Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Karibuni tupo hapa leo na JK, nipo kamili kamili nitakuwa nawajuza kila kinachoendelea
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapendwa, Naomba kusaidiwa! Kuna fulani ya campaign yaliyo na picha za wagombea lakini yapo pia yale ambayo yana picha za JK akiwa na watu (yani yanaonesha kuwa amekalia kiti cha uraisi na yuko na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau; Habari nilizopata kutoka rafiki yangu aliye Kahama anasema Dr mkombozi wetu amepata mapokezi makubwa mjini humo jana (Jumapili) ambayo hayapata kutokea hapo. Anasema ingawa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wandugu mnaweza sasa hivi kumpata Geeque hewani unaweza kupiga simu +1 312 957 6014 au kama una skype unaweza kumpata kupitia skype:bongo radio Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava...
0 Reactions
141 Replies
10K Views
Kwenye gazeti la Nipashe , 27 Aug. 2010 first lady, Mama Salma Kikwete, amewaomba wanawake wafanye kampeni ya kuwashawishi watu waipigie kura CCM nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na ikibidi...
0 Reactions
66 Replies
7K Views
Hv JK umewahi kujiuliza kwa nini nyota yako imezimika ghafla? Kama jibu ni siyo, basi huna akili. Je washauri wako wakaribu wanajua jibu? Kama wanajua kwa nini hawajakushauri ili ujirekebishe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawaomba taarifa hii muifikishe kwa wote wapenda mabadiliko kwa haraka Jana nilipata taarifa kuwa baada ya mpango wa kumpatia Askofu Mokiwa Tshs.11milioni ili asaidie chama Fulani kuwashawishi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Watetezi wa haki za watoto wa shule tunzeni hii picha. Katika kesi kibao zitakazofunguliwa dhidi ya mafisadi wa ccm, hii ya kulazimisha watoto wa shule kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya ccm...
0 Reactions
65 Replies
12K Views
TUMEKUWA TUKISEMA KUWA WENGI WA WANAOVAA MAVAZI YA CCM NI KWA HOFU YA KUPOTEZA KITU FULANI LAKINI KWENYE SANDUKU LA KURA WAO NAO SIO RAHISI WAISUTE DHAMIRI YAO JUU NI NANI ANAFAA KUWA KIONGOZI...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wanaoujua mji wa Moshi wataweza kufuatilia kirahisi sana namna ambavyo uamuzi huu uluvyofanyika bila kufuata ukweli wa kisheria wala kimazingira. Kwa mujibu wa ratiba ya uchaguzi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jana nilikuw ambezi beach nikawa napita nikawaona ccm wacheche wamekusanyika mahali nikajua nimambo ya uchaghuzi kumbe Kikwete alikuwepo nikauliza ninitena barabarani wakati kuna viwanja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shubiri ya kukwepa midahalo kwenye chaguzi za ubunge zimeishtua CCM - Chama Cha Mafisadi - baada ya kuona TBC1 imewajenga mno wagombea mbalimbali wa upinzani hususani Chadema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa muda wa siku mbili hawa jamaa wa Tanzania Daima hawaleoshi gazeti katika mtandao. Je kuna mtu anaweza kufuatilia kuona kasoro kubwa inarekebishwa ili tuweze kupata habari zao kuhusu uchaguzi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanza kabisa, niweke wazi kuwa mimi na Zitto tumekuwa na tofauti zetu kisera for a while hapa JF. For a while there was some kinda of ....(...) going on between us. Kikao cha kamati kuu cha...
0 Reactions
89 Replies
10K Views
Wana Chadema wanajifanya wako pure sana. Pretending to be the ushers of new dawn of transparency and utawala bora (Although they can't even balance budget ya chama). Sasa muulizeni dada yenu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Views and suggestions are highly appreciated.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa utafiti wangu nimebaini Marekani inazo taarifa ya kuwa JK yu hoi na huenda akatafuta namna za kubaki madarakani isivyo halali na kinyume na sheria lakini Obama tayari amejiandaa kumshinikiza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
WADAU WA JF, KUMEKUWA NA MALALAMIKO JUU YA SMS ZINAZOTUMWA BILA RIDHAA YA MTU. SMS HIZO ZIMELALAMIKIWA SANA NA WADAU WA CHADEMA ZIKIDAI CCM INATUMIA KAMPUNI ZA SIMU KUFANYA KAMPENI ZA KIAINA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu wa-tz, sitochoka kutoa duku duku langu juu ya kiongozi huyu mumtakae nyinyi. Najua wengi mtachukizwa, lakini hii ni haki yangu ya msingi ya kikatiba, hivi kiongozi mwenye visasi kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inashangaza. Kaka mtu nina miaka 8 ninamiliki simu ya mkononi. Sijawahi kutumiwa hiyo meseji ya Kiwete inayosema Dr. Slaa anataka kuingia ikulu kwa kumwaga damu. Naiona kwenye simu za watu tu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom