Jaji Lewis Makame. Mwenyekiti wa NEC amekanusha tuhuma cha Profesa Baregu kwamba NEC imeongoza idadi ya wapiga kura na kufikia milioni 19 ili kuisaidia CCM kupata ushindi! Si kwamba anakanusha...
Wadau gazeti la mwananchi la leo lina habari ya Baba Askofu Dr. Malasusa kutoa Elimu Ya Uraia. Inatia Moyo Hata Kama NEC watachakachua
Bofya hapa
Malasusa: Chagueni mtu makini si chama
Mzee...
Mke wa mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete mama Salma Kikwete akiwapungia mikono wanawake na wananchi wa mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano wake wa...
Nimekuwa nikifuatilia ITV news daily nimegundua toka liibuke suala la mengi na ubambikaji wa madawa kwa motto wake coverage ya CHADEMA katika TV( leo news za mkutanomkule Kagera kuwa za kwnza na...
Jamani leo ni siku ya tatu sasa nimekuwa najaribu kutafuta website ya Chadema na habari kutoka mtandaoni zinazomhusu Mkombozi Slaa lakini link zote zinaonekana zina mshikeli, je zimefisadiwa? Au...
kwa kweli fahari yangu kuu ndani ya moyo wangu ni Tanzania na kamwe si kuiona Zanzibar iliogawika kati ya Zanzibar na Tanganyika
najisikia fahari nisemapo nchi yangu Tanzania ambayo ina visiwa...
Nawasilisha tu:
-------------------------
Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi
KILE kinachoitwa umaarufu wa Jakaya Kikwete, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Kwa mtu anayefuatilia kwa karibu kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu ni wazi kwamba chama Twawala CCM(Chama cha Mafisadi au Majambazi) mwaka huu kimechezeshwa mchakamchaka kiasi kwamba...
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Jakaya Kikwete, akipungia wananchi waliofika uwanja wa ndege wa Mbinga mkoani Ruvuma kumuaga mara baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni jimboni humo Oktoba...
Ndugu zangu wana Jamii inasemekana kwamba makamba wikendi hii amewasiri Mkoani Arusha kwa lengo la kukinusuru chama chao ambacho kiko katika hatua za mwisho kuondoka IKURU,Chanzo changu cha habari...
Juzi kwenye mahafali ya shule moja ya sekondary Bagamoyo, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi aliwahasa wananchi wachague viongozi wazuri na makini, wasije wakafanya makosa (Mwananchi...
tukisema watawala wetu ni vichwa maji wanasema tunawatukana na kuhatarisha amani ya nchi,hivi hili tamko la waziri marmo lina mwelekeo upi haswa?anasema nec ni taasisi huru na hawezi kusemea juu...
joto la kampeni za uchaguzi limezidi kupanda hapa dodoma baada ya malumbano ya hoja za kuchafuana kwenye kampeni za kuwania udiwani kata ya kizota baada ya joseph marandu wa chadema na juma bakari...
Wandugu,
Heshima Mbele,
Lets discuss this, najua kwamba we have less than two weeks kabla ya kujua mbivu na mbichi, kuhusu safu za uongozi wa Taifa letu tukufu. Takwimu mbalimbali, za kisanii...
Slaa: Nitawalipa wazee wa EAC ndani ya siku 100
Edwin Mjwahuzi na Victor Kinambile, Nzega
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa, ameahidi kuwalipa mafao yao...
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza juu ya wimbo huu. Ninawapatia hapa kwa hisani ya Phillip Mugendi.
Unaweza kuupata katika sauti pekee yake ukiwa remastered by moi.
BONYEZA HAPA while you...
1.Sasa kumekucha *2 Jogoo limewika Tanzaniaa! Oktoba 31,2010, Kada wa CCM anyimwe kura za Ndio *2
Yupo wapi?
/Yule pale,yule pale Fisadi mwenzao,Fisadi wa CCM anyimwe kura za ndiyo*2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.