Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kati ya chaguzi ngumu za Ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya...
16 Reactions
118 Replies
20K Views
Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kwa sasa bado hana uhakika kama atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020. Makamba ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa Twitter...
17 Reactions
154 Replies
22K Views
Vijana tupo na ari kubwa Sana kupita uhalisia unao uona wazi wazi. Wapo wengine wanaogopa kuonesha utayari wao kwa kuogopa kufanyiwa vitendo vya kinyama kutokana na ukatili uliofanywa na Bwana...
40 Reactions
88 Replies
7K Views
Kwenu Viongozi na wanabodi; Bila kupoteza Muda naomba niende kwenye mada moja kwa moja; Leo nimekuwa nikijipa Muda wa kuchungulia kinachoendelea huku mitandaoni hasa JF na Twitter lakini Cha...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
22 August 2020 Tunduma, Songwe Tanzania CHADEMA imeomba vyombo husika vifuatilie tetesi za kuwepo mipango ya kuvuruga mchakato wa kuelekea katika hatua za kurudisha fomu za wagombea. Hivyo...
16 Reactions
38 Replies
5K Views
Mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo kupitia ACT-Wazalendo, akutana na upinzani mzito kutoka kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa jimbo hilo, kwa kile kilichoonekana barua yake ya utambulisho kutofautiana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa ACT Wazalendo Bernard Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi Jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020...
8 Reactions
70 Replies
7K Views
Miaka ile damu ikinichemka, nikiruka fance ya nyumbani na kwenda zangu kuruka majoka Kama tulivyokua tukiita enzi hizo, Disco likiwa linatawaliwa na nyimbo za kina BlackBox, Casanova, Patishange...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Onesha uzalendo wako halisi, sema neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu
2 Reactions
63 Replies
3K Views
Makadirio ya Idadi ya watu Tanzania 2020 ni Milioni 59.7. Idadi hii imegawanyika kama ifuatavyo: 1. Walioko chini ya miaka 15 ni zaidi ya 44.8% 2. Katikati ya miaka 15 hadi 64 ni 52% 3. Walozidi...
31 Reactions
137 Replies
9K Views
Kwa mtu anaekusudia kukiondoa madarakani chama kinachotawala huna budi kufanya homework yako vizuri ili uyaongelee mambo ya wananchi ambayo serikali iliyopo madarakani aidha iliyatelekeza au...
16 Reactions
72 Replies
5K Views
Nikwambie tu yale mapokezi uliyopata siku unafika nyumbani toka ughaibuni ni kwamba wengi walikuja kwa ajili ya kukuona na kushangaaa jinsi ulivyookoka kifo. Ulichaguliwa na chama chako...
52 Reactions
267 Replies
24K Views
Wanabodi, Leo natoa somo linaliutwa Logical Progression kwenye kufanya analysis kwa Kuangalia kitu kwa Jicho la Tatu, ni kuliangalia jambo kwa critical angle kwa kutumia predictions based on...
27 Reactions
91 Replies
10K Views
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa...
13 Reactions
549 Replies
53K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye Peter Lijualikali apata mpinzani Kilombero naye si mwingine ni Nabii Bilionea Daniel Shilla. Nabii Shilla ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la...
18 Reactions
267 Replies
30K Views
Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake...
5 Reactions
96 Replies
8K Views
18 Aug 2020 Dodoma, Tanzania WanaCCM waandamana kupinga maamuzi Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani...
37 Reactions
277 Replies
27K Views
Licha ya kuwa na mikataba na manispaa na kufuata masharti ya mkataba ikiwemo kutojenga ofisi za kudumu na kujenga vibanda vya muda yaani temporary, wafanyabiashara kwenye uwanja wa barafu au...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
NIMESIKILIZA tamko la jukwaa la wahariri Tanzania kupitia ndugu Balile wakidai kuwa hawataripoti matusi ya wagombea, sisi wanachi tungependa kuwajulisha nyinyi wahariri ya kuwa msituchagulie nini...
33 Reactions
82 Replies
7K Views
Nabii shilla au maarufu Billionaire Shilla amehamia chama cha ACT-Wazalendo na kuchukua form ya kugombea huko Kilombero. Huyu mtu alifanya jambo la ajabu na la kijinga ambalo kama chadema...
29 Reactions
106 Replies
14K Views
Back
Top Bottom