Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ubunifu, weledi, msimamo, uzalendo, uadilifu na kasi kubwa anayokuwa nayo katika kufanya maendeleo, ndivyo vinavyomtofautisha Rais .Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Marais wengine barani Afrika...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa serikali ya Tanzania kulipa gharama zote za Uchaguzi Mkuu tokea tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992. Ieleweke kuwa Mwaka 2015, Tume ya Taifa ya...
10 Reactions
89 Replies
7K Views
Bashiru kama Katibu Mkuu wa CCM inapaswa hutumie vyombo vyako vyote vya usalama wa chama ili upewe taarifa sahihi ya mkoa wa Ruvuma. Ishu ni kuwa kuna kata zaidi ya nne kamati ya Mkoa ilikwisha...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
PROF. LIPUMBA AKAMILISHA ZOEZI LA KUTAFUTA WADHAMINI KATIKA MIKOA 10. Mgombea Urais wa Tanzania, kupitia CUF-chama cha wananchi amekamilisha zoezi la kutafuta wadhamini katika mikoa kumi. Zoezi...
1 Reactions
5 Replies
37K Views
Ukisoma sheria za uchaguzi mkuu ya mwaka 2015 na mabadiliko yake yote na sheria ya matumizi kwenye uchaguzi kuna mambo yafuatayo: 1. NEC imepewa mamlaka ya kisheria kutangaza Tarehe ya Uchaguzi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Binafsi nakosa imani kabisa,ukijimlisha na kauli zinazotoka vinywani mwa taasisi muhimu kama vile jeshi letu la polisi( IGP Siro) nk. Naomba kushare na nyinyi ka crip kadogo kisha mseme...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Sisi hatujui sheria lakini pale kijiweni kwetu kulitokea ubishi baina yetu tukibishana kuwa maandamano na mikutano inayofanywa na mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Lissu wakati anapita...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itatumia Sh bilioni 331.7 kwa ajili ya kuandaa na kuendesha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu huku kitendo cha serikali kugharimia kwa asilimia 100...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi. Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza. Majina...
22 Reactions
276 Replies
22K Views
Ikiwa imebaki miezi michache kufikia mwezi Oktoba, mwezi ambao uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 utafanyika nchini, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Inspekta Jenerali, Simon Sirro, leo Agosti...
5 Reactions
105 Replies
10K Views
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
MMOJA ya watia wa jimbo la Arumeru Magharibi, Ezekiel Elphas Mollel amejitosa kumuunga mkono mgombea mteule wa CCM, Noar Lembriss Mollel akidai ni operesheni kabambe ya kulikomboa jimbo hilo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo. Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya...
2 Reactions
164 Replies
13K Views
Kumekucha Newala Mjini. Mbunge wa miaka mingi Newala Mzee John Mkuchika Yuko hatarini kupoteza ubunge wake baada ya Chadema kumpeleka mgombea machachari anayedaiwa kufahamika na kupendwa na...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Naibu katibu mkuu CUF,mhe.Magdalena sakaya mapema hii Leo amekabidhiwa fomu ya uteuzi na msimamizi wa uchaguzi Jimbo la kaliua mkoani tabora.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapo watu walitarajia kuwa Wagombea wa mwaka huu watakuwa wa aina yake lakini cha kushangaza wamechomoza wale wale akina Msukuma, Lusinde, N.k. CCM huwa hawaangalii mgombea bora bali wanachotaka...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana. Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Ametumia usafiri huo wa umma ili kwenda sawa na wapiga kura. Huyu hapa
10 Reactions
54 Replies
7K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inafuatilia zoezi la kuchukua fomu za uteuzi na kubaini kuwa kuna changamoto ambazo zimejitokeza kutokana na vyama vya siasa kutokujipanga na kuweka...
8 Reactions
53 Replies
8K Views
Ndugu zangu, ''Ukweli mchungu'', hata ukimsikiliza Tundu Lissu yeye anazungumzia ''mikataba'' ''sheria'' huku waziwazi akipuuza uboreshwaji wa elimu, afya, huduma za jamii na miundombinu ya...
16 Reactions
164 Replies
9K Views
Back
Top Bottom