani walianza kudhani ni msaliti wa Magruzi, na kuita chama cha NCCR Mageuzi kuwa ni CCM B.
Wakimaanisha NCCR...
Hivi karibuni Msemaji mkuu wa serikali, Dkt H.A amekuja na kampeni yenye Hashtag ' #Miaka5YaKazi" inayoonesha miradi mbalimbali iliyofanywa awamu hii.
Cha kushangaza hii campain kama vile...
Mpaka sasa haieleweki nani mgombea Ubunge halisi kupitia CHADEMA jimbo la Kilombero. Wakati kamati kuu ikimteua Modestus aliyeongoza kura za maoni kuwa mgombea uongozi wa kanda na wilaya...
TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, amekamilisha hatua za mwisho za ujazaji fomu za uteuzi...
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo imemteua Saed Kubenea kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020, Kubenea alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020) kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.