Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jaji Lewis Makame. Mwenyekiti wa NEC amekanusha tuhuma cha Profesa Baregu kwamba NEC imeongoza idadi ya wapiga kura na kufikia milioni 19 ili kuisaidia CCM kupata ushindi! Si kwamba anakanusha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau gazeti la mwananchi la leo lina habari ya Baba Askofu Dr. Malasusa kutoa Elimu Ya Uraia. Inatia Moyo Hata Kama NEC watachakachua Bofya hapa Malasusa: Chagueni mtu makini si chama Mzee...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mke wa mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete mama Salma Kikwete akiwapungia mikono wanawake na wananchi wa mji wa Sumbawanga mkoani Rukwa mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa mkutano wake wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia ITV news daily nimegundua toka liibuke suala la mengi na ubambikaji wa madawa kwa motto wake coverage ya CHADEMA katika TV( leo news za mkutanomkule Kagera kuwa za kwnza na...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Jamani leo ni siku ya tatu sasa nimekuwa najaribu kutafuta website ya Chadema na habari kutoka mtandaoni zinazomhusu Mkombozi Slaa lakini link zote zinaonekana zina mshikeli, je zimefisadiwa? Au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa kweli fahari yangu kuu ndani ya moyo wangu ni Tanzania na kamwe si kuiona Zanzibar iliogawika kati ya Zanzibar na Tanganyika najisikia fahari nisemapo nchi yangu Tanzania ambayo ina visiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mchana uhu jk ataitingisha,utete kwa mkutano mmoja kabambe, wana ccm mpo?ccm oyeee!
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Nawasilisha tu: ------------------------- Umaarufu wa Kikwete 'feki' | Gazeti la MwanaHalisi KILE kinachoitwa umaarufu wa Jakaya Kikwete, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi Rizi na mama yake wa kambo wamekata tamaa kumkampenia JK?? Sijawasikia kwa muda mrefu sasa
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa mtu anayefuatilia kwa karibu kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu ni wazi kwamba chama Twawala CCM(Chama cha Mafisadi au Majambazi) mwaka huu kimechezeshwa mchakamchaka kiasi kwamba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Any comments? 1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake 2.Rais wa kwanza kuwa na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Jakaya Kikwete, akipungia wananchi waliofika uwanja wa ndege wa Mbinga mkoani Ruvuma kumuaga mara baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni jimboni humo Oktoba...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ndugu zangu wana Jamii inasemekana kwamba makamba wikendi hii amewasiri Mkoani Arusha kwa lengo la kukinusuru chama chao ambacho kiko katika hatua za mwisho kuondoka IKURU,Chanzo changu cha habari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzi kwenye mahafali ya shule moja ya sekondary Bagamoyo, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi aliwahasa wananchi wachague viongozi wazuri na makini, wasije wakafanya makosa (Mwananchi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
tukisema watawala wetu ni vichwa maji wanasema tunawatukana na kuhatarisha amani ya nchi,hivi hili tamko la waziri marmo lina mwelekeo upi haswa?anasema nec ni taasisi huru na hawezi kusemea juu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
joto la kampeni za uchaguzi limezidi kupanda hapa dodoma baada ya malumbano ya hoja za kuchafuana kwenye kampeni za kuwania udiwani kata ya kizota baada ya joseph marandu wa chadema na juma bakari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wandugu, Heshima Mbele, Lets discuss this, najua kwamba we have less than two weeks kabla ya kujua mbivu na mbichi, kuhusu safu za uongozi wa Taifa letu tukufu. Takwimu mbalimbali, za kisanii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Slaa: Nitawalipa wazee wa EAC ndani ya siku 100 Edwin Mjwahuzi na Victor Kinambile, Nzega MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Willibrod Slaa, ameahidi kuwalipa mafao yao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza juu ya wimbo huu. Ninawapatia hapa kwa hisani ya Phillip Mugendi. Unaweza kuupata katika sauti pekee yake ukiwa remastered by moi. BONYEZA HAPA while you...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
1.Sasa kumekucha *2 Jogoo limewika Tanzaniaa! Oktoba 31,2010, Kada wa CCM anyimwe kura za Ndio *2 Yupo wapi? /Yule pale,yule pale Fisadi mwenzao,Fisadi wa CCM anyimwe kura za ndiyo*2...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom