Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Pamoja na mbinu zote za CCM na Tume ya uchaguzi ya Taifa za kuiba kura, kama wakala wa chama wa upigaji kura ni makini, mhadilifu, mwaminifu, hana tamaa, anaona mbali basi ushindi kwa wapinzani ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dr. Slaa awaahidi wastaafu wa iliyokuwa jumuiya ya Afrika Mashariki kulipwa ndani ya siku mia moja ya utawala wake mpya........... Hii dhuluma dhidi ya wastaafu hao ambao wameitumikia nchi hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tulikuwa kwenye ndege ya Precission nikiwa na rafiki yangu. Tukawa tumekaa jirani na waziri mmoja mwadilifu wa serikali ya JK. Tukaamua kuanzisha mazungumzo ya ufisadi na kumweleza waziri kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naamini wazi katika majimbo ambayo upinzani unaota ndoto za mchana kuyanyakua ni pamoja na geita ambapo kuna roggers hapa geita mjini na tanganyika kule nyang'wale tukimuacha na yule wa busanda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Maggid Mjengwa, MBIO za Urais zimeshika kasi. Media imekazana kuandika habari za JK na Slaa. Habari za CCM na CHADEMA. Kuna aliye kwenye mbio wanamsahau, kwa bahati mbaya au kwa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
nipo huku vijijin kutoa elimu ya uraia kwa wapiga kura,nimekutana na watu wa aina mbalimbali na khojiana nao juu ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu,moja ya maswali niliyowauliza ni kwamba:MNASADIKI...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Watajwa hapo wapo katika mdahalo VOA swahili sasa.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
piga kura kuiondoa ccm na tuangamize malaria sugu, the more we vote the harder it is for c.c.m to chakachua the votes more voters less ccm
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nini maoni yako ,ikiwa Chadema itashindwa uchaguzi mkuu katika ngazi ya Uraisi ila imepata viti vingi vya ubunge ,uchaguzi ambao unaotarajiwa kufanyika mwisho wa mwezi huu ? :rip:
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Moja ya mambo yaliyokuwa yakiwaumiza vichwa wafuasi wa Barack Obama wakati wa kinyang'anyiro kati yake na Hillary Clinton kupata mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats mwaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Dr Willibrod Peter Slaa yupo leo Bukoba. Amekuwa na mkutano maeneo ya Kibengwe Bukoba vijijini na anategemea kuwa Kanyigo baadaye. Sasa hivi anategemewa muda...
0 Reactions
142 Replies
18K Views
Hii ndiyo selo ambayo mafisadi wakibadili matokeo halali ya uchaguzi wa Tanzania hapo 31 Oktoba 2010 watakapokuwa wakisubiri mashitaka ya kusababisha maafa. Mafisadi ni pamoja na wale wote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dalili kubwa zinaonyesha ushindi mkubwa wa zaidi ya ule wa kura za maoni za mwanahalisi, kwani kila siku watu wenye roho za kutafuta maslahi zaidi wamekuwa wakijisogeza taratibu kwenye chama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guinea poll chief guilty of fraud Head of electoral commission sentenced to one year in prison for electoral fraud, ten days ahead of presidential vote. In June, more than three million...
0 Reactions
3 Replies
826 Views
Wakati Bw. Edward Lowasa akiwa Waziri Mkuu aliwahi kuulizwa swali na mwanafunzi wa shule ya msingi huko Mwanza vijijini na hakulijibu bali aliomba muda zaidi wa kulifanyia kazi. Bw. Lowasa baada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ole wenu wazee wa CCM. Ole wenu Mmemchunia Jamaa ana-fight peke yake na Mkewe na Wanawe, Ole wenu akishinda Kiti cha Enzi. Ole wenu na yeye atakavyowachunia kwa staili ya "Si Mlinichunia? Sasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF Bw. Machano Khamis Ali, amesema kuwa ameshangazwa na kauli ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya ya Mrisho Kikwete ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom